pole kwa ban ndugu ila ulikuwa umesharopoka kwakweli nafikiri mods angekupiga ban kabla hujatiririka ingesaidia sanakwa sababu kikwete ni janga la taifa udini wake upwani wake na ufamilia wake utaleta mpasuko baada 2015 anastahili kifo kama cha gadaffi
Bora mtangaze hii nchi ni ya kisultan ili tuache wivuacha wivu wa kijinga. je hawakufuata taratibu?
iron2012inaonesha ulijaribu kugombea nafasi ukakosa kama mwenzio Sumaye. Pole sana
nimetumiwa sms tatu zote zina maneno yanayofanana,maneno hayo yanahusu uteuzi wa watoto wa vigogo wa ccm kuteuliwa kugombea nec.je una sambazwa na nani?
kwa sababu kikwete ni janga la taifa udini wake upwani wake na ufamilia wake utaleta mpasuko baada 2015 anastahili kifo kama cha gadaffi
Ni upepo tu, utapita !
Ndio maana Tanzania yenyewe tu ni ajabu la dunia,kwani kuna mambo ambayo hata zile nchi ambazo tungetegemea kuona hayo mambo yakitokea lakini hayatokei kwenye nchi hizo.Hii ni zaidi ya tawala za kifalume. Wakuu hata huko SAUDIA,JORDAN,QATAR,KWA MSWATI na kazalika hakuna kitu cha aina hiyo. Hii iko Tanzania pekee. NA KWA HIZI SHULE ZETU ZA KATA. WATATUTAWALA SANA
hujamwelewa mjengwa umeishia kukurupuka tu.mjengwa anapinga ubaguzi mnaoufanya kwa kusambaza meseji za chuki
kwani we uligombea ukanyimwa??? au ni inferiority complex tu, una hofu ya kushindwa hata kabla hujajitokeza una baki kuwa na chuki binafsi chumbani kwako.badilika
we unasema uvccm tu? em fanya uchunguz vzur
Yote umesema bwana Mjengwa, mbona hawaendi kwenye ualimu? hawaendi kwenye ubwana/bibi shamba? Wanaenda ambako baba zao wana mamlaka na kuna maslahi mazuri. Ambapo watakuwa watawala! mabwana kama baba zao.
Ujumbe huo ni mzuri watanzania tuwakatae kama wakenye walivyowakataa watoto wa Moi kama una kumbukumbu! WATANZANIA TUWAKATAE. It is ridiculous, hao hao ndio wanapata mikopo ya HESLB. Nonsense!
hujamwelewa mjengwa umeishia kukurupuka tu.mjengwa anapinga ubaguzi mnaoufanya kwa kusambaza meseji za chuki
Inakubalika kama atagombea kwa kupitia chama kingine. Hawezi kutumia position of authority ya baba kuinfluence matokeoMakongoro Nyerere ni mtoto wa kuzaliwa wa Mwalimu, lakini, ilifika mahali aliamua kuchagua njia nyingine.
Na kama baba unafanyaje ukisikia mtoto wako kaangushwa au ndo utamtayarishia mazingira ya kupita bila kupingwa?Na kama Rais wa nchi, unafanyaje unaposikia Chifu wako wa kikabila ameangushwa kwenye uchaguzi wa Chama, tena na wanachama ambao wewe ni Mwenyekiti wao?
Tuanze na kuindoa CCM 2015 na kama vyama vingine vitakuwa na mfumo wa kisultani navyo tutavipiga chini huko mbeleniNaam, hamasa ya kisiasa imeongezeka kwenye nchi yetu. Huko twendako tuzazidi kusikia majina zaidi ya wanafamilia na wanaukoo wakishiriki siasa, ama katika chama kimoja , au vyama tofauti.