simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Ati ccm inatawala next 50 years! Wake up William and smell the coffee!
Atafraiii... CCM hii ambayo imeshindwa kuwapa wananchi maji safi na salama ilhali tumezungukwa na ziwa victoria,tanganyika,natron,manyara,chala,nyasa,duluti, mindu ... ongezea bahari kuanzia tanga mpaka mtwara, mito mikubwa kama Rufiji, Ruvu, Ruhuhu, Pangani, Wami,Ruvuma...plus vyanzo mbalimbali kwenye maporoko ya vilele vya mt k'jaro, meru, miinuko ya pare, usambara, uluguru, udzungwa nyanda za juu kusini..Ati ccm inatawala next 50 years! Wake up William and smell the coffee!
Wanabodi,
Please watch TBC-leo saa 4:00 usiku (not exactly!) Mwana JF mwenzetu, William Malecela atazungunzia kuhusu
1. Baada ya CCM kutawala kwa miaka 50, wish yake ni CCM itawale kwa miaka 50 mingine ijayo!.
2. Majukumu ya JF as Social Media!.
3. Kwa nini JF ni watu wa kulaumu tuu serikaki na sio kuisifia!.
4. William Anaamini CCM inapendwa na Watanzania na CCM kama chama hakina, matatizo na watu bali matatizo ya CCM ni personalities za baadhi ya viongozi only!.
5. Pia amefanya ukosoaji wa CCM ili iweze kutawala miaka 50 Ijayo!.
NB. Wana JF wenzangu, nawaombeni sana tujenge utamaduni wa "Political Tolerance" kwa kuvumiliana, kustahamiliana na kupingana bila kugombana kati kati ya watu wenye milengo tofauti ya kisiasa.
NB. Sio kipindi kuhusu jf bali ni "wrap up" ya 10 series zangu ziitwazo " Saba Saba na PPR" na nilipokutana na William nilim beg for his comments na akakubali!. I thank him for that!.
My Take:
Wana jf wengi ni watu wa maneno marefu na matendo mafupi!. Nilipokutana kwa mara ya kwanza na William pale Dodoma, nilimpongeza kwa kuwa ni miongoni mwa wana jf wacheche wenye "guts na waliotake that "extra step" to move toka kwenye maneno hadi kwenye vitendo kwakuingia kwenye kwenye "ground zero" ya "active politics" ndani ya uwanja wa mapambano!. Anastahili a big "Big UP!" and not a subject of ridicule!.
Please take time to watch him, listen to him in "betwen the lines", mtakubaliana na mimi kuwa huyu Mkuu William sio mtu wa kubezwa hata kidogo!. Japo I personally don't share with him comments za " Le Grand Mutus", " The Big Show!" and the like!.
" Please lets take him for "Who he is" not for "What he is"!.
Thanks.
Pascal.
Up Date 1!.
Very Unfortunately Kipindi hiki hajitakuwepo due to "un avoidable circumstances"!.
Kipindi kilirekodiwa tarehe 08/07/2012 na kilikuwa kitoke ile ile tarehe 8, kukatokea "technical problem" kipindi hakikwenda!.
Jana tarehe 9 kilikuwa kiende, lakini kukatokea " Technical problem" hakikwenda!.
Leo tena kilikuwa kiruke kuanzia saa 4:00 usiku huu lakini kumetokea tena a " technical problem" kipindi hakijarushwa!. na kwa vile the "theme" was "Vox Pop" ya " mrejesho" wa maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam!.
Kwa vile maonyesho yamenalizika toka Jumapili, ladha ya mrejesho ni sponteneity ya pale kwa pale!. Mrejesho wa 3 days after is pointless hivyo sidhani kama kipindi hicho kitakuja rushwa!.
Sorry for a all inconveniences caused!.
Update 2.
Ni kweli program ina technical problem ya ku-stuck stuck ila inarushwa na clip ya William imeruka!.
Pascal.
Hivi wewe una akili timamu au Bangi za Jamaica ndio zimekulevya kabisa!! Willy awe Rais wa nchi au awe Rais wa Ngwasuma?Le Mutuz akija kuwa prezidaa wa Tanzania mimi lazima anitupe DC pale kati niwe balozi wa TZ Marekani. Mbona mtakoma.....
- again hoja yangu nyingine ni my committment ya kuona ccm inatawala miaka 50 ijayo i have no shame on that na sina unafiki on that goal, that is my goal and mission ninaamini in 50 from now ndio ccm tutaanza kugombea kura na upinzani, kwa sababu huu wa sasa siouni as serious upinzani, ni upinzani wa ccm against ccm, sio upinzani against ccm nit yet hatujafikia huko yet, lakini naamini 50 years from now tutakuwa there; wapinzani bado sana mpaka leo hawajweza kuwa na agenda moja ya chama, kila siku agenda za binafsi na nyingi zinaanzia kwenye maadui wa ndani ya ccm yaani wenyewe kwa wenyewe meaning kwamba watoaji wa agenda always wanakuwa na control of how far the agenda will go sio the messenger aliyepewa tu ili kutumiwa kwa manufaa ya baadhi ya viongozi wa ndani ya ccm.
!!
Je, alitoa sababu yoyote kwa nini anataka CCM itawale kwa miaka mingine 50? Hata hivyo nadhani anaongezea nguvu tu hoja ya Mzee John Cigwiyemisi Malecela aliyedai kuwa CCM itatawala hata kwa miaka 100 (like father like son!) ila yaonekana bado wako kwenye karne ya 17...if wishes were thrushes beggers would eat birds! (mwaka 1605)Wanabodi, wish yake William Malecela ni CCM itawale kwa miaka 50 mingine ijayo!.
Pascal Mayalla huo ni uwongo, JF ni jamvi lenye watu wa itikadi mbali mbali...wako ambao huikosoa serikali inapoboronga na wapo ambao daima ni kuisifia tu serikali hata pale inapoharibu.Kwa nini JF ni watu wa kulaumu tuu serikaki na sio kuisifia!.
Ni kweli CCM inahitaji watu wenye "guts" kwani si rahisi kwa mzalendo kulimbikiza mabilioni benki za Uswisi huku wananchi wengine wakilala njaa.William Anaamini CCM inapendwa na Watanzania na CCM kama chama hakina, matatizo na watu bali matatizo ya CCM ni personalities za baadhi ya viongozi only!. Pia amefanya ukosoaji wa CCM ili iweze kutawala miaka 50 Ijayo!.Wana jf wengi ni watu wa maneno marefu na matendo mafupi!. Nilipokutana kwa mara ya kwanza na William pale Dodoma, nilimpongeza kwa kuwa ni miongoni mwa wana jf wacheche wenye "guts na waliotake that "extra step"
Mwanzoni William amedai kuwa tatizo la CCM ni personalities za baadhi ya viongozi only! je kwenye huo uwanja wa mapambano alikoamua kuingia, anapambana na nani? Heri akumbuke walichosema wahenga, if you cant fight them, join them! William ameamua kujiunga rasmi na kundi lililoifikisha nchi hii hapa ilipo.to move toka kwenye maneno hadi kwenye vitendo kwa kuingia kwenye kwenye "ground zero" ya "active politics" ndani ya uwanja wa mapambano!. Anastahili a big "Big UP!" and not a subject of ridicule!.
Make up your mind Pascal, si wa kubezwa kwa lipi...comments zake za "Le Grand Mutus", "The Big Show!" and the like?...I have watched him, listened to him "betwen the lines" na sikubaliani na wewe hata chembe.Please take time to watch him, listen to him in "betwen the lines", mtakubaliana na mimi kuwa huyu Mkuu William sio mtu wa kubezwa hata kidogo!. Japo I personally don't share with him comments za " Le Grand Mutus", " The Big Show!" and the like!.
What? So what you are saying is we should take him for who he is and not what he is? To be honest I think I agree with you here...I think you are right, take away the name and one is left with nothing, just a body!Please take him for "Who he is" not for "What he is"!.
Nianze na hapo kwenye red: Kama upinzani hawajeweza kuwa na ajenda moja ya chama inakuwaje wanawavutia wananchi? (think about it). Kwa maneno mengine CCM kimekosa mvuto kwa sababu ya agenda?
Pili, madai kwamba upinzani una hoja binafsi zinazoanzia kwenye maadui wa CCM is not quite right. Kumbuka up until 2010 CCM na madoadoa yote bado walikuwa wamoja. Na ndio maana ukiangalia mikanda au picha utaona kweli 'watu' walikuwa wamoja wakati wote wa campaign. Walisaidiana kwa hali na mali. Uadui wa CCM unaoungelea ulijitokeza baada ya uchaguzi na ulichangiwa sana na mabadiliko ya kimtazamo toka kwa wananchi juu ya upinzani. Wanachi wengi walionekana kukubali life without CCM is possible. Na kwenye mikutano ya upinzani wananchi walijitokeza kwa wingi....
Le Mutuz unaitwa na radio pamoja na Tv station nyingi kwa sababu ni mtoto wa kigogo wa CCM na umekaa nje ya nchi kwa muda mwingi hivyo wengi wanapenda kusikia kutoka kwako nini hasa msimamo au mtazamo wako hasa kisiasa ulipojikita kwa sasa.
CDM inabebwa na vijana ambao wanonekana kuwa ni wazalendo ambao wapo tayari kukusoa na kuisema CCM na serikali wazi wazi tofauti na ilivyo kwa vijana wa CCM. Mimi nilidhani ungeliona hilo na kujitahidi kuliziba kwa kuanzia kwako lakini naona unaendeleza siasa za akina Nape.
Jambo la mwisho kila unapoonge huweki point zako wako na unaandika kama mhuni vile hebu jaribu kulirekebisha hilo, hebu mcheki mtu kama FJM anavyoandika na kueleweka wazi. Nimekufuatilia hili nimeona ni tatizo lako na ikiwa na kuongea hueleweki kama kwenye kuandika basi siasa hutaiweza.
Mkuu personally siwezi kuwa na 'political tolerance' kwa mtu sampuli ya W. J. Malecela. I am pretty sure there is some thing in his brain that makes him to impair. Pia na wewe Pascal unajishushia adhi kwa kuwa karibu na mtu huyo...