Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

MSHANA JR. inasemekana SAIDI alikuwa ndo mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, na ndio maana SCOPION aliamua kumfundisha adabu. japo njia aliyo tumia ni kali sana, YA KUMTOA MACHO. naifananisha adhabu hiyo na ile ya wananchi wanapomkamata kibaka mtaani hujichukulia sheria mikononi na hatimaye kumchoma MOTO. swali kwako KAKA MSHANA JR, endapo hayo madaini ni yakweli kwamba Saidi alikuwa mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, unadhani adhabu gani ilimfaa huyo SAIDI. Kwani nijuavyo mimi Kipimo cha adhabu kinapimwa na MTOA ADHABU MWENYEWE>


Nakiri kuwa kitendo alichofanya SCOPION ni cha UNYAMA
Polisi ipo.
 
Ukwaju;
Daah! Pole mkuu, yalikufika hayo!! Najiwazia tu, ulivyo fadhaika ulipojikuta unatumbua mimacho bila kujifaham yalokupata. Fikiri, ukute hela yenyewe umekopa ka mtaji, sasa umebaki na risiti zisizokusaidia. Najiuliza, hivi ulipokuwa waenda panda basi lako kujirudia home labda Manerumengo, ungelimkuta kibaka anashughulikiwa na wenye hasira kali; Nawaza tu, angelikuangukia miguuni kuwa, nisaidie kaka nauawa!! Ungeanzia wapi kumchuna ngozi?? Ni mawazo tu!
Wababe hawatasaidia, huruma ndo itasaidia. Ukimhurumia, akitaka kuiba tena, dhamira itamsuta.

Mkuu hayajakukuta, mwizi si mtu wa kuhurumiwa hata kidogo.
Wiki mbili zilizopita alikamatwa kibaka hapa kwetu kakomba sandals mlangoni wadau walimwandalia mazingira ya kumuadabisha ila nikamkingia kifua nikiamini atajifunza watu wakanilaumu sana, siku ya tatu yake sandals zangu peke yangu zikaibiwa, nilitamani kupasuka
 
Mkuu hayajakukuta, mwizi si mtu wa kuhurumiwa hata kidogo.
Wiki mbili zilizopita alikamatwa kibaka hapa kwetu kakomba sandals mlangoni wadau walimwandalia mazingira ya kumuadabisha ila nikamkingia kifua nikiamini atajifunza watu wakanilaumu sana, siku ya tatu yake sandals zangu peke yangu zikaibiwa, nilitamani kupasuka
 
Saa 4 usiku buguruni ndo mishemishe zimepamba moto hivi ni kweli Said awe anapigwa na kutolewa macho kwa ule umati wa watu wamwangalie tu? Alafu huyu scorpion kama kibaka mbona hakuchukua chochote kwa saidi?
 
Mshana Jr. Hili tukio limezidi kunifanya nijue watanzania tu watu wenye uwezo gani kwenye vichwa vyetu. Watu wamejenga kambi mbili... kafanya na anastahili adhabu kali vs hakufanya na atashinda kesi. Mtu ukiamua kuwa neutral na kuhoji kutaka uchunguzi wa kina ufanyike kabla ya hukumu unatukanwa. Kwa kifupi hii kesi ni kesi rahisi sana kuchunguza kama imepata/itapata mpelelezi anayejituma na anayetaka kutafuta ukweli.
 
Mshana Jr. Hili tukio limezidi kunifanya nijue watanzania tu watu wenye uwezo gani kwenye vichwa vyetu. Watu wamejenga kambi mbili... kafanya na anastahili adhabu kali vs hakufanya na atashinda kesi. Mtu ukiamua kuwa neutral na kuhoji kutaka uchunguzi wa kina ufanyike kabla ya hukumu unatukanwa. Kwa kifupi hii kesi ni kesi rahisi sana kuchunguza kama imepata/itapata mpelelezi anayejituma na anayetaka kutafuta ukweli.
Ni kweli kabisa mitandao ya kijamii ndio imeleta mikanganyiko mingi lakini kama unavyosema haiko complicated kivile
 
Saa 4 usiku buguruni ndo mishemishe zimepamba moto hivi ni kweli Said awe anapigwa na kutolewa macho kwa ule umati wa watu wamwangalie tu? Alafu huyu scorpion kama kibaka mbona hakuchukua chochote kwa saidi?

Alichukua pesa na mikufu
 
Mkuu hayajakukuta, mwizi si mtu wa kuhurumiwa hata kidogo.
Wiki mbili zilizopita alikamatwa kibaka hapa kwetu kakomba sandals mlangoni wadau walimwandalia mazingira ya kumuadabisha ila nikamkingia kifua nikiamini atajifunza watu wakanilaumu sana, siku ya tatu yake sandals zangu peke yangu zikaibiwa, nilitamani kupasuka

Mkuu;
Hiyo Ni wale wale wenzako wameamua kukuhujumu tu ili waone utasemaje. Hakuna mwizi atakayeponea tundu la sindano athubutu kurudia sehem ile ile.
Pili, Hivi weye unafurahia kibaka aliyeiba kuku, tv screen au viatu tu auliwe au afanywe kilema wakati wadokozi wakubwa waliosoma wanaiba kwa kalam na kujijengea makasri ya kutisha halaf hawaambiwi chochote?? Nadhani, we are not fair.
 
