Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Mke mwema yu ndani yako kaka unayesoma hapa, tabia unazozitaka kagua kama unazo. Usidanganyike kila kitu kizuri kipo kwa wakati na mazingira sahihi, hi dunia ni pana sana achilia haka kajiji ka Dar tu kuna mambo kuna watu wengine tukisikia hata hizo habari za girls Night ni terminology mpya kabisa masikioni mwetu, si kweli kabisa wadada wote tumeharibika noo nakataa, ila ninyi wanaume hamjui mnataka nini? Mi sijui hata niseme je jamani, kwanza jitambue wewe ni nani na unataka nini, na unataka atoke wapi huyo unayemtaka.
Daaa kaka zangu mnaniuzunisha sana ujue, hivi unataka mke mwema asiye na mambo mengi ya kiduniani lakini wewe dunia unataka uibebe kichwani, kila mwanamke unaomuona umjue, baa zote maarufu unazijua, sijui club sijui nini hizo ni mteja mzuri, aina zote za pombe unazitaja kama sala ya baba yetu, halafu unataka mke asiye kuwa na hayo mambo, kweli jamani!!
Mkikutana na mwaminifu mwenye utu na kiasi katika maisha unamchakachulia hadi malengo yake unambwaga hapo. JITAMBUENI KINA KAKA. JALINI UTU.
umenena vema LD!. Satisfaction is at infinty..aka kujilisha upepo.. Mimi ni kijana na inanisikitisha,au pengine ni kutokuwa na utu na hofu ya Mungu..kwanza haya mastarehe mi i dont kno mwisho wake kama si kujuta,anyway,kp t up!