Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

Kwenye vitabu vitakatifu vinaelekeza mwizi hua anakatwa mkono,mzinzi hua anapondwa mawe hadi kufa,hivyo ni vitabu vya dini uswahilini mwizi hua anapigwa na kuchomwa moto,muhanga wa macho alikua mfadhili wa wezi hivyo na yeye ni mwizi

Naomba ushahidi kwa unachokisema.
 
MSHANA JR. inasemekana SAIDI alikuwa ndo mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, na ndio maana SCOPION aliamua kumfundisha adabu. japo njia aliyo tumia ni kali sana, YA KUMTOA MACHO. naifananisha adhabu hiyo na ile ya wananchi wanapomkamata kibaka mtaani hujichukulia sheria mikononi na hatimaye kumchoma MOTO. swali kwako KAKA MSHANA JR, endapo hayo madaini ni yakweli kwamba Saidi alikuwa mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, unadhani adhabu gani ilimfaa huyo SAIDI. Kwani nijuavyo mimi Kipimo cha adhabu kinapimwa na MTOA ADHABU MWENYEWE>


Nakiri kuwa kitendo alichofanya SCOPION ni cha UNYAMA
Scopioni labda alitaka jamaa asiwe anaona tena vitu vilivyoletwa kwake so hataweza kuthaminisha. Hapo ni kama kweli alikua mfadhili wa wezi na anawanunuza walivyoiba.
 
Kwahio mshana jr unataka kuniambia wakati wa tukio watu zaidi ya 40 hakukuwa na mwenye simu na kurekodi?? wakati yule denti akipewa kichapo na walimu kuna mwanafunzi alirekodi tukio. Lakini hili la scorpion watu wote hawakuwa na muda wa kurekodi tukio??
Aliyerekodi ni mwalimu mwenzao nadhani mkuu.
 
MSHANA JR. inasemekana SAIDI alikuwa ndo mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, na ndio maana SCOPION aliamua kumfundisha adabu. japo njia aliyo tumia ni kali sana, YA KUMTOA MACHO. naifananisha adhabu hiyo na ile ya wananchi wanapomkamata kibaka mtaani hujichukulia sheria mikononi na hatimaye kumchoma MOTO. swali kwako KAKA MSHANA JR, endapo hayo madaini ni yakweli kwamba Saidi alikuwa mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, unadhani adhabu gani ilimfaa huyo SAIDI. Kwani nijuavyo mimi Kipimo cha adhabu kinapimwa na MTOA ADHABU MWENYEWE>


Nakiri kuwa kitendo alichofanya SCOPION ni cha UNYAMA
Kwenye nchi zinazozingatia utawala wa sheria hapo ni kuacha sheria ichukue mkondo wake tena kwa wote wawili
 
Dar hapafai kabisa
mm niliporwa mzigo wa bidhaa za dukani na wabeba mizigo maeneo ya Kariakoo
nimembebesha kijana (kuli) box maeneo ya Kariakoo na Congo yeye akaniambia nitangulie kwani watu wengi wanamzuia kupita mm kwa ubabe na kelele nikasafisha njia hatua 10 nageuka HAYUPO na box silioni
nawauliza wote wakazi wa ule mtaa eti wananiambia HAWAJAMUONA binadamu aliyebeba box nikarudi mpaka duka la mwisho, kweli walinicheka, nikaenda shtaki Kituo cha POLISI Msimbazi nako wakanitumbulia macho.
Leo namkumbuka mbabe km Scirpion aongezeke vibaka waishe la sivyo Dar siji lada nijenge mwili
Pole kaka,ingawa imenifanya nicheke kwenye mstari"NA UBABE WANGU NIKASAFISHA NJIA",kugeuka watu walisepa,mimi naona waotetea wezi hawajahi ibiwa pakubwa!!!
 
Una uhakika,,au jamaa kupewa bajaj mbili na pikipiki tano na nyumba roho zimewauma kenge nyinyi,,, MNASHINDWA KUTAMBUA THAMANI YA MACHO NI ZAIDI YA ALIVYOPEWA,,hata kama alikuwa mfadhili wa vibaka,ndio ilikuwa ni haki atobolewe macho,,,acheni roho za kwann
Itakua na wewe ni mwizi au unafadhili wezi,ndio maana unatetea wezi,siku ukijichanganya kuja kuiba mtaani kwetu tairi linakuhusu!!,chukulia hii kama warning ya kishikaji
 
Hili tukio bado tata,na kesi na bado ipo mahakamani. Sasa kwanini wanaosema Scorpion alikuwa mtu mwema huonekana wanatetea uovu lakini wanao muhukumu moja kwa moja Scorpion kwa sababu ya mafunzo ya karate aliyonayo hawaonekani kufanya jambo baya?
 
View attachment 420848

Hii mada haina mahusiano na kile kilichotokea mahakamani leo wala kile kinachosemwa semwa kuhusu yule mhanga wa tukio husika. Hii ni kujaribu kuchambua kwa undani zaidi kile kitendo cha kumng'oa mtu macho na wale watetezi kusema kuwa mtuhumiwa ni mtu mzuri mcheshi na mshika dini sana kiasi kwamba hawezi kufanya hivyo.

Kuna mengi hayakuzingatiwa kwenye huo utetezi, hii ni kawaida kwakuwa nia ilikuwa ni kutetea hasa kutokana na hao watetezi jinsi walivyomfahamu mtuhumiwa na kufanya naye kazi. Mtu mbaya hawezi kuwa mbaya kwa wote na mtu mwema pia hawezi kuwa mwema kwa wote hata kama angekuwa mpole kama hua kuna degree za vichokoo vya kihisia huweza kumfanya abadilike na kuwa mtu mwingine kabisa ndani ya dakika moja.

Moyo wa mtu ni kiza kinene!ni ngumu kujua kilichomo ndani ya giza.

View attachment 420790

Dhana ya kuwa mtu mwema mpole na mcheshi haiondoi ile roho ya kinyama aliyonayo binadamu yoyote yule. Huyu mtuhumiwa kwa jina la utani la scorpion au Nge tayari alikuwa na degree za vichokoo hasi mwilini tangu udogoni alipokuwa anaonewa na wengine! Vichokoo na vichocheo hasi hivyo vilimfanya mpaka akaamua kuingia kwenye kufanya mazoezi makali sana ya mapigano na ulinzi binafsi na kwa maneno yake alishawahi kumshikisha mbaya wake adabu kwa kipigo kitakatifu! Hii ni roho ya kisasi yenye viashiria vya ukatili.

Kigezo cha kushika dini

Kiasili dini ililetwa kuwa daraja kati ya Mungu na wanadamu, ilichukuliwa kama kitu chema sana lakini ni kupitia dini hiyo hiyo imepoteza watu kwa maelfu! Dini imetumika kuua na kufanya mambo mabaya kabisa katika jamii.

Mifano ipo mingi na mfano wa hivi karibuni kabisa ni ule wa Dodoma yule aliyesababisha mauti ya wale watafiti! Washika dini wamegeuka kuwa watu wa kuogopwa siku hizi si kwa imani zao bali matendo yao.

Huyu bwana alikuwa mfanya mazoezi makali ya mapigano hasa karate na boxing! Wacheza karate na boxing ni wakorofi tofauti na wacheza kung fu na tai chi...sababu ni moja kwamba karate na boxing zinatumia nguvu za mwili wakati kung fu na tai chi vinatumia vital power nguvu ya ndani.

Bila kujali unajifunza kipi kati ya hivyo ni lazima upate kujifunza na masomo ya darasani pia kuhusiana na mojawapo ya hilo na somo muhimu ni humanity loving kindness na compassion (ubinadamu upendo na huruma). Usipojifunza ukayaelewa haya vizuri ukakimbilia tu kwenye mazoezi athari zake ni kutaka kuonyesha ubabe wako hata kwa wasiostahili.

Wengi wa wanamichezo wetu kwenye hii field wanakosa elimu hiyo ya darasani ndio maana wanakuwa wakorofi na ubabe mwingi. Kwahiyo huyu mtuhumiwa alikuwa na dalili zote na viashiria vyote vya kufanya kile kinachosemekana amekifanya! Ana mazoezi ya kutosha jinsi ya kukaba jinsi ya kutoboa macho nk nk lakini hana pa kujaribia! Mikono inawasha kikitokea kisababishi chochote lazima vile vichokoo hasi viamrishe mwili ufanye kazi.

