Watoto wa kiume waruhusiwe mapema?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,885
Kuna tamthilia moja inaendelea sasa..moja ya mambo yaliyojitokeza
ni la watoto wa kiume kutokuwa na ma girlfriend kwa mda mrefu
mpaka wengine wameanza ku doubt jinsia zao.....
na moja ya mbinu ambayo mamayao anaitumia ili kuwazuia watoto wake
wasiwe sio rizki ni kuwaaagiza wasichana wafanye nao ngono kwa
sana......

swali ambalo nimekuwa najiuliza.je kuwalea watoto wa kiume katika maadili ya dini mfano
na kuwazuia wasiwe free kukamata warembo kunaweza kuwapelekea
wakawa ma shoga???????

je wavulana wanaoanza mapema sex na wasichana,wanakuwa
wako safe na suala hili la homosexual???????

je ni kweli watoto wa kiume wasaidiwe kupata warembo mapema lets say
akiwa na miaka kumi na nne hivi unamtafutia mwanamke....awe anamhudumia kwa
ngono kama baadhi ya familia za kiarabu nimesikia wanafanya hivyo...
wanawalipa ma house girl ili watoto wao wa kiume wahudumiwe?????????????????
 
Nakiri...this is avery bitter truth of which nina imani kila mwenye familia sasa hivi linamgusa kwa impact kubwa!...Binafsi najua kwamba siwezi kumtafutia mwanangu msichana katika umri usiokidhi, kisa naogopa asiwe rijali!...Lakini pia kuwazuia sana watoto (hasa wa kiume) haifai!. Cha msingi ni kuwaeleza bayana juu ya madhara ya zinaa. After all utawazuia vipi wakati wanaenda shule wenyewe, wakati mwingine boarding ambako hata haupo!...Nijuavyo mimi, ushoga hauji kwa kujengeka taratibu, bali ni tabia (hormonal) ambayo mtu husika anakuwa nayo tangu kuzaliwa, hivyo malezi ya kidini hayawezi kupelekea mtoto kuharibika.
 
mimi nafikiria kabisa kuwapa ruksa watoto wa kiume walete
wanawake nyumbani ni sahihi.....kuanzia miaka 15 walete tu warembo mradi wafundishwe
kutumia condoms.....

but maybe i am wrong......
 
i will be proud if my son brought home a girl....and she better not be ugly....

ugly or no ugly
ni bora uwe na mtoto anae enjoy female
company....

Labda hapa nikuulize
mfano mtoto wako ana miaka 12 au 13...
Umemkuta kaingia na msichana chumbani....
Utafanyaje???????
Utamwambia well done?????????
 
ugly or no ugly
ni bora uwe na mtoto anae enjoy female
company....

Labda hapa nikuulize
mfano mtoto wako ana miaka 12 au 13...
Umemkuta kaingia na msichana chumbani....
Utafanyaje???????
Utamwambia well done?????????

Kwanza itategemea huko chumbani wameingia kufanya nini. Lakini mimi kama mzazi mwajibikaji kwa kweli siwezi ku-condone kitu kama hicho. Kwanza kabisa policy ya nyumbani kangu ni open door policy. Kwa hiyo kama akileta rafiki wa kike nyumbani nitahakikisha wanaacha mlango wazi na kwa vile nyumba ni yangu ninazo haki zote za kuingia chumba chochote na kwa wakati wowote bila onyo wala taarifa ya awali.

Having said that, kijana wako akishafikia umri wa kubalehe ni vyema mkakaa na kuyajadili mabadiliko yake ya kimwili na madhara na matokeo ya kufanya matusi ungali mdogo hivyo. Sasa akileta rafiki wa kike nyumbani, hiyo inaweza ikawa dalili njema au si njema. Kusema kwamba utafurahi kijana wako kupenda female company, kuwa mwangalifu. Watu wenye mwelekeo wa kupenda wapenzi wa jinsia moja, hususan wale wa kiume hupenda sana kujichanganya na wanawake. Wanakuwaga na mashosti wao wa kike na wanapenda mambo ya kike kike.
 
Kuna tamthilia moja inaendelea sasa..moja ya mambo yaliyojitokeza
ni la watoto wa kiume kutokuwa na ma girlfriend kwa mda mrefu
mpaka wengine wameanza ku doubt jinsia zao.....
na moja ya mbinu ambayo mamayao anaitumia ili kuwazuia watoto wake
wasiwe sio rizki ni kuwaaagiza wasichana wafanye nao ngono kwa
sana......

swali ambalo nimekuwa najiuliza.je kuwalea watoto wa kiume katika maadili ya dini mfano
na kuwazuia wasiwe free kukamata warembo kunaweza kuwapelekea
wakawa ma shoga???????

je wavulana wanaoanza mapema sex na wasichana,wanakuwa
wako safe na suala hili la homosexual???????

je ni kweli watoto wa kiume wasaidiwe kupata warembo mapema lets say
akiwa na miaka kumi na nne hivi unamtafutia mwanamke....awe anamhudumia kwa
ngono kama baadhi ya familia za kiarabu nimesikia wanafanya hivyo...
wanawalipa ma house girl ili watoto wao wa kiume wahudumiwe?????????????????


Hii kitu huwa inaapply sana kwa watoto wa matajiri au viongozi.

Fanya utafiti we kama ni mtoto wa uswazi ukakutwa na binti wa mtoto wa kigogo dingi lazma na pengine akakuletea vijana wake wa kazi wakufanyizie.
Lakini kama we ni mtoto wa waziri afu unamtokea mtoto wa waziri utaona tu body languange ya mzazi wakike inavyokusapoti. Si ajabu ukaulizwa kama kazi yako iko full tank.
 
kwanza itategemea huko chumbani wameingia kufanya nini. Lakini mimi kama mzazi mwajibikaji kwa kweli siwezi ku-condone kitu kama hicho. Kwanza kabisa policy ya nyumbani kangu ni open door policy. Kwa hiyo kama akileta rafiki wa kike nyumbani nitahakikisha wanaacha mlango wazi na kwa vile nyumba ni yangu ninazo haki zote za kuingia chumba chochote na kwa wakati wowote bila onyo wala taarifa ya awali.

Having said that, kijana wako akishafikia umri wa kubalehe ni vyema mkakaa na kuyajadili mabadiliko yake ya kimwili na madhara na matokeo ya kufanya matusi ungali mdogo hivyo. Sasa akileta rafiki wa kike nyumbani, hiyo inaweza ikawa dalili njema au si njema. Kusema kwamba utafurahi kijana wako kupenda female company, kuwa mwangalifu. Watu wenye mwelekeo wa kupenda wapenzi wa jinsia moja, hususan wale wa kiume hupenda sana kujichanganya na wanawake. Wanakuwaga na mashosti wao wa kike na wanapenda mambo ya kike kike.


umenikumbusha mbali na
hiyo sentensi ya 'kufanya matusi'
utotoni uswazi hiyo ilikuwa kesi
kubwa sana....
 
umenikumbusha mbali na
hiyo sentensi ya 'kufanya matusi'
utotoni uswazi hiyo ilikuwa kesi
kubwa sana....

Haha mwenzio niliwahi kusutwa bana...nakumbuka mtaani kulikuwa na demu mmoja anaitwa Mariam...ndio alikuwa demu mzuri kushinda wote mtaani. Nikamfukuzia weee lakini wapi akanipiga kibuyu. Basi nikaanza kuwapiga fiksi watu kuwa demu nshammega. Si wanga wakaenda kumwambia bana...basi bana siku moja tunacheza mpira....nikamwona huyo anakuja na mashosti wake. Wakaniita pembeni kunisuta...'enhee we Ngabu nasikia unajipakazia kwa watu eti umenifanya mchezo mbaya eti mimi na wewe tumefanya matusi kwenye lile jumba bovu...huo mchezo mbaya ulinifanya lini?'....Mzee mzima nilimbuka na maneno nikaishiwa.
 
haha mwenzio niliwahi kusutwa bana...nakumbuka mtaani kulikuwa na demu mmoja anaitwa mariam...ndio alikuwa demu mzuri kushinda wote mtaani. Nikamfukuzia weee lakini wapi akanipiga kibuyu. Basi nikaanza kuwapiga fiksi watu kuwa demu nshammega. Si wanga wakaenda kumwambia bana...basi bana siku moja tunacheza mpira....nikamwona huyo anakuja na mashosti wake. Wakaniita pembeni kunisuta...'enhee we ngabu nasikia unajipakazia kwa watu eti umenifanya mchezo mbaya eti mimi na wewe tumefanya matusi kwenye lile jumba bovu...huo mchezo mbaya ulinifanya lini?'....mzee mzima nilimbuka na maneno nikaishiwa.


ha ha ha haa
unajua uswazi ni shule ya aina fulani
huwa nawasikitikia waliokosa kuzaliwa uswazi
wengi tuna visa kama hivyo while growing up.....
Mimi nakumbuka nilikamatia mrembo kwenye uwanja wa mpira usiku
mtu mzima mmoja alituona akatufurumusha.....
Huyo msichana alichapwasana wazazi wake...
Now ni big lawyer ofisi moja hivi town
tukikutana huwa tunabaki kucheka tu .....
 
ha ha ha haa
unajua uswazi ni shule ya aina fulani
huwa nawasikitikia waliokosa kuzaliwa uswazi
wengi tuna visa kama hivyo while growing up.....
Mimi nakumbuka nilikamatia mrembo kwenye uwanja wa mpira usiku
mtu mzima mmoja alituona akatufurumusha.....
Huyo msichana alichapwasana wazazi wake...
Now ni big lawyer ofisi moja hivi town
tukikutana huwa tunabaki kucheka tu .....

Aaaah babu uswazi kuna raha zake bana. Mimi nina kila kila experience ya uswazi...kuanzia kucheza mdundiko...mchiriku....kuhudhuria sherehe za kumtoa mwali.....kunywa togwa na mengineyo mengi
 
aaaah babu uswazi kuna raha zake bana. Mimi nina kila kila experience ya uswazi...kuanzia kucheza mdundiko...mchiriku....kuhudhuria sherehe za kumtoa mwali.....kunywa togwa na mengineyo mengi


sasa kuna watu tulikua nao
uswazi,wameenda nje wamerudi...
Wanatafuta wapi wakapate togwa hawapati.....
Siku hizi dar inakuwa very western.
Watoto wengine hata kashata hawazijui
mitoto inajua chocolate na burgers.......
Haijui visheti,togwa,jelebi kashata na vingine tulivyokuwa navyo
 
Nakiri...this is avery bitter truth of which nina imani kila mwenye familia sasa hivi linamgusa kwa impact kubwa!...Binafsi najua kwamba siwezi kumtafutia mwanangu msichana katika umri usiokidhi, kisa naogopa asiwe rijali!...Lakini pia kuwazuia sana watoto (hasa wa kiume) haifai!. Cha msingi ni kuwaeleza bayana juu ya madhara ya zinaa. After all utawazuia vipi wakati wanaenda shule wenyewe, wakati mwingine boarding ambako hata haupo!...Nijuavyo mimi, ushoga hauji kwa kujengeka taratibu, bali ni tabia (hormonal) ambayo mtu husika anakuwa nayo tangu kuzaliwa, hivyo malezi ya kidini hayawezi kupelekea mtoto kuharibika.

Well said indeed PakaJimmy! Nadhani RESEARCH ya nguvu inahitajika hapa kabla ya kufikia any conclusion. Kwa mfano, hapa tunaongelea watoto wa kiume, watoto wakike je? ni mzazi gani mwenye akili timamu ataridhia binti yake wa umri huohuo (14-16) kuanza kuchezewa mepema (wawe mitumba kabla hata ya kuanza maisha) ili kuhakikisha sexual orientation ya mvulana? Vinginevyo tuseme kwamba hao teen boys waletewe makaba yaliyokubuhu, suala ambalo nadhani itakuwa ni hasara zaidi kuliko faida.
Na itakuwaje endapo CONDOMS hazikutumika? At the worst, they get pregnant, throw away their future, na kafaida ka STD (Sexually Transmission Deseases) including mzee AIDS hali ambayo itabadilisha mstakabali mzima wa maisha ya hawa watoto (wasichana na wavulana) kwa ujumla.
Wahenga hawakukosea kuita NGONO mchezo wa baba na mama- ni mchezo wa wakubwa, na watoto wakivamia hii game kabla ya muda wao, basi madhara yake wakati mwingine huwa makubwa sana kisaikologia.
Binafsi naamini kwamba watoto wengi ambao wamegeuka ubwabwa (sio riski) haswa kwa huko nyumbani hawageuzwi na mazingirai. Wakina anti Muddy, Ally n.k walikuwa hivyo tangu wadogo, walikuwa wanacheza na Barbies kama watoto wa kike badala ya kusakata Kabumbu na sio kwa sababu walikuwa hawana access na wasichana. Nililelewa nyumba moja na binamu yangu ambaye hakuwa rizki! Amini usiamini, hakuna chochote ambacho AUNT yangu (mama yake) angefanya kumbadilidha yule binamu yangu. Kila alichokuwa anafanya kilikuwa cha jinsia ya kike; alikuwa napenda kucheza na madoli, vipodozi, michezo ya kike, kushinda jikoni, na magroup yake yalikuwa ya wakinadada. Sidhani kama kuna kitu ambacho kingeweza kumbadilisha, hakuna.
Kwa msingi hiyo, nadhani hili suala linahitaji utafiti wa hali ya juu kwani vijana wetu wanakasheshe kubwa sana inayowakabili. Siamini kwamba kuwaletea wasichana ndio suluhisho la hili tatizo. I might also be wrong....lakini we have to understand that if you do big boy things you get big boy results, na sina uhakika kwamba watoto wenye umri wa 14-16 wapo tayari kukabili matokeo ya underage sex.
 
