Hawakusoma, wewe kama umeshindia asante kayumba kwa kuenzi kiswahili, ukaenda udom, sua, udsm na kuambulia kichapo cha ffu kwa kugoma, then ikaishia kwa maprofessor uchwara wa kucopy na kupaste notes kwenye Google ya mmrekani, ukambulia first class....wenzio waliopo BOT walienda Oxford, Cambridge, Harvard, nk na watakushinda tu kwenye interview za kimataifa, taasisi nyeti kama TRA kwani wanajua mifumo ya kimataifa eg computer system, nk.
Tulia uza samaki, mh. Rais hawezi kumfukuza kazi mtoto wa kigogo kisa nini? Utumishi wa umma ulimwajiri