hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,640
- 74,068
hahaa sasa anapofurukuta na kutoka" huwa ana kamatwa na kurejeshwa tena au !?Mara moja moja anafurukuta na kutoka kwenye minyororo...
hahaa sasa anapofurukuta na kutoka" huwa ana kamatwa na kurejeshwa tena au !?Mara moja moja anafurukuta na kutoka kwenye minyororo...
hahaa..2050 jiandae kuona wanaume wakioana tzKumbe ni kweli?
Tatizo ni nini?
Malezi?Mfumo wa maisha au vyakula?
Mawee mpaka wasukuma wameanza kusukumiana sijui 2050 itakuwaje!!!
kwakweli "" upo lakini ""?Msemo wa Mungu sio athumani una fumbo kubwa sana. Hao wakina athumani wako rejected.
Ramadhani maasi yamezidi
hahaa sasa anapofurukuta na kutoka" huwa ana kamatwa na kurejeshwa tena au !?
Hao wazee wa mafasheni siku hizi ndiyo mchezo wao tena watu wazima na familia zao. Kwa tunaoifahamu Mwanza nje ndani hali inatisha sana. Nimeshaliongelea hili mara kadhaaKumbe ni kweli?
Tatizo ni nini?
Malezi?Mfumo wa maisha au vyakula?
Mawee mpaka wasukuma wameanza kusukumiana sijui 2050 itakuwaje!!!
Aiseee..."Akitoroka ndo basi tena mpaka ramadhani ingine.... for that case, huwa anatorokaga kila wakati!
Wanaume,badilikeni muokoe kizazi chetu.Hao wazee wa mafasheni siku hizi ndiyo mchezo wao tena watu wazima na familia zao. Kwa tunaoifahamu Mwanza nje ndani hali inatisha sana. Nimeshaliongelea hili mara kadhaa
Taifa teule la Israel hao jamaa wamejaa sana kila mtu na mshikaji, na wanalipua watu vilevile, ila wakiwa kwenye vifaru wanadomasana.Pumbavu zao kizazi cha mashoga kinakuja tutakosa hata Jeshi la weredi kisa upuuzi huu.
Ni bora kwa sasa upate taarifa mwanao wa kiume Malaya anakula wanawake ila sio kuambiwa mwanao wa kiume anapigwa mashine.Hah mkuu we ni noma
Walishaanza kuoana.hahaa..2050 jiandae kuona wanaume wakioana tz
Kwahiyo unapendekeza hapa Tanzania pia wafumuane ila kwenye mzinga ushoga ukae pembeni?Taifa teule la Israel hao jamaa wamejaa sana kila mtu na mshikaji, na wanalipua watu vilevile, ila wakiwa kwenye vifaru wanadomasana.
Hiyo taarifa kuna sehemu imesema dini ya hao watoto ni ipi?Aiseeee... imani hizi " ukifikaga mwezi mtukufu sihuwaga mnasema kuwa shetani anafungwa minyorolo" sasa hao Watoto nao vipi " au shetani wao " ametoroka"""?
Shetani ndiye huwa anaingilia watu kinyume na maumbile?Shetani=Mwanamme?Shetani
Huko kila mwaka hua wana gay parade kubwa sana.Taifa teule la Israel hao jamaa wamejaa sana kila mtu na mshikaji, na wanalipua watu vilevile, ila wakiwa kwenye vifaru wanadomasana.