Nimeongea kwa muktadha wa ujumla kutokana na kile kilichotokea
katika mambo ya uganga na uchawi nakukubari uko vizuri ila katika hili kaa pembeni nahsi umekulupuka pia!!!
 
Sorry mkuu kwani huyo said alimtolea scorpion kisu??
...inasemekana, kuna uzi ulitembea sana humu jukwaani. Yaani mwanzo tulisikia scorpion ni jambazi la kutumia sialaha, then ikaja habari ya upande mwingine na kujulikana mdau alikuwa kibaka, yaani alikuwa bosi wa vibaka na kibaka wake mmoja akaenda kuiba mkoba wa dada wa scorpion, then said akaambiwa arudishe akapewa siku zikapita, siku ya siku scorpion akamzukia kufika kurupushani lilipoanza mtobolewa macho akachomoa kisu amuue scorpion na kilichofuata ndiyo huyo kibaka kunyofolewa macho. Hivyo inavyoonekana scorpion asingekuwa makini maana yake angekuwa marehemu na said angekuwa na kesi ya mauaji.
 
Dar hapafai kabisa
mm niliporwa mzigo wa bidhaa za dukani na wabeba mizigo maeneo ya Kariakoo
nimembebesha kijana (kuli) box maeneo ya Kariakoo na Congo yeye akaniambia nitangulie kwani watu wengi wanamzuia kupita mm kwa ubabe na kelele nikasafisha njia hatua 10 nageuka HAYUPO na box silioni
nawauliza wote wakazi wa ule mtaa eti wananiambia HAWAJAMUONA binadamu aliyebeba box nikarudi mpaka duka la mwisho, kweli walinicheka, nikaenda shtaki Kituo cha POLISI Msimbazi nako wakanitumbulia macho.
Leo namkumbuka mbabe km Scirpion aongezeke vibaka waishe la sivyo Dar siji lada nijenge mwili
Hahahahahahah ulipigwa kifala mno. Don't trust nobody in this world!
 
katika mambo ya uganga na uchawi nakukubari uko vizuri ila katika hili kaa pembeni nahsi umekulupuka pia!!!
Sijakurupuka sina hulka hiyo nilichoandika kitabaki hivyo hivyo hata nikitakiwa nikirudie mara elfu kumi
 
...inasemekana, kuna uzi ulitembea sana humu jukwaani. Yaani mwanzo tulisikia scorpion ni jambazi la kutumia sialaha, then ikaja habari ya upande mwingine na kujulikana mdau alikuwa kibaka, yaani alikuwa bosi wa vibaka na kibaka wake mmoja akaenda kuiba mkoba wa dada wa scorpion, then said akaambiwa arudishe akapewa siku zikapita, siku ya siku scorpion akamzukia kufika kurupushani lilipoanza mtobolewa macho akachomoa kisu amuue scorpion na kilichofuata ndiyo huyo kibaka kunyofolewa macho. Hivyo inavyoonekana scorpion asingekuwa makini maana yake angekuwa marehemu na said angekuwa na kesi ya mauaji.
Oooh sawa.
 
Mzee Akilimali aliwaambia wale mashabiki Waliokuwa tayari kumvamia nyumbani kwake na kumfanyia fujo,

Yeyote ambaye anataka kutangulia mbele ya haki awe wa kwanza kumfanyia fujo,

Mi nafikiri Bro mshana dawa ni kuwatoa Busha hawa vibaka na watoa macho watu.
 
kwa coment zote zinazosomwa kwa sasa nazani tumeshakubaliana kama scopion hakuwa kibaka kama ilivyokuwa ikizungumzwa na radio mbao.ukweli utakamilika tu...
 
Hekima, busara na nasaha za mshana jr zitadumu milele.
Mjomba, ulipotea mwanzoni mwa tukio LA Scorpion na umeibuka mwishoni mwa tukio.
Bujibuji bwana. Watu walizusha humu kuwa labda scorpion ndiye kipenzi changu mshana jr.
Afadhali umerudi wakati scorpion yupo ndani.
 
Back
Top Bottom