Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Hiyo taarifa kuna sehemu imesema dini ya hao watoto ni ipi?

Unazo statistics kuonyesha kua mwezi fulani maasi ndio yameongezeka?
Kuna wengine huko wanafungishana ndoa za mashoga kwenye nyumba za ibada unalijua hilo?

Au ulicomment tu ili uonekane kua na wewe upo jf ili usisahaulike?
wewe Jamaa hebu acha shobo basiii"" kimsingi hakuna mtu ambaye anapaswa kunipangia cha kupost....so hiyo mihemko yako ya udini peleka huko sawa """ .......
 
Source: Azam news

Watoto mkoani mwanza wilaya ya nyamongo wameingiwa na kapepo kakufumuana marinda cha kusikitisha ni kuwa hawa watoto ni umri wa miaka 12 - 22 ambao ni umri wa shule.

Pia geto lao ni kwenye mapango jirani na yale mawe ya mwanza ndo chumba chao.

Ushauri: mchunge watoto wenu.
a.k.a Watoto wa Mikoani
 
Hao vijana wanabahele wazazi na walimu wawasaidie ushauri wa kisaikolojia kama walivyo najuhudi za kuwapa ped na elimu watoto wa kike jitihada zielekezwe kutoa elimu ya kijinsia kwa watoto wote na sio kuwabagua hao wakiume kwani miili yao hupitia mabadiliko mbali mbali,maana hicho kiraruraru sio poa.
 
wewe Jamaa hebu acha shobo basiii"" kimsingi hakuna mtu ambaye anapaswa kunipangia cha kupost....so hiyo mihemko yako ya udini peleka huko sawa """ .......
Mimi na wewe ni nani aliyeleta mihemko ya udini? Au akili yako hua haitunzi kumbukumbu? Jibu maswali niliyokuuliza kwanza ili niendelee kusafisha hiyo akili yako na mawazo mgando yaliyokujaa.
 
Hao vijana wanabahele wazazi na walimu wawasaidie ushauri wa kisaikolojia kama walivyo najuhudi za kuwapa ped na elimu watoto wa kike jitihada zielekezwe kutoa elimu ya kijinsia kwa watoto wote na sio kuwabagua hao wakiume kwani miili yao hupitia mabadiliko mbali mbali,maana hicho kiraruraru sio poa.
Bora hata wewe mkuu umekuja na solution badala ya lawama,big up mkuu.
 
Aiseeee... imani hizi " ukifikaga mwezi mtukufu sihuwaga mnasema kuwa shetani anafungwa minyorolo" sasa hao Watoto nao vipi " au shetani wao " ametoroka"""?
Kama hili suala lilikuwa linakusumbua ungeuliza hata mwenye elimu nalo upate kujifunza ndugu yangu, kuliko kubeza hali hujui kitu.
 
Mkuu usimlaumu sana huyo,hapo ndipo uwezo wake wakufikiri ulipoishia.
Hizi dini zinatupa tabu mnoo, mtu anaropoka hali hajui kitu ndani yake wala hana elimu juu ya jambo hilo,
Binafsi nikiona jambo linatatiza hata kama ni la upande wa pili nitatafuta mtu anielekeze kisha nitachanganya akili za kuelezwa na zangu mwenyewe, km jambo sina elimu nalo huwa nakubali kukaa kimya kuliko kuongea hovyo.
 
Back
Top Bottom