ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Nimependa mtindo wa maisha ya watoto wa huyu Mzee.
Hawana tabia ya kuji show off mbele ya jamii pamoja
na ukweli kwamba dingi ana chenji ya kutosha ya kuwafanya
waweze kuwapelekesha puta watu wengine kama wanavyofanya kina
Miraji na Ridhiwani-kumbuka UVCCM na kampeni za Uchaguzi mkuu 2010,,
mtoto wa Warioba aliyetishiaga watu kwa bastola, mtoto
wa kigogo aliyeua mtu kwa mwendo kasi mtaani nk.
Regina, Late Rodney na wengine bravo kwa sana.
Note: Nimeongelea PR ya wahusika mbele ya jamii na sio maisha binafsi
maana kuna wengine humu hatua moja mbele!
Hawana tabia ya kuji show off mbele ya jamii pamoja
na ukweli kwamba dingi ana chenji ya kutosha ya kuwafanya
waweze kuwapelekesha puta watu wengine kama wanavyofanya kina
Miraji na Ridhiwani-kumbuka UVCCM na kampeni za Uchaguzi mkuu 2010,,
mtoto wa Warioba aliyetishiaga watu kwa bastola, mtoto
wa kigogo aliyeua mtu kwa mwendo kasi mtaani nk.
Regina, Late Rodney na wengine bravo kwa sana.
Note: Nimeongelea PR ya wahusika mbele ya jamii na sio maisha binafsi
maana kuna wengine humu hatua moja mbele!