"Watekaji" wanatoa wapi pingu?

"Watekaji" wanatoa wapi pingu?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,648
Reaction score
10,843
Nilikuwa nikifikiri pingu zinapatikana Polisi tu, lakini kumbe hata "watu wengine" wanaweza kuwa nazo!

"Watekaji" waliomteka marehemu Ally Kibao na hatimaye "kumpoteza", walikuwa na pingu. Lakini Jeshi la Polisi lilikana kuwatambua, kwa hiyo "hawakuwa" askari Polisi.

Waliojaribu kumteka Deogratius Tarimo nao walikuwa na pingu, lakini Jeshi la Polisi limedai haliwatambui!

Ikiwa hawakuwa askari wa Jeshi la Polisi, walitoa wapi pingu? Siku hizi zinauzwa "Kariakoo"?


 
Possible mr. Tarimo alikuwa anaenda kuwekewa mwilini atomic number 29 in a periodic table of an elements😭
 
Badala ushangae watu wana smg 56typ ya polisi vilevile pamoja chines pistol za polisi..


Watu wako na I'd za polisi watu wanamilik kuanzia Og jungle comofleg kombat......

Achana na radio call 😂
 
Possible mr. Tarimo alikuwa anaenda kuwekewa mwilini atomic number 29 in a periodic table of an elements😭
Sijakuelew

Atomic number 29 ni Copper, symbol Cu...

Unamanisha nini?
 
Nilikuwa nikifikiri pingu zinapatikana Polisi tu, lakini kumbe hata "watu wengine" wanaweza kuwa nazo!

"Watekaji" waliomteka marehemu Ally Kibao na hatimaye "kumpoteza", walikuwa na pingu. Lakini Jeshi la Polisi lilikana kuwatambua, kwa hiyo "hawakuwa" askari Polisi.

Waliojaribu kumteka Deogratius Tarimo nao walikuwa na pingu, lakini Jeshi la Polisi limedai haliwatambui!

Ikiwa hawakuwa askari wa Jeshi la Polisi, walitoa wapi pingu? Siku hizi zinauzwa "Kariakoo"?
Jamaa kapambana kinyama,halafu washikaji wanashangaa tu badala yakumsaidia
 
Bongo kweli bado giza,yaani Pingu bado ni mtikasi ukionekana nazo.Huku Bondeni Pingu ni sawa na Rungu.
 
Jamii inatakiwa ije itoe fundisho siku Moja Kwa kuwachoma moto hadharani Hawa polisi.Mwanza wanajitambua walikataa kutekwa na polisi ambao hawakuwa na sare Hadi mkubwa wao ocd akaja kuwaokoa Kwa kutudanganya umma kuwa anaenda kuwashughulikia lakini ukweli aliwaacha maana ni polisi wao Kwa wao
 
Nilikuwa nikifikiri pingu zinapatikana Polisi tu, lakini kumbe hata "watu wengine" wanaweza kuwa nazo!

"Watekaji" waliomteka marehemu Ally Kibao na hatimaye "kumpoteza", walikuwa na pingu. Lakini Jeshi la Polisi lilikana kuwatambua, kwa hiyo "hawakuwa" askari Polisi.

Waliojaribu kumteka Deogratius Tarimo nao walikuwa na pingu, lakini Jeshi la Polisi limedai haliwatambui!

Ikiwa hawakuwa askari wa Jeshi la Polisi, walitoa wapi pingu? Siku hizi zinauzwa "Kariakoo"?

Katika simulizi ya SATIVA naye anasema walipofika sehemu kule Arusha baada ya kumwambia wanaenda kumalizana naye alianza kuwaza hadi tumbo likachafuka akawaomba ajisaidie haja kubwa, walimpa chupa ya maji, wakamfungua pingu wakamuelekeza sehemu aende ajisaidie. Baada ya kufika Katavi wakampeleka kando ya mto wakampiga risasi kisha wakamfungua mask na pingu na kuondoka.

Serikali itoe tamko rasmi kwamba askari yeyote asiye na uniform iwe halali ya wananchi kwasababu atakuwa amekiuka sheria na taratibu za kazi. Tumechoka kusikia UTEKAJI NA MAUAJI.
 
Back
Top Bottom