Watawala jifunzeni kitu kutoka kwa Dkt. Bashiru Ally

Unafikiri kwa hiyo miaka 4 ya ukatibu Mkuu wa Ccm bado jamaa atarudi Ubungo Msewe’?Ukute amekwisha jenga hekalu sehemu za wenyewe huko kwenye upepo wa bahari
 
Kitendo cha Bashiru kuondolewa ikulu moja kwa moja naamini kuna tukio baya alifanya (lile linalosemwa kuhusu kuchota pesa zetu), lakini ningependa zaidi uchunguzi wa hilo tukio ukikamilika na kukutwa na hatia watuhumiwa wote wapelekwe mahakamani ili iwe fundisho kwa wote wanaoiona Tanzania ni shamba la bibi.

Tabia ya kulindana ndio inasababisha matukio ya aina hii yaendelee kuwepo kila awamu, watu wanazidi kuamini wakipata nafasi za juu serikalini ni kama wamesogezwa mdomoni zaidi kuiba mali za umma, huu mtazamo ni vyema ukomeshwe, kuanzia sasa yeyote anaepatikana na hatia apelekwe mahakamani sheria ichukue mkondo wake.
Tatizo chadema mna mihemko Sana mkiona changamoto yeyote kwa mbaya wenu, mnasahau hata agenda zenu za kukijenga chama chenu. Kwa mtindo huu CCM watawachezesha sebene hadi mpoteze dira. Bashiru kupewa ubunge na kuondolewa kuwa CS siyo ajabu.

Rais yeyote anayeshika hatamu ni lazima apange safu yake kwa utashi wake haimaanishi kuwa Bashiru siyo mzuri, hizo tuhuma za wizi kama zingekuwa kweli hata huo ubunge asingepewa. Kwa hiyo leo mnamcheka Bashiru lakini msishangae kwa ubunge alionao baadae akaramba uwaziri.

Kwa hiyo wanachadema Mambo ya serikali ya CCM msiyashabikie Sana, wakati ya kwenu yamelala, bado hatujui hatima ya wale wabunge 19 mliowaita covid-19 kuhusu rufaa yao. Mlisusia matokeo ya 2020 lakini mbunge wa Nkasi alienda kuapa kinyume cha msimamo wa chama hadi leo yupo bungeni kwa jina la Chadema.
 
Kitendo cha Bashiru kuondolewa ikulu moja kwa moja naamini kuna tukio baya alifanya (lile linalosemwa kuhusu kuchota pesa zetu), lakini ningependa zaidi uchunguzi wa hilo tukio ukikamilika na kukutwa na hatia watuhumiwa wote wapelekwe mahakamani ili iwe fundisho kwa wote wanaoiona Tanzania ni shamba la bibi.

Tabia ya kulindana ndio inasababisha matukio ya aina hii yaendelee kuwepo kila awamu, watu wanazidi kuamini wakipata nafasi za juu serikalini ni kama wamesogezwa mdomoni zaidi kuiba mali za umma, huu mtazamo ni vyema ukomeshwe, kuanzia sasa yeyote anaepatikana na hatia apelekwe mahakamani sheria ichukue mkondo wake.
Ukweli ndio huu, kuwa ukitenda haki wakati uko juu hata ukirudi chini utapokelewa vizuri.
Kutenda haki sio kumwacha mhalifu akapita bila wajibu, ila awajibishwe kwa haki. Na wenzetu wakipata madaraka wanabeba vijembe na kuanza kuwakejeli wanaolalamika kuumizwa kitu ambacho kinaumiza kweli. Ndio maana leo mtu aliyewaumiza watu na kuwakatisha tamaa kuwa "Ikibidi dola itatumika kupata madaraka" leo anapoonekana kuanguka walioumizwa wanashangilia - ingawa sioni kama anaanguka ila amewekwa pending akitafutiwa nafasi kwani ni mbunge na bado ni balozi.
Katika hali ya ubinadamu kushangilia mwenzenu anapoanguka si sawa sawa na kulipa visasi kumekatazwa na Mungu, hivyo tunapaswa kumuombea mwenzetu atakapopanda tena ajue kuna kupanda na kushuka na huko chini kuna machungu kama haya anayoyapata leo.
Juu ya utuhumiwa naona zibaki kuwa ni tuhuma tena si kutoka credible sources mpaka hapo itakapothibitika kuliko kuanza kumshindilia na lawama au kumbagaza wakati tuhuma zenyewe hazijathibitika. Watanzania yapasa tujifunze kuwa wavumilivu na kusubili kuliko kutekwa na mihemuko na kuunga matela ambayo baadaye yakikatika tunaanza kuona aibu.
 