Hahahahahahah ulipigwa kifala mno. Don't trust nobody in this world!
ASANTE Mkuu kwa hiyo ningetoa Bastola wakati mwizi simuoni wala box langu?
km mm nilipigwa kifala mbona jamaa yako Said alitoa kisu na Scorpion akakidaka na kumtumbua macho nani sasa fala.
hayajakukuta Mkuu,
Don't trust nobody in this world!
jamaa yangu mm nimesomea Dar lkn siwezi trust any body ila kupigwa na vibaka kupo
 
Mkuu;
Hiyo Ni wale wale wenzako wameamua kukuhujumu tu ili waone utasemaje. Hakuna mwizi atakayeponea tundu la sindano athubutu kurudia sehem ile ile.
Pili, Hivi weye unafurahia kibaka aliyeiba kuku, tv screen au viatu tu auliwe au afanywe kilema wakati wadokozi wakubwa waliosoma wanaiba kwa kalam na kujijengea makasri ya kutisha halaf hawaambiwi chochote?? Nadhani, we are not fair.
hivi watu wametengeneza escrow kwa kalamu wakazidisha na kujumlisha ww wamekupora wapi
sisi tulioibiwa kwa kabali wacheni tuwachome moto
kwanini walikimbia shule kuja kumpiga mdada wa watu na kupora handbag
ingeuliza kuchomwa moto na tauri hadi kufa na kutobolewa macho kupi nafuu ningekuelewa
hapa ni kuwatafuta wanaowafadhili tu ndio komesha yao hawa panyaroad
 
Pole kaka,ingawa imenifanya nicheke kwenye mstari"NA UBABE WANGU NIKASAFISHA NJIA",kugeuka watu walisepa,mimi naona waotetea wezi hawajahi ibiwa pakubwa!!!
Jephta2003 humu ndani nashangaa watu wanawatetea vibaka, yaani pale Kariakoo ukitangulia ukaacha toroli nyuma jamaa wanahamisha box kwenda toroli jingine na papo hapo anabadili fulana ukimuuliza anakushangaa. ni lazima utakaa chini maana ukitoa cha moto ni murder tu
utajikuta unatafuta box ndani ya suruali.
Kwanini hivi vitu mtu usisamehe MUNGU atakulipua na yeye akikutikana ni kutumbuliwa macho,
Juzi Mkurugenzi kamchomolea traffic mguu wa kuku Kazi hana, hasira zimeisha anajuta yupo rumande
 
ASANTE Mkuu kwa hiyo ningetoa Bastola wakati mwizi simuoni wala box langu?
km mm nilipigwa kifala mbona jamaa yako Said alitoa kisu na Scorpion akakidaka na kumtumbua macho nani sasa fala.
hayajakukuta Mkuu,

jamaa yangu mm nimesomea Dar lkn siwezi trust any body ila kupigwa na vibaka kupo
sizungumzii kuwa haiwezekani ila akili iliotumika kukufanyia suprise ilikuwa akili ndogo mno! Kamwe usikubali kutangulizwa eti mzigo ukufwate nyuma au kumtanguliza mtu mbele halafu aende spidi kukuzidi wewe mpaka akupotee machoni!
 
Ukwaju;
Daah! Pole mkuu, yalikufika hayo!! Najiwazia tu, ulivyo fadhaika ulipojikuta unatumbua mimacho bila kujifaham yalokupata. Fikiri, ukute hela yenyewe umekopa ka mtaji, sasa umebaki na risiti zisizokusaidia. Najiuliza, hivi ulipokuwa waenda panda basi lako kujirudia home labda Manerumengo, ungelimkuta kibaka anashughulikiwa na wenye hasira kali; Nawaza tu, angelikuangukia miguuni kuwa, nisaidie kaka nauawa!! Ungeanzia wapi kumchuna ngozi?? Ni mawazo tu!
Wababe hawatasaidia, huruma ndo itasaidia. Ukimhurumia, akitaka kuiba tena, dhamira itamsuta.

SIKU UKIIBIWA NDIYO UTAJUA MWIZI ANATAKIWA KUTENDEWA NINI LAKINI KWA SASA ENDELEA NA POROJO AMBAZO HATA KWENYE HIZO DINI ZETU ZOTE HAKUNA LISEMALO UMWACHE MWIZI HAI ILA KWA DINI ZA MAZINGAOMBWE WANAKUAMBIA SABA MARA SABINI MAANA YAKE UIBIWE MARA MIA NNE TISINI ILE YA TISINI NA MOJA SIJUI NAYO USAMEHE AU?
 
SIKU UKIIBIWA NDIYO UTAJUA MWIZI ANATAKIWA KUTENDEWA NINI LAKINI KWA SASA ENDELEA NA POROJO AMBAZO HATA KWENYE HIZO DINI ZETU ZOTE HAKUNA LISEMALO UMWACHE MWIZI HAI ILA KWA DINI ZA MAZINGAOMBWE WANAKUAMBIA SABA MARA SABINI MAANA YAKE UIBIWE MARA MIA NNE TISINI ILE YA TISINI NA MOJA SIJUI NAYO USAMEHE AU?
Haha haha hahaaaaa umenichekesha sana...... Ukristo sio dini ila ni life style, kuishi kama YESU Kristo Yakobo 1:27
 
Back
Top Bottom