Ndio mpango waoWanaweza hata kupandikiza mambo ya ajabu humo kweli umasikini ni mbaya.
Ndio mpango waoWanaweza hata kupandikiza mambo ya ajabu humo kweli umasikini ni mbaya.
Una wazimu nn .Apewe nani kama siyo ninyi mnaotayarishwa kutawaliwa.Watoto wa vigogo wapewe
Twafaa, MwafaaKama kweli vina virutubisho bc vipelekwe Ikulu
usishangae ni mradi wa kitambo kidogo eneo hilo 🐒Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.
Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.
Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.
Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.
Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.
Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.
My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
usishangae ni mradi wa kitambo kidogo eneo hilo 🐒
Sema umasikini wa mawazo mazuriWanaweza hata kupandikiza mambo ya ajabu humo kweli umasikini ni mbaya.
Kwahiyo Dodoma sahizi kuna wakimbizi wa akili ?Nakumbuka viroba hivi mwaka 1994 ,walikua wanapewa wakimbizi Benaco kule
Si mlisema mama yenu anafungua nchi? Sasa kelele za nini,Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.
Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.
Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.
Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.
Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.
Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.
My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Walio ruhusu huo mchele ni viongozi wako walaumu waoWala tusipanic, haya ndio matokeo ya kukosa focus kwenye issue za msingi.
Hivi ilikuaje miaka ile enzi za mwalimu Tz ikawa moja ya nchi za Africa zilizokua na akiba ya chakula cha kutosha?
Tunakosea wapi labda? Nini kifanyike ukizingatia technolojia, wasomi na taasisi za kuzalisha wataalimu tunazo?