Kutolewa ikulu sio solution. Watu tunataka kujua Kama kweli hela walipiga au laa na Kama walipiga tunazipataje pesa zetu
 
Bashiru kafanya kazi kubwa ndani ya Chama cha mapinduzi CCM,mi nadhani apewe heshima yake kwani amefanya Màkubwa.
Japo tunasikia ana tuhuma serikali isifumbie macho tuhuma hizi
 
Kitendo cha Bashiru kuondolewa ikulu moja kwa moja naamini kuna tukio baya alifanya (lile linalosemwa kuhusu kuchota pesa zetu), lakini ningependa zaidi uchunguzi wa hilo tukio ukikamilika na kukutwa na hatia watuhumiwa wote wapelekwe mahakamani ili iwe fundisho kwa wote wanaoiona Tanzania ni shamba la bibi.

Tabia ya kulindana ndio inasababisha matukio ya aina hii yaendelee kuwepo kila awamu, watu wanazidi kuamini wakipata nafasi za juu serikalini ni kama wamesogezwa mdomoni zaidi kuiba mali za umma, huu mtazamo ni vyema ukomeshwe, kuanzia sasa yeyote anaepatikana na hatia apelekwe mahakamani sheria ichukue mkondo wake.

Kamanda pole sana Kamwe Bashiru awezi kuiba pesa za Umma
 
Soma Unaweza jifunza Kitu...

"Dr.Mpango alienda bungeni kama Waziri wa fedha. Kufumba na kufumbua akawa VP, akaondoka na ving'ora, msafara na ulinzi mkali. Maisha ndivyo yalivyo. Nothing is permanent in life. Kila kitu unachokiona kwenye maisha ni cha kupita tu. Hivyo ishi vizuri na watu.

Jana hadi saa 8 mchana Dr.Bashiru alikua boss wa watumishi wote wa umma na Katibu wa Baraza la usalama wa taifa. Yani Rais asingeweza kutangaza vita bila kushauriana kwanza na Bashiru. Alikua raia namba 4 baada ya Rais, VP na PM.

Jana ameenda Ikulu ya Chamwino akiwa na msafara, king'ora na ulinzi mkali kwa hadhi ya raia namba 4. Lakini ametoka hana ulinzi, hana king'ora, hana gari, hana dereva. Ameanza maisha mapya leo.

Kwa miaka minne amekaa Masaki kwenye nyumba ya Katibu Mkuu wa CCM, kisha akahamia jumba la kifahari la CS Ikulu. Ghafla leo anarudi kwenye nyumba yake pale Ubungo Msewe, hana ulinzi, hana msafara, hana gari.

FUNZO;
1. Rais Mwinyi (baba) aliwahi kusema madaraka ni kama koti la kuazima. Usilivae kwa mbwembwe, ipo siku mwenye nalo atalihitaji. Bashiru aliwahi kutamba kuwa CCM itatumia DOLA kubaki madarakani. Na kweli uchaguzi mkuu 2020 tuliona jinsi walivyotumia DOLA kubaki. Lakini sasa anarudi zake Ubungo Msewe hana DOLA wala paundi.

2. Maisha ni kupanda na kushuka. Ukiwa juu usidharau walio chini kwa sababu ndio watakaokudaka siku ukianguka.

3. Bashiru alipoteuliwa kuwa CS mitandao ilijaa pongezi. Vijana wa CCM wakampamba ktk profile zao, na wengine wakadai alikua mwalimu wao UDSM. Lakini leo amebaki peke yake. Wale vijana wameshaondoa "profile picture" na kufuta yale maandiko ya pongezi. Hii inatufundisha "mchuma janga hula na wa kwao" Utapata wapambe wengi ukiwa na madaraka, pesa au umaarufu. Lakini vikiondoka utabaki peke yako.

4. Bashiru aliteuliwa GS wa CCM bila hata kuwa kiongozi wa tawi. Yani kutoka Mwanachama wa kawaida hadi GS. Then akawa CS Ikulu bila kuwa mtumishi wa umma. Yani alipanda kirahisi sana. Na leo ameporomoka kirahisi pia. Wahaya husema "Easy come, easy go"

5. Ukimtegemea mwanadamu ipo siku ataondoka na utakosa pa kuegemea. Mtegemee Mungu pekee na ishi vizuri na watu wote. Vijana wa Manzese husema "heshimu watu sponsor hufariki"
TUWE NA AKIBA YA MANENO,LKN PIA TUFIKIRI KWANZA KWA UMAKINI KABLA HATUJAANDIKA MADUDU YETU,WEWE NANI ALIKUAMBIA BASHIRU ANAMTEGEMEA MTU?!, AU NANI ALIKUAMBIA KUWA UNAWEZA KUFANIKIWA BIRA NGUZO YOYOTE YA KKUINUA? AU NAOMBA UNITAFUTIE MTU ALIYEPANSA BIRA SAPOTA KWE MWINGINE,TUACHE ROHO ZA KUSHETANI,
 
TUWE NA AKIBA YA MANENO,LKN PIA TUFIKIRI KWANZA KWA UMAKINI KABLA HATUJAANDIKA MADUDU YETU,WEWE NANI ALIKUAMBIA BASHIRU ANAMTEGEMEA MTU?!, AU NANI ALIKUAMBIA KUWA UNAWEZA KUFANIKIWA BIRA NGUZO YOYOTE YA KKUINUA? AU NAOMBA UNITAFUTIE MTU ALIYEPANSA BIRA SAPOTA KWE MWINGINE,TUACHE ROHO ZA KUSHETANI,
Kweli mkuu, ungefikiri kwanza kabla ya kuchapisha "MADUDU"
 
Soma Unaweza jifunza Kitu...

"Dr.Mpango alienda bungeni kama Waziri wa fedha. Kufumba na kufumbua akawa VP, akaondoka na ving'ora, msafara na ulinzi mkali. Maisha ndivyo yalivyo. Nothing is permanent in life. Kila kitu unachokiona kwenye maisha ni cha kupita tu. Hivyo ishi vizuri na watu.

Jana hadi saa 8 mchana Dr.Bashiru alikua boss wa watumishi wote wa umma na Katibu wa Baraza la usalama wa taifa. Yani Rais asingeweza kutangaza vita bila kushauriana kwanza na Bashiru. Alikua raia namba 4 baada ya Rais, VP na PM.

Jana ameenda Ikulu ya Chamwino akiwa na msafara, king'ora na ulinzi mkali kwa hadhi ya raia namba 4. Lakini ametoka hana ulinzi, hana king'ora, hana gari, hana dereva. Ameanza maisha mapya leo.

Kwa miaka minne amekaa Masaki kwenye nyumba ya Katibu Mkuu wa CCM, kisha akahamia jumba la kifahari la CS Ikulu. Ghafla leo anarudi kwenye nyumba yake pale Ubungo Msewe, hana ulinzi, hana msafara, hana gari.

FUNZO;
1. Rais Mwinyi (baba) aliwahi kusema madaraka ni kama koti la kuazima. Usilivae kwa mbwembwe, ipo siku mwenye nalo atalihitaji. Bashiru aliwahi kutamba kuwa CCM itatumia DOLA kubaki madarakani. Na kweli uchaguzi mkuu 2020 tuliona jinsi walivyotumia DOLA kubaki. Lakini sasa anarudi zake Ubungo Msewe hana DOLA wala paundi.

2. Maisha ni kupanda na kushuka. Ukiwa juu usidharau walio chini kwa sababu ndio watakaokudaka siku ukianguka.

3. Bashiru alipoteuliwa kuwa CS mitandao ilijaa pongezi. Vijana wa CCM wakampamba ