Pona
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 1,099
- 647
1.kumbe kufundisha mafunzo ya kiislam ni kinyume na sheria.
2.watoto wana miaka11-20.hv siku hz mtu mwenye miaka 20 ni mtoto.
in short ni kwamba mnamaanisha kwamba wanafundishwa ugaidi..
Hii nchi watu wakikosa vya kufanya wanakuja na program za kibwege sana
Ndugu yangu Quran imemaliza kila kitu na kuwatanabahisha waislamu juu ya wakristo na wayahudi.
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu. (Al-Baqara 2:120, Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani)
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Al-Maeda 5:51, Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani)