Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

Status
Not open for further replies.
Wakishahitimu mafunzo ya kujilipua kuwahi bikira ahera, wasisitizwe ili wafaidi hivyo wanavyowahi ni muhimu kulijilipua kwenye kundi la watu wenye itikadi ya kidini kama yao, ili wakafaidi wote. Wasiotaka kuwahi waachwe wasiwahishwe kwenye hizo karamu zao.
 
Jee ni kosa misikiti kuwa na shule za boarding?Tatizo bakwata imeshindwa kusimamia madrasa na kutoa usajili wake
 
kuna taarifa kuwa magaidi wa IS walipanga kushambulia tz na aljazeera walisharipoti so tuwe makini.la sivyo tutakimbiana

Mwenyezi Mungu na aepushe hawa watu wasituvamie. Kwa jinsi ninavyowaona kwenye matukio mbali mbali wakijiandaa kuja Tz hawatamkuta mtu nchini humu.
 
experience kwa nchi zenye matukio ya kujilipua ni kwamba mtu anayeweza kujifunga bomu na kujilipua ni yule ambaye amekulia katika mazingiza tengefu, na kuwa brainwashed kidini tangu utoto wake... kuyu hana reference ya mbayuwayu kwenye ubongo wake.....hajui hata utamu wa dunia..yeye kila kitu cha duniani ni kibaya...akiishachochewa na kukolezwa ndio anapewa bomu ajifunge ajilipue ili awahi akhera....ambako ndio kaaminishwa ndio kuna kuku za kumwaga.....
Tuloshaonya juu ya hili.
Kuna magaidi wanapanda mbegu za machafuko kwa miaka 20 ijayo.
Vyombo vyetu vya usalama vituhakikishie usalama juu ya hili.
 
kuna taarifa kuwa magaidi wa IS walipanga kushambulia tz na aljazeera walisharipoti so tuwe makini.la sivyo tutakimbiana

Unachotahadharisha ni kweli kabisa mkuu. Kwa jinsi ninavyoyaona makeke yao wakitangaza tunakuja wiki hii hawakuti raia yeyote wote watakuwa wameshahama.
 
Hao Nape, Kova na inteligensia ya polisisie, hawawaoni, wala hawana taarifa nao, wao na Red Briged tuuuuuu! These are even more dangerous than the esteemed Red Brgd!

Umesahau Purple Brigade ya ZZK.
 
Kwani Ni haramu kujifunza karate au kufikia level Yakuwa sensei,,,,haramu Ni je unajifunza kwa lengo gani,kukaba watu au self defense Tu.....
mkuu ndio hayo mafunzo ukayachukulie kwenye nyumba ya ibada? hayo ndiyo yanawatisha watu hata wakisikia mambo mengine ambayo hayatishi kama mswada wa mahakama ya kadhi wauogope wajue ndiyo yelee yeleeeee!
 
Huo ni uonevu kabaisa....vp leo mafunzo ya dini yasiwe yanatambulika jamani au kosa kuwaweka vijana pamoja? Unafiki umeanza
 
Watanzania imefika mahala kila mmoja inabidi awe mlinzi na hili inabidi kipewe nguvu kisiasa . Tuna hali mbaya kuliko tujuavyo. Hata humu kuna watu wanatetea Hali hii na hawa ni wa kuwakemea na wengine wote wanaoshabikia Hali Kama hii katika jamii. Watu wanatetea kuwa ni mazoezi ya kawaida ni kwa nini walengwa wasiwe wazee ama kila zote wakengwe watoto pekee. Tanzania Ina Hali mbaya haya makundi including green , red vyote si vya kubeza .

Watawala imarisheni majeshi yote na vikundi hivi vinsvyoanzishwa kwa msukumo wa utashi wa vikundi vya jamii serikali kuweni macho mvifutileni mbali. Fundisheni jamii kuwa walinzi individually.
 
Kosa ni lipi hapo? Wazazi wamelalamika watoto wao kupotea? Kupewa mafunzo ya Dini ni Kosa? Mwislam wa kweli lazima afanye mazoezi awe na afya njema... ndo maana Uislam unakataza Ulevi, Uzinzi, Uvutaji wa Sigara na vyote vyenye kudhuru Mwili... Isitoshe Uislam unahimiza kusaidiana baiana yao... Kosa ni nini? Nijuzeni tafadhali ..

Binafsi sioni kosa labda kama watoto hao wamenyimwa haki yao ya msingi ya kwenda shule na uhuru au kama wanaishi kama wafungwa apo ndio wahusika na wazazi itabidi waadabishwe.
 
Acheni kutunga jamani, mi najua misikiti kibao ambayo wanapokea vijana toka sehemu mbali mbali kujifunza dini na kisha kurejea makwao......Kama kuna kitu kinatengenezwa basi mtengeneze vyema,....Mbona hamtupi taarifa ya wale watoto mliodai wamekamatwa nyumba moja huko moshi? kumbe walikuwa mayatima tena walikuwa wanaishi maisha mazuri na salama...naona kimya hadi leo.
Mbona kuna yule mzazi aliyezungumza LIVE kwamba watoto wake wawili walitoweka tangia mwaka jana na baada ya kumpata mmoja aliyewezesha kujulikana iyo ishu alitanabaisha manapata mateso huko waliko?
 
Mkuu elimu hizo ndio zinatuwezesha kuwazalisha wake zenu, kuwatibu masheikh wenu, kutengeneza karatasi, computer na printer zinazowawezesha kupiga nakala za Quran kwa urahisi na kuokoa muda. Pia ndio zinawezesha kutengeneza vyombo vya usafiri mnavyotumia kwenda na kurudi hijja kila mwaka. Hata redio na Tv mnazotumia kueneza dini yenu na kufundishana zinatoka na hiyo elimu haram. Kifupi ni kwamba bila hizo Elimu mnazoziita za magharibi hakuna kila kitu.
 
Hawana shida ni mazoezi ya kujihami tu na msijali kuhusu hilo
 
Kuna watu wanakurupuka humu. Katika technique za kutafuta wahalifu, KUMSHUKU MTU kupo na hasa kama huridhiki na mienendo yake.

Hata wewe ukiibiwa, unaweza kumshuku mtu akakamatwa akahojiwa, akachunguzwa na ukweli ukabainika ili mradi uwe na justification ya kushuku.

Kama mafunzo hayo yangekuwa ya wazi aina ya elimu inayotolewa inajulikana, n.k kusingekuwa na shaka, lakini watoto kuacha shule na kwenda kujifuza dini mkoa mwingine tena kwa siri, bado utafiti unatakiwa kujua.

Tulieni
 
Scary shit....

The making of religious millitants...
 
Mkuu umekaririshwa na huelewi!!! Soma hapa uwafahamu vema muslim scholars Medicine in the medieval Islamic world - Wikipedia, the free encyclopedia .. Uislam unahimiza umuhimu wa elimu zote mbili...elimu Akhera kwaajili ya kumjua Mola wako na Elimu Dunia kwaajili ya kumiliki vema amali zako za duniani... Waislam wamelazimishwa kusoma!!!

Notion kuwa waislam hawajasoma eti wanasoma madrasa pekee ni upuuzi na propaganda za wenye kuwadhulumu kwa maslahi yao!!!! Elimu ya Magharibi inajulikana lengo lake ilikuwa si kuwaandaa wasomi wajitambue na kujitawala bali ilikuwa na lengo la kuwaandaa kuwatumikia Wazungu!!!! No wonder Maprof wanakuwa MAFISADI Wazungu Worshippers...

Dhulma dhidi ya Jamii ya Kiislam ni dhulama dhidi ya Jamii ya watanzania kwakuwa sisi ni wamoja na tumeoleana, tumezaliana waislam na wakristo!!! Isitokee Jamii moja wakajiona wako sahihi muda wote kwa kujaribu kulazimisha Tension ambayo kimsingi haipo... Nauliza Tena WAZAZI wa hao watoto wako wapi? Wamelalamika? au wakiwa kwa masisters poa lakini wakiwa kwa ndugu zao inakuwa Nongwa? ...
 
Kwani Ni haramu kujifunza karate au kufikia level Yakuwa sensei,,,,haramu Ni je unajifunza kwa lengo gani,kukaba watu au self defense Tu.....


Mafunzo ya karate pia yapo kwenye quran???
 
Wakishahitimu mafunzo ya kujilipua kuwahi bikira ahera, wasisitizwe ili wafaidi hivyo wanavyowahi ni muhimu kulijilipua kwenye kundi la watu wenye itikadi ya kidini kama yao, ili wakafaidi wote. Wasiotaka kuwahi waachwe wasiwahishwe kwenye hizo karamu zao.

Mjinga wa mwisho ww
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom