Ukwaju;
Daah! Pole mkuu, yalikufika hayo!! Najiwazia tu, ulivyo fadhaika ulipojikuta unatumbua mimacho bila kujifaham yalokupata. Fikiri, ukute hela yenyewe umekopa ka mtaji, sasa umebaki na risiti zisizokusaidia. Najiuliza, hivi ulipokuwa waenda panda basi lako kujirudia home labda Manerumengo, ungelimkuta kibaka anashughulikiwa na wenye hasira kali; Nawaza tu, angelikuangukia miguuni kuwa, nisaidie kaka nauawa!! Ungeanzia wapi kumchuna ngozi?? Ni mawazo tu!
Wababe hawatasaidia, huruma ndo itasaidia. Ukimhurumia, akitaka kuiba tena, dhamira itamsuta.