Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,487
- 2,344
TCRA walituambia baada ya usajiri wa alama za vidole utapeli wa tuma fedha kwenye namba hii utaisha kwani watu hao itakuwa rahisi kuwatambua.
Kitu za kushangaza hili suala bado linaendelea, TCRA na makampuni ya simu yanashindwa nini kuzifunga hizi line ikiwa ni pamoja na kuwakamata hawa jamaa, au kuna namna wanapokea watendaji wao wanapokea mgao kutoka kwao?
Kitu za kushangaza hili suala bado linaendelea, TCRA na makampuni ya simu yanashindwa nini kuzifunga hizi line ikiwa ni pamoja na kuwakamata hawa jamaa, au kuna namna wanapokea watendaji wao wanapokea mgao kutoka kwao?
Waziri mwenye dhamana pls ingilia kati suala hili.