Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

Status
Not open for further replies.
Mkuu umekaririshwa na huelewi!!! Soma hapa uwafahamu vema muslim scholars Medicine in the medieval Islamic world - Wikipedia, the free encyclopedia .. Uislam unahimiza umuhimu wa elimu zote mbili...elimu Akhera kwaajili ya kumjua Mola wako na Elimu Dunia kwaajili ya kumiliki vema amali zako za duniani... Waislam wamelazimishwa kusoma!!!

Notion kuwa waislam hawajasoma eti wanasoma madrasa pekee ni upuuzi na propaganda za wenye kuwadhulumu kwa maslahi yao!!!! Elimu ya Magharibi inajulikana lengo lake ilikuwa si kuwaandaa wasomi wajitambue na kujitawala bali ilikuwa na lengo la kuwaandaa kuwatumikia Wazungu!!!! No wonder Maprof wanakuwa MAFISADI Wazungu Worshippers...

Dhulma dhidi ya Jamii ya Kiislam ni dhulama dhidi ya Jamii ya watanzania kwakuwa sisi ni wamoja na tumeoleana, tumezaliana waislam na wakristo!!! Isitokee Jamii moja wakajiona wako sahihi muda wote kwa kujaribu kulazimisha Tension ambayo kimsingi haipo... Nauliza Tena WAZAZI wa hao watoto wako wapi? Wamelalamika? au wakiwa kwa masisters poa lakini wakiwa kwa ndugu zao inakuwa Nongwa? ...

Pia mbona foleni zao ktk balozi za magharibi au makafiri ni kubwa kuliko huko kwa ndugu zao wastaarabu kwannini? ni unafiki tu gombeaneni visa za kwenda uarabuni kama mnavyogombania kwenda kwa wazungu!
 
masopakyindi

Ni kweli kaka zao walijifunza haya mambo miaka ya 1990 na kuendelea na misikiti mingi ikageuzwa kuwa kama madojo ya kujifunzia kareti na judo.Leo hii wengi wao wameshahitimu vyuo na wengine wamepita JKT na wengine wameajiriwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Ni jambo la kumuomba tu Mungu lakini machafuko yatakayosababishwa na imani kali na ugaidi yanasambaa dunia nzima kwa kasi?Kuna kundi linahofia maendeleo ya kidunia yanaharibu mila na desturi za kiislam jambo ambalo linawezekana kulipinga kwa mafundisho bila kumwaga damu.

Miaka ya nyuma waislam walikua ni watu wapole na wastaarabu sana lakini leo hii vijana wengi wa kiislam ni wakorofi sana.Kuna kundi moja wakati tukiwa chuoni kazi yake ilikua kuwafanyia fujo vijana wasio wa kiislama wanpokua na mahusiano na demu wa kiislam. Tatizo likatokea kuwa mademu wengi wa kiislam walikua hawawapendi vijana wa kundi lile kwani wakiwaina kama washamba fulani vile.

Dini zifundishwe kwa sana lakini pia watu wafundishwe umuhimu wa kupekeka dini bila kupoteza maisha yao na ya wengine.

Pia kuna udhaifu kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hasa polisi siku hizi wapo bize sana na mambo yanayoweza kuwapatia rushwa tu na kudhibiti wanasiasa wa vyama vya upinzani ndio maana makundi mengine yanayoweza kupoteza amani ya nchi yanajipenyeza kwa urahisi.

Sasa hivi ukienda kituo cha polisi na kuwaambia kuwa kuna watu unawatilia mashaka kuwa wanajifunza mbinu za kivita watakuambia kwamba hawana mafuta kwenye gari labda ukamwambie RPC ,ukikata tamaa ya kwenda kwa rpc au mkubwa yoyote wa serikali ujue ndio taarifa imepuuzwa.

Lakini ukifika kituoni ukasema kuna gari imebeba mzigo wa magendo kituo kinaweza kikafungwa na askari wote wakakimbilia huko ili kupata chochote.
Njaa inahatarisha usalama wa nchi.

Je, tutafika?
 
Last edited by a moderator:
Vijana wakipelekwa kwenye mashule ya boarding na kusoma mambo ya secular sio kosa ila wakikusanyika kwenye vituo vya kidini na wakijifunza dini hiyo ni dhambi. Labda Tanzania tumeichoka amani otherwise tusiingilie imani za watu.
 
Kama ni masomo ya kawaida mimi naona poa tu. Mradi wawe wamesajiliwa na wanafuata sheria zote za malezi ua watoto mbali na wazazi.
Ni sheria ya tanzania mtoto akifika miaka 7 aanze masomo maalum ya shule ya msingi. Kama wanapewa hayo na wana waalimu wenye usajili ni poa sana tu.
Ila kutumia nyumba iliosajiliwa kwa ibada na watumishi wanaojulilana kuwa sio walezi au walimu wanaotambulika kisheria ni kosa la aina yake.
Shule za maadili ya kiislamu na seminari za kiislamu hazikidhi hii haja?
 
Hii dini hii mmmh??? mpaka kiama kije itakuwa imeua, kuchinja, kulipua na kudanganya wengi,, eeh mungu tuepushe nayo!
 
Wengine wako makao makuu ya chadema wanapata mafunzo ya karate, mbona na hao wameachwa?
 
siku tutakapogundua uislamu ni kansa inayokua polepole tanzania tutakuwa tumechelewa sana kuishughulikia kama kweli kuna mungu na kaamua kutuletea dini ya kilaghai hii ana kesi kubwa sana ya kujibu kwetu.
 
Walikuwa wanapitia marekebisho ya muswada wa kaaadhwiiii
 
siku tutakapogundua uislamu ni kansa inayokua polepole tanzania tutakuwa tumechelewa sana kuishughulikia kama kweli kuna mungu na kaamua kutuletea dini ya kilaghai hii ana kesi kubwa sana ya kujibu kwetu.

Hii dini ni ya kufutwa kabisa kwenye uso wa dunia
 
1.kumbe kufundisha mafunzo ya kiislam ni kinyume na sheria.
2.watoto wana miaka11-20.hv siku hz mtu mwenye miaka 20 ni mtoto.
in short ni kwamba mnamaanisha kwamba wanafundishwa ugaidi..
Hii nchi watu wakikosa vya kufanya wanakuja na program za kibwege sana
 
siku tutakapogundua uislamu ni kansa inayokua polepole tanzania tutakuwa tumechelewa sana kuishughulikia kama kweli kuna mungu na kaamua kutuletea dini ya kilaghai hii ana kesi kubwa sana ya kujibu kwetu.

Kama uislamu ni kansa basi inshaalla alieileta hii dini atakuonyesha kansa maana unaonekana Kansa wewe huijui!
 
1.kumbe kufundisha mafunzo ya kiislam ni kinyume na sheria.
2.watoto wana miaka11-20.hv siku hz mtu mwenye miaka 20 ni mtoto.
in short ni kwamba mnamaanisha kwamba wanafundishwa ugaidi..
Hii nchi watu wakikosa vya kufanya wanakuja na program za kibwege sana
Ni watu wajinga kama ninyi msioelewa kuwa mafunzo hayo ni yskuua watu wote, waislamu kwa wakristo.
Bomu la ubalozi wa marekani uliua watanzania waislamu wengi zaidi kuliko wLalotegemewa.

Na pengine mtoa hoja utueleze ni aya ipi inayoruhusu kuua alimradi unaifurahisha roho yako kwa mauaji.
Mwisho wa siku hakuna anayekaa doro , hao wanao toa mafunzo ya ugaidi watawindwa na kutokomezwa.
 
Mjinga wa mwisho ww

Ujinga wangu ni kuwaeleza wajilipue wenyewe? ulitaka walipue wasiowa itikadi yao? mbona wanaokula nguruwe hawalishi wasiokula au kuwaalika kwenye chakula chao. Heri we mwerevu maana ni hao wanaoamini kuua ni njia ya kwenda peponi.
 
Vijana wakipelekwa kwenye mashule ya boarding na kusoma mambo ya secular sio kosa ila wakikusanyika kwenye vituo vya kidini na wakijifunza dini hiyo ni dhambi. Labda Tanzania tumeichoka amani otherwise tusiingilie imani za watu.

Kwaio pale msikitini walikuwa boarding ya kufundishwa mafunzo ya kijeshi?
 
Haya mambo ya kareti na scout / yafundishwe ktk taaaisi za kimichezo na kamwe IWE NI MWIKO KUUNGANISHWA NA TAASISI ZA KIDINI/
 
mafunzo ya kiislam yanatolewaje kinyume cha sheria?? acheni umbea

hapo Ndio ujue uislam na waislam tunafanyiwa hujuma sana. ipi sheria ya kutoa mafunzo ya kiislam katika nchi hii?
hao wakristo wanafuata sheria gani kutoa mafunzo?

Hizo zote ni Hila na wala hazina nguvu wala nafasi katika dunia ya sasahivi.
Ni wajinga tu watakao amini propaganda kama hizo.
 
unless kama wanaohusika wanahofia kutuambia ukweli lkn nahisi kama kuna njama za kuleta ugomvi wa kidini katika jamii yetu.
jamani tusiushokoe mchokoo kabla haujatuchokoa
hapa jeshim la polisi lina cha kujieleza

Markaz ni utaratibu wa miaka mingi kwa wazazi wanao opt kuwapeleka watoto wao kujifunza dini,,, mikoa maarufu ni Tanga,, hujifunza na waofaulu huja hapa Gongolamboto na wengine huenda Al azhar kule Misiri na Madina.. masheik wengi wamepitia markazi hizi.. na kwa sasa markaz hizi hulea mayatima na watto wanaoishi kwenye mazingira magumu...hata Bunju kuna Markazi kama hii ikiongoza na cheif Kadhi kama sikosei.. Tuacheni chuki mbona mnawachukia waislam kiasi hiki? kama swala la karate.. ajabu iko wapi? mbona kuna maskauti shule nyingi tu chini ya kanisa? au waislam ndo iwe nongwa
 
Inaelekea kuna juhudi watz kuundiwa al shabaab. hii dhambi kubwa maskini watoto wachanga wa kike wanaandaliwa bila huruma kuja kua mabomu kwa kujilipua. amani haina kipimo wandugu sote tuwe macho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom