Watoto wa Mzee R. Mengi na PR ya kawaida ktk Jamii!

Status
Not open for further replies.

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,650
Nimependa mtindo wa maisha ya watoto wa huyu Mzee.
Hawana tabia ya kuji show off mbele ya jamii pamoja
na ukweli kwamba dingi ana chenji ya kutosha ya kuwafanya
waweze kuwapelekesha puta watu wengine kama wanavyofanya kina
Miraji na Ridhiwani-kumbuka UVCCM na kampeni za Uchaguzi mkuu 2010,,
mtoto wa Warioba aliyetishiaga watu kwa bastola, mtoto
wa kigogo aliyeua mtu kwa mwendo kasi mtaani nk.

Regina, Late Rodney na wengine bravo kwa sana.

Note: Nimeongelea PR ya wahusika mbele ya jamii na sio maisha binafsi
maana kuna wengine humu hatua moja mbele!
 
Mtoa uzi ni kweli,hawa jamaa hawako na show offs,ama ostentatious kivile kama usemavyo..

Nadhani ni malezi mazuri ndiyo yanayofanikisha hilo...
 
Kina Riz na miraji wamekuta hela ukubwani enzi za mwalimu viongozi wa serikali walikua hawana hela kivile,sasa hao ni ulimbukeni tu wa kina riz1,hv miraji ashaacha bangeee?
 
Kina Riz na miraji wamekuta hela ukubwani enzi za mwalimu viongozi wa serikali walikua hawana hela kivile,sasa hao ni ulimbukeni tu wa kina riz1,hv miraji ashaacha bangeee?

Si rahisi kuacha...

Ila...ana tabia ya udokozi.. Aliwahi kuchukua nyumbani kwao zaidi ya 300M (source:humuhumu JF) na kuchukua rafiki yake mmoja au wawili..wakaenda kula bata abroad,sikumbuki wapi,ila si Europe,wala States..
 
Si rahisi kuacha...

Ila...ana tabia ya udokozi.. Aliwahi kuchukua nyumbani kwao zaidi ya 300M (source:humuhumu JF) na kuchukua rafiki yake mmoja au wawili..wakaenda kula bata abroad,sikumbuki wapi,ila si Europe,wala States..

Yap jamaa ni mwizi kweli pia alishawahi kuiba gari kwao dingi yake jk alimfukuza akaenda kukaa block 41 na kina kalapina,baada ya dingi kushika ikulu akakorofishana na kina pina akarudi kwao dingi akampeleka S.afrika kula kitabu! Duuu nilijua kashaacha bangi kumbe anaendeleza libeneke.
 
Watoto wa Mengi ni old money, meaning wao wamekulia hiyo hali na wanaona kawaida.
Wale new money ndio huwa wanapenda kushow off sana. Wanafikiri thamani ya utu inaendana na kiasi cha pesa. Ndio maana wanafanya mambo ya kufuru mengi na kuonyesha public kuwa wao wana pesa sana.
 
watoto wa Mengi nimesoma nao primary school,ilikuwa sio rahisi kujua kama wanatoka familia ya watu tajiri,kwanza kwa waalimu wetu hawakupta shida kabisa na hao jamaa kuonyesha upendeleo na vitu kama hivyo,yule mzee ni mkali kinoma akiwa home,achana naye!
 
Akina Motie (R.I.P) na wenzake wanazaliwa tu walikuta njia ya kwenda kwao
imeshajengwa kwa tiles, na majumba ya kifahari yamewazungukwa,
sasa watambe na nini kipya. Tatizo ni hawa ambao wamepata ukubwani.
 
Nimependa mtindo wa maisha ya watoto wa huyu Mzee.
Hawana tabia ya kuji show off mbele ya jamii pamoja
na ukweli kwamba dingi ana chenji ya kutosha ya kuwafanya
waweze kuwapelekesha puta watu wengine kama wanavyofanya kina
Miraji na Ridhiwani-kumbuka UVCCM na kampeni za Uchaguzi mkuu 2010,,
mtoto wa Warioba aliyetishiaga watu kwa bastola, mtoto
wa kigogo aliyeua mtu kwa mwendo kasi mtaani nk.

Regina, Late Rodney na wengine bravo kwa sana.

Note: Nimeongelea PR ya wahusika mbele ya jamii na sio maisha binafsi
maana kuna wengine humu hatua moja mbele!

Pasco ange comment hivi...

Mwaka 2000 wakati natoka New york nilipanda ndege moja na mtoto wa mengi akiambatana na baba yake Mzee Mengi.Mimi nilikuwa pembeni dirishani first class na mze mengi na mtotom wake walikuwa kati kati.
Nili enjoy sana kusafiri nao.....mengi alionekana kukubali kazi yangu ya uandishi wa habari akaniambia niende ITV kwa pesa yoyote nitakayotaka....nikakataa nikamwambia mimi pesa sio kitu kwangu.

Nimetoa muhtasari kidogo kuonyesha jinsi nilivyo karibu na familia ya Mengi....mara nyingi huwa nakunywa drinks nao kwenye private party pale mikocheni....na hata sasa hivi Mengi ananipigia simu....Be right back napokea simu yake
afu hapo hapo lazima angechomkea na maneno haya ili kuwa spin vizuri..
-Hata mimi niliwahi kutibiwa Applolo
-Mwakyembe ni mwalimu wangu
-Huwa nakunywa drinks na waheshimiswa wakubwa kama mwakyembe
-Huwa najichanganya na wabunge Dodoma na kunywa nao chai
-Najuna ana wakuu wa nchi na mata nyingi huwa nawatolea maelezo hapa JF....kama majuzi niliongea kwa kireeefu na mhe Pinda akasema huwa anapita pita JF....
 
Pasco ange comment hivi...

Mwaka 2000 wakati natoka New york nilipanda ndege moja na mtoto wa mengi akiambatana na baba yake Mzee Mengi.Mimi nilikuwa pembeni dirishani first class na mze mengi na mtotom wake walikuwa kati kati.
Nili enjoy sana kusafiri nao.....mengin alionekana kukubali kazi yangu ya uandishi wa habari akaniambia niende ITV kwa pesa yoyote nitakayotaka....nikakataa nikamwambia mimi pesa sio kitu kwangu.

Nimetoa muhtasari kidogo kuonyesha jinsi nilivyo karibu na familia ya Mengi....mara nyingi huwa nakunywa drinks nao kwenye private party pale mikocheni....na hata sasa hivi Mengi ananipigia simu....Be right back napokea simu yake
hahahahahahahahahahah ubarikiwe aisee...nimecheka bila kutarajia!
 
mbona hujamzungumzia mwanaasha naskia

wakati anasoma kifungilo kabla hajatimuliwa

mama yake alimpelekea vitu ikiwemo mablanketi

mkuu wa shule akamkatalia akamwambia kama vipi

apeleke kwa wanafunzi wote basi Salma akarudi na mamizigo

yake huku nyuma mwanaasha akasusa kimtindo

na kiburi kwa sana mwisho wa siku akashindwa kupata

maksi zilizotakiwa wakamtosa ndo akapelekwa feza

matokeo ameitia shule aibu isiyo kifani
 
Si rahisi kuacha...

Ila...ana tabia ya udokozi.. Aliwahi kuchukua nyumbani kwao zaidi ya 300M (source:humuhumu JF) na kuchukua rafiki yake mmoja au wawili..wakaenda kula bata abroad,sikumbuki wapi,ila si Europe,wala States..

Mil 30,alizitumia arusha,nairobi na mombasa.anyway watoto wa wanasiasa,wafanyabiashara wanaharibiwa na haiba za wazazi.ni busara tu za mzee mengi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom