Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,485
Tutakuwa tunawapima.itabidi muwe mnatukodi sisi tulio rijali maana vidume vinapungua
Tutakuwa tunawapima.itabidi muwe mnatukodi sisi tulio rijali maana vidume vinapungua
Ubarikiwe mkuu,ndio maisha yanavyotakiwa kua hivyo,big up.Hizi dini zinatupa tabu mnoo, mtu anaropoka hali hajui kitu ndani yake wala hana elimu juu ya jambo hilo,
Binafsi nikiona jambo linatatiza hata kama ni la upande wa pili nitatafuta mtu anielekeze kisha nitachanganya akili za kuelezwa na zangu mwenyewe, km jambo sina elimu nalo huwa nakubali kukaa kimya kuliko kuongea hovyo.
Mwanza kuna Wilaya inaitwa Nyamongo? Imeanzishwa lini? Au kwa vile miezi 6 nilikuwa nje ya nchi?
Ndo hivyo usigune. Tuwalinde watoto wetu wa kiume.
mnatupimaje?Tutakuwa tunawapima.

Ha ha haaaaa,, sasa mtajuaje Mkuu bila kujisemea mwenyewe?Mkuu hongera kwa kuvuka mipaka ya Tz
Ndo hivyo usigune. Tuwalinde watoto wetu wa kiume.
wewe Jamaa kweli Tomaso ...hahaaa..nilikuwa sitaki kukujibu " kwa sababu sikutaka kupenda kuharibu huu Uzi ...na kuingiza maswala ya udini ..LA kini maswali yako yanaonyesha kuwa unauoungufu mkubwa mnoo wakile unachokiamini ....Bora hata wewe mkuu umekuja na solution badala ya lawama,big up mkuu.
Miwani tu mkuu.Mtakuwa mnapima na kifaa gani?
Ms.Lincoln
hahaa..makaveli umepanic in short sinaga desturi ya kuzumgumza jambo ambalo silijui..."" mpaka nimeongea hivyo niwazi najua nilichokiwasilishaKama hili suala lilikuwa linakusumbua ungeuliza hata mwenye elimu nalo upate kujifunza ndugu yangu, kuliko kubeza hali hujui kitu.
Haya we zembea tu. Sio mashuleni tu hata majumbani wanaharibiwa..don't trust anyone even your relatives. Kuna mtoto dar alikuwa anafanyiwa kitu kibaya na baba yake mdogo, just imagine na tayari ameshaharibika hana uanaume tena.Unamlindaje mtt wakati yupo shule huko
kwenye imani ya kiislam inaaminika kuwa mtume muhhamad mimtu wa uma wote " na ndiye mtume wa mwisho "" hivyo basii ni wazi utakuwa unakubaliana nami kuwa mtume wa uma wote anapoongea jambo basi ni mafundisho ya watu wote pasipo kujali kuwa wana muamini au Hawa muamini "" ........sasa basi hoja yangu ni hii"" hata kama ikiwa hao Watoto imani yao ni pinzani na uislam " hiyo haiharamishi " uhalali wa mtume kwao " wala hai haramishi uhalali wa mafundisho ya mtume kwao pia....."" MTUME anasema kuwa ikifika mwezi mtukufu shetani huwa ana fungwa minyorolo na means hushindwa kuweza kuzuia ushawishi wake wa kuyafnya maasi ya weze kutendeka ....""Hiyo taarifa kuna sehemu imesema dini ya hao watoto ni ipi?
Unazo statistics kuonyesha kua mwezi fulani maasi ndio yameongezeka?
Kuna wengine huko wanafungishana ndoa za mashoga kwenye nyumba za ibada unalijua hilo?
Au ulicomment tu ili uonekane kua na wewe upo jf ili usisahaulike?