sasa kuna watu tulikua nao
uswazi,wameenda nje wamerudi...
Wanatafuta wapi wakapate togwa hawapati.....
Siku hizi dar inakuwa very western.
Watoto wengine hata kashata hawazijui
mitoto inajua chocolate na burgers.......
Haijui visheti,togwa,jelebi kashata na vingine tulivyokuwa navyo

duh.......haya mambo ya uswazi yalikuwa matamu sana....unakumbuka KOMBOLELA??
 
Aaaah babu uswazi kuna raha zake bana. Mimi nina kila kila experience ya uswazi...kuanzia kucheza mdundiko...mchiriku....kuhudhuria sherehe za kumtoa mwali.....kunywa togwa na mengineyo mengi

we ngabu si ulisema zamani ulikuwa ukiishi upanga. tena ukasema ulikuwa dogo wa kwanza mtaani kwenu kuwa na BMX, sasa huko uswazi ni kwa nani? mmmh na upanga hakuna jumba bovu. labda yale maeneo ya jamatini. mimi mwenyewe nilikuwa naishi upanga maeneo ya muhimbili tulikuwa tunacheza keleee "silver oku" mitaa ya mindu.tulikuwa tukicheza na kina koku, sharifa jike dume, wengine siwakumbuki
 
Having said that, kijana wako akishafikia umri wa kubalehe ni vyema mkakaa na kuyajadili mabadiliko yake ya kimwili na madhara na matokeo ya kufanya matusi ungali mdogo hivyo.
Duh! hili neno la kufanya matusi umenikumbusha mbali sana, maana ilikuwa kama unataka kumsemea mtoto aliyefanya tendo la ndoa ukitaja lile neno la K*t*m**, ulikuwa unapewa kichapo kuwa umetukana.

Sasa akileta rafiki wa kike nyumbani, hiyo inaweza ikawa dalili njema au si njema. Kusema kwamba utafurahi kijana wako kupenda female company, kuwa mwangalifu. Watu wenye mwelekeo wa kupenda wapenzi wa jinsia moja, hususan wale wa kiume hupenda sana kujichanganya na wanawake. Wanakuwaga na mashosti wao wa kike na wanapenda mambo ya kike kike.
Kwa hili ninakubaliana na wewe mtoto wa kiume akipenda kuwa karibu na watoto wa kike ni dhahiri atajifunza kupaka poda na wanja kwani stori zote zitakuwa ni "femininity". Binanfsi kuna mtu namfahamu si riziki lakini marafiki zake ni wasichana tu.
 
we ngabu si ulisema zamani ulikuwa ukiishi upanga. tena ukasema ulikuwa dogo wa kwanza mtaani kwenu kuwa na BMX, sasa huko uswazi ni kwa nani? mmmh na upanga hakuna jumba bovu. labda yale maeneo ya jamatini. mimi mwenyewe nilikuwa naishi upanga maeneo ya muhimbili tulikuwa tunacheza keleee "silver oku" mitaa ya mindu.tulikuwa tukicheza na kina koku, sharifa jike dume, wengine siwakumbuki

Hahahhaaaa babu sikusema Upanga bana....nilisema Mwananyamala kisiwani. Au hudhani kuwa mtu wa Mwananyamala kisiwani hawezi kuwa wa kwanza kuwa na BMX mtaani?
 
mimi nafikiria kabisa kuwapa ruksa watoto wa kiume walete
wanawake nyumbani ni sahihi.....kuanzia miaka 15 walete tu warembo mradi wafundishwe
kutumia condoms.....

but maybe i am wrong......

you are very wrong!!!!!!! check red, na kabinti kako kakuletee tu mirijali kama saba hivi na ukasisitize tu kuwavalisha comndoms??????

We have our own traditions, we have to abide them. Mbona middle east, ASEAN regions and other countries in asia wanaweza?


lat year pakistani had 67 HIV positive, na walipiga kelele sana kwa nini imekuwa 67 while they knew it was 66. Hapo hakuna suala la kusema ni dini yao ya uislam bali wanashikilia traditions zao. Hata sisi tunaweza tatizo letu ni kuiga vitu vya Ulaya na Marekani. Na hasa Hollywood life style ambayo ni ya kwenye sinema tu.
 
Back
Top Bottom