Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

Aksante sana kwa mifano yako ambayo sijaona uhusiano wake na nilosema. Kumbe ukristo na maisha ya Kristo kwako ni kufungia tairi mwizi na kumchoma moto kisa kaiba kuku!! Ukristo huo siutaki. Huyo Yesu wako alipoletewa mwanamke mzinzi mbona hakumhukumu?? Watu walikuwa tiyari kuitimiza tawrati ya Musa, Yesu akakataa, hapo vipi? Usilipange neno lihalalishe uovu wako.
Nasema; HUMJUI MUNGU. Mangapi umefanya kwa siri ambayo hata kuyataja unaogopa. Mungu mbona asikuumbue??

WEWE UNAYEMJUA MUNGU MJUE NA MIMI NIACHE NA DHAMBI ZANGU, NI LINI NA WAPI MWIZI WA KUKU KACHOMWA MOTO HATA HIVYO KWA NINI AIBE? ENDELEA KUTETEA UHALIFU KWA KISINGIZIO CHA DINI MAANA PAMOJA NA MIFANO YOTE UMENIONA SIJUI KITU ILA KASOME KITABU CHA WAGALATIA SURA NA AYA SIIKUMBUKI ILA UNASISITIZWA KUWA NA KIASI KWA KILA JAMBO KATIKA YALE MATUNDA TISA YA ROHO.
 
WEWE UNAYEMJUA MUNGU MJUE NA MIMI NIACHE NA DHAMBI ZANGU, NI LINI NA WAPI MWIZI WA KUKU KACHOMWA MOTO HATA HIVYO KWA NINI AIBE? ENDELEA KUTETEA UHALIFU KWA KISINGIZIO CHA DINI MAANA PAMOJA NA MIFANO YOTE UMENIONA SIJUI KITU ILA KASOME KITABU CHA WAGALATIA SURA NA AYA SIIKUMBUKI ILA UNASISITIZWA KUWA NA KIASI KWA KILA JAMBO KATIKA YALE MATUNDA TISA YA ROHO.

Mkuu;
Sasa huoni hapo pana tatizo?? Unaniambia nikasome kitabu cha wagalatia, kipo wapi na sura ya ngapi!!! Pole zako, ndo maana sipendi kubishana kwa sababu ya kubishana. Askante
 
Mkuu;
Sasa huoni hapo pana tatizo?? Unaniambia nikasome kitabu cha wagalatia, kipo wapi na sura ya ngapi!!! Pole zako, ndo maana sipendi kubishana kwa sababu ya kubishana. Askante

Bahati nzuri mimi siyo mwalimu wa shule ya jumapili kukariri aya hakukufanyi uwe mtakatifu unataka nikutafunie kila kitu, pole sana tuishie hapo.
 
Pole kaka shemeji zangu walipigwa mzigo toroli zima kwa style hiyo! Huu mji huu Mungu anauona
mshana jr kuna audio clip inatembea katika mitandao ya Whatsapp kumhusu Mama Gwakisa alivyovamiwa na vibaka mitaa ya Msimbazi na Congo huku wameshika jisu na mwingine bisibisi kama sio ujasiri wa huyo Mama wa Kinyakyusa kugonga magari ya wenzake na vibajaj asingepona,
humu JF bado watu hawaamini Dar ya Makonda si ya kuishi
Makonda awaondoe kwanza hao vibaka asiwalee na kuwapa vizawadi, kwanza afute MACHINGA wote
Dar siji na si salama tena Kariakoo
 
BADO MMOJA,
Jaribu kidogo kuwa realistic. Usidhani ka ni wewe tu uliyewahi kuibiwa, tena wakati mgumu sana na mahali pabaya saana. Lakini, kama kweli weye ni Mkristo, unayeujua Ukristo, sidhani ka ungelikuwa na mawazo yako. Njoo uwe Mkristo uishi Kikristo, hutayawaza uwazayo.
Wakati usafiri ni shida, nilisafiri na familia yangu kutoka Musoma kuja Arusha. Familia ya watu 8, sintaisahau hiyo safari kwani ilikuwa kuungaunga. Musoma - Mwanza, Mwanza - Nzega, Nzega - Singinda, Singida - Arusha. Ni safari ngumu, ndefu na ya kuchosha. Waweza kuona kuwa ulikuwa ujinga lakini aliyesafiri kipindi hicho cha 80s anajua nilichofanya ni hekima sana.
Nikiwa Singida, nikaibiwa nusu ya hela zangu zote za safari. Tena kwa mtu aliyejifanya msamaria mwema na kunisaidia mizigo na baadhi ya watoto. Ninachomshukuru Mungu ni kuwa, hakuwaumiza watoto wala hakuniumiza mimi ila alinimaliza nguvu kabisa. Nilifedheheka mbele ya familia ka baba waliyemwona ni Tyson asiyetishwa. Lakini siku hiyo, begi langu likachukuliwa vivi hivi tukiangalia likatokomea gizani. Ili kuwafanya wale genge la jambazi waondoke nika walilia kuwa jamani tunaenda mbali na angalieni familia mnihurumie hata nusu ya nauli wakacheka kicheko cha fisi wakatokomea gizani na matisho kuwa watarudi tena. Namshukuru Mungu hawakurudi.
Nikafungua maboksi yangu na kutoa hela niliokuwa nimeificha humo, asubuhi tukapata gari la kufika Arusha. Hebu niambie, ni mimi leo kweli nawatetea wezi?? Namshukuru Mungu aliyewafumba macho wasinivamie tena pale stand Singida hata wakawadhuru watu wangu.
Pole sana
 
Ameuwawa mwandishi kwa bom hatujasikia mamlaka yoyote kujitolea kusema labda itawasomesha hata watoto zake waliobadilishiwa mfumo wa maisha gafla kwa kuuliwa mzazi wao!!!!!leo hii kibaka kabakwa michango kibao hiii nchi sijui inaelekea wap......
 
mshana jr kuna audio clip inatembea katika mitandao ya Whatsapp kumhusu Mama Gwakisa alivyovamiwa na vibaka mitaa ya Msimbazi na Congo huku wameshika jisu na mwingine bisibisi kama sio ujasiri wa huyo Mama wa Kinyakyusa kugonga magari ya wenzake na vibajaj asingepona,
humu JF bado watu hawaamini Dar ya Makonda si ya kuishi
Makonda awaondoe kwanza hao vibaka asiwalee na kuwapa vizawadi, kwanza afute MACHINGA wote
Dar siji na si salama tena Kariakoo
 
="Nkobe, post: 18142870, member: 126268"]Alichukua pesa na mikufu
Lakini simu akaiacha?? hiyo mikufu na pesa atakuwa alipolwa na wasamalia wema waliompa msaada kwa dar hiyo kawaida sana mtu amapata ajari watu wanakimbilia mifukoni.

Nazani hilo la kusema kuwa kaporwa cheni na hera analiweka ili ionekane kuwa scorpion aliliwa kibaka maana ingeonekana jamaa hakuchukua kitu.watu wangehoji alikuwa anataka nini na ingekuwa rahisi kufika kwenye ukweli[/QUOTE]
hao wasamaria wema walishindwa kupora cm??
 
Kwahio mshana jr unataka kuniambia wakati wa tukio watu zaidi ya 40 hakukuwa na mwenye simu na kurekodi?? wakati yule denti akipewa kichapo na walimu kuna mwanafunzi alirekodi tukio. Lakini hili la scorpion watu wote hawakuwa na muda wa kurekodi tukio??
Tukio lilitokea usiku
 
Mi naendelea kuwa mshuhudiaji tu wa swala hili. Siko upande wa Scorpion wala upande wa alietobolewa macho.
 
Back
Top Bottom