Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,570
Wanabodi,
Please watch TBC-leo saa 4:00 usiku (not exactly!) Mwana JF mwenzetu, William Malecela atazungunzia kuhusu
1. Baada ya CCM kutawala kwa miaka 50, wish yake ni CCM itawale kwa miaka 50 mingine ijayo!.
2. Majukumu ya JF as Social Media!.
3. Kwa nini JF ni watu wa kulaumu tuu serikaki na sio kuisifia!.
4. William Anaamini CCM inapendwa na Watanzania na CCM kama chama hakina, matatizo na watu bali matatizo ya CCM ni personalities za baadhi ya viongozi only!.
5. Pia amefanya ukosoaji wa CCM ili iweze kutawala miaka 50 Ijayo!.
NB. Wana JF wenzangu, nawaombeni sana tujenge utamaduni wa "Political Tolerance" kwa kuvumiliana, kustahamiliana na kupingana bila kugombana kati kati ya watu wenye milengo tofauti ya kisiasa.
NB. Sio kipindi kuhusu jf bali ni "wrap up" ya 10 series zangu ziitwazo " Saba Saba na PPR" na nilipokutana na William nilim beg for his comments na akakubali!. I thank him for that!.
My Take:
Wana jf wengi ni watu wa maneno marefu na matendo mafupi!. Nilipokutana kwa mara ya kwanza na William pale Dodoma, nilimpongeza kwa kuwa ni miongoni mwa wana jf wacheche wenye "guts na waliotake that "extra step" to move toka kwenye maneno hadi kwenye vitendo kwakuingia kwenye kwenye "ground zero" ya "active politics" ndani ya uwanja wa mapambano!. Anastahili a big "Big UP!" and not a subject of ridicule!.
Please take time to watch him, listen to him in "betwen the lines", mtakubaliana na mimi kuwa huyu Mkuu William sio mtu wa kubezwa hata kidogo!. Japo I personally don't share with him comments za " Le Grand Mutus", " The Big Show!" and the like!.
" Please lets take him for "Who he is" not for "What he is"!.
Thanks.
Pascal.
Up Date 1!.
Very Unfortunately Kipindi hiki hajitakuwepo due to "un avoidable circumstances"!.
Kipindi kilirekodiwa tarehe 08/07/2012 na kilikuwa kitoke ile ile tarehe 8, kukatokea "technical problem" kipindi hakikwenda!.
Jana tarehe 9 kilikuwa kiende, lakini kukatokea " Technical problem" hakikwenda!.
Leo tena kilikuwa kiruke kuanzia saa 4:00 usiku huu lakini kumetokea tena a " technical problem" kipindi hakijarushwa!. na kwa vile the "theme" was "Vox Pop" ya " mrejesho" wa maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam!.
Kwa vile maonyesho yamenalizika toka Jumapili, ladha ya mrejesho ni sponteneity ya pale kwa pale!. Mrejesho wa 3 days after is pointless hivyo sidhani kama kipindi hicho kitakuja rushwa!.
Sorry for a all inconveniences caused!.
Update 2.
Ni kweli program ina technical problem ya ku-stuck stuck ila inarushwa na clip ya William imeruka!.
Update 3.
Nimei upload on Youtube ila sorry for the quality ni very poor. Original Clip iko kwenye HD, ku upload kwa kutumia hivi vi modern vyetu would take ages. Hivyo nime upload on tiny format. Nikipata muda kupita pale costech, nita replace na beter quality!.
<iframe width="420" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/2Nkp9kR8SnI" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>
Pascal.
Please watch TBC-leo saa 4:00 usiku (not exactly!) Mwana JF mwenzetu, William Malecela atazungunzia kuhusu
1. Baada ya CCM kutawala kwa miaka 50, wish yake ni CCM itawale kwa miaka 50 mingine ijayo!.
2. Majukumu ya JF as Social Media!.
3. Kwa nini JF ni watu wa kulaumu tuu serikaki na sio kuisifia!.
4. William Anaamini CCM inapendwa na Watanzania na CCM kama chama hakina, matatizo na watu bali matatizo ya CCM ni personalities za baadhi ya viongozi only!.
5. Pia amefanya ukosoaji wa CCM ili iweze kutawala miaka 50 Ijayo!.
NB. Wana JF wenzangu, nawaombeni sana tujenge utamaduni wa "Political Tolerance" kwa kuvumiliana, kustahamiliana na kupingana bila kugombana kati kati ya watu wenye milengo tofauti ya kisiasa.
NB. Sio kipindi kuhusu jf bali ni "wrap up" ya 10 series zangu ziitwazo " Saba Saba na PPR" na nilipokutana na William nilim beg for his comments na akakubali!. I thank him for that!.
My Take:
Wana jf wengi ni watu wa maneno marefu na matendo mafupi!. Nilipokutana kwa mara ya kwanza na William pale Dodoma, nilimpongeza kwa kuwa ni miongoni mwa wana jf wacheche wenye "guts na waliotake that "extra step" to move toka kwenye maneno hadi kwenye vitendo kwakuingia kwenye kwenye "ground zero" ya "active politics" ndani ya uwanja wa mapambano!. Anastahili a big "Big UP!" and not a subject of ridicule!.
Please take time to watch him, listen to him in "betwen the lines", mtakubaliana na mimi kuwa huyu Mkuu William sio mtu wa kubezwa hata kidogo!. Japo I personally don't share with him comments za " Le Grand Mutus", " The Big Show!" and the like!.
" Please lets take him for "Who he is" not for "What he is"!.
Thanks.
Pascal.
Up Date 1!.
Very Unfortunately Kipindi hiki hajitakuwepo due to "un avoidable circumstances"!.
Kipindi kilirekodiwa tarehe 08/07/2012 na kilikuwa kitoke ile ile tarehe 8, kukatokea "technical problem" kipindi hakikwenda!.
Jana tarehe 9 kilikuwa kiende, lakini kukatokea " Technical problem" hakikwenda!.
Leo tena kilikuwa kiruke kuanzia saa 4:00 usiku huu lakini kumetokea tena a " technical problem" kipindi hakijarushwa!. na kwa vile the "theme" was "Vox Pop" ya " mrejesho" wa maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam!.
Kwa vile maonyesho yamenalizika toka Jumapili, ladha ya mrejesho ni sponteneity ya pale kwa pale!. Mrejesho wa 3 days after is pointless hivyo sidhani kama kipindi hicho kitakuja rushwa!.
Sorry for a all inconveniences caused!.
Update 2.
Ni kweli program ina technical problem ya ku-stuck stuck ila inarushwa na clip ya William imeruka!.
Update 3.
Nimei upload on Youtube ila sorry for the quality ni very poor. Original Clip iko kwenye HD, ku upload kwa kutumia hivi vi modern vyetu would take ages. Hivyo nime upload on tiny format. Nikipata muda kupita pale costech, nita replace na beter quality!.
<iframe width="420" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/2Nkp9kR8SnI" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>
Pascal.