Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

Kwa kusiiliza maelezo ya aliyetobolewa macho,haioneshi bila shaka kwamba ni SCORPION ndiye amaehusika,kwa sababu anasema huyo mtu anavyomkumbuka ni mfupi kuliko huyo aliyetobolewa na hana mwili mkubwa kuliko wa aliyetobolewa kitu ambacho kinakinzana na uhalisia.Kabla ya kumhukumu mtuhumiwa ambaye ni SCORPION yapasa kufahamu anaweza akawa siyo muhusika kwa aina yoyote na tukio lilompata SAID(aliyetobolewa)
 
Hili linasemwa lakini sijajua ukweli wake japo kidogo umetoka nje ya kiini cha mada
Kwahio mshana jr unataka kuniambia wakati wa tukio watu zaidi ya 40 hakukuwa na mwenye simu na kurekodi?? wakati yule denti akipewa kichapo na walimu kuna mwanafunzi alirekodi tukio. Lakini hili la scorpion watu wote hawakuwa na muda wa kurekodi tukio??
 
Kwahio mshana jr unataka kuniambia wakati wa tukio watu zaidi ya 40 hakukuwa na mwenye simu na kurekodi?? wakati yule denti akipewa kichapo na walimu kuna mwanafunzi alirekodi tukio. Lakini hili la scorpion watu wote hawakuwa na muda wa kurekodi tukio??
Ndio maana najaribu kuhoji uhalisia wake
 
Acheni mahakama ifanye kazi yake..kama kweli ni muhusika naimani haki lazima itendeke
 
Una uhakika,,au jamaa kupewa bajaj mbili na pikipiki tano na nyumba roho zimewauma kenge nyinyi,,, MNASHINDWA KUTAMBUA THAMANI YA MACHO NI ZAIDI YA ALIVYOPEWA,,hata kama alikuwa mfadhili wa vibaka,ndio ilikuwa ni haki atobolewe macho,,,acheni roho za kwann
Subiri uje ubakwe cku moja ndipo utajua kibaka ni nani
 
.. mshana jr kitendo cha kuwa mwizi/kibaka then unaambiwa rudisha unatoa kisu umuue uliyemuibia hakivumiliki. Nadhani scorpion alikuwa anajitetea.
Ni sawa ila nimezungumzia kwa mtazamo wa jumla , kuondoa hiki kizungumkuti ingepaswa wawili hawa wawekwe pamoja kila mtu aongee live
 
Ni sawa ila nimezungumzia kwa mtazamo wa jumla , kuondoa hiki kizungumkuti ingepaswa wawili hawa wawekwe pamoja kila mtu aongee live
Ni kweli, ila kumbuka kuna kitu kimoja ambacho wa Tz tumekuwa maarufu nacho ni kupika uongo. Hasa aliyetobolewa macho inaonekana ni mnafiki na muongo muongo, maana haingii akilini mtu aibuke tu aje akutoe macho, lazima kuna kisababishi amabacho ukweli yeye mtobolewa macho anakijua, na malipo yake ndiyo hayo kayapata kwa kutobolewa macho.
 
MSHANA JR. inasemekana SAIDI alikuwa ndo mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, na ndio maana SCOPION aliamua kumfundisha adabu. japo njia aliyo tumia ni kali sana, YA KUMTOA MACHO. naifananisha adhabu hiyo na ile ya wananchi wanapomkamata kibaka mtaani hujichukulia sheria mikononi na hatimaye kumchoma MOTO. swali kwako KAKA MSHANA JR, endapo hayo madaini ni yakweli kwamba Saidi alikuwa mfadhili wa vibaka pale mtaani kwao, unadhani adhabu gani ilimfaa huyo SAIDI. Kwani nijuavyo mimi Kipimo cha adhabu kinapimwa na MTOA ADHABU MWENYEWE>


Nakiri kuwa kitendo alichofanya SCOPION ni cha UNYAMA
 
Una uhakika,,au jamaa kupewa bajaj mbili na pikipiki tano na nyumba roho zimewauma kenge nyinyi,,, MNASHINDWA KUTAMBUA THAMANI YA MACHO NI ZAIDI YA ALIVYOPEWA,,hata kama alikuwa mfadhili wa vibaka,ndio ilikuwa ni haki atobolewe macho,,,acheni roho za kwann
Wengine tunawachomaga. Jamii imeoza
 
Back
Top Bottom