mfanyaji
Member
- Feb 1, 2011
- 76
- 12
dunia imekwisha,katika pitapita zangu za kujivinjari na kujionea night life nikakutana na wanawake wanabehave kiutata na kuuliza nikaambiwa ni girls night out,wengine wanakiss kabisa,tukaondoka na msela wangu kwenda kiota kingine yale yale lakini tofauti kuja kumalizia ktk starehe usiku huo nikaona tena nikawa nao jirani na mimi nikavutiwa na kabinti kamoja keupe balaa lakini LCD nyuma najaribu kukonyeza na kutoa numer kakachukua kiulaini lakini baada ya muda naongea na wahudumu naambiwa kana wenyewe na si mwenyewe nikazima zangu speed,kuchunguza zaidi wenake eti wengine wameolewa na wametoka kama girls night out ya umoja wao hua wanakutana marakwa mara cha ajbu ni kwamba hata hao walioolewa walikua wanabehave kama machangu,hao masingle ndio usiseme walikua wanatega live, na kuna wadada wakaniambia kumbe ndo zao wengine waume zao ni wakorofi kwa hiyo wanasingizia haya kutoka usiku wengine wanatoa frustrations wengine wanajaribu bahati zao maana age imekimbia sasa hivi kweli kama wanataka raha kwanini watoe na marafiki zao wakati vidume tupo au kuna hidden agenda hapo.nikisema sioi wala sitaki kudumu na mtu mnaniita majina lakini ach tu mgoja tujimegee tu hata wake za watu,tufanyeje sasa.wakubwa fuatilieni hili jambo maana kuna moja alitoka na kurudi baada ya saa moja kuuliza alienda kuona buzi so ni kufichiana uvundo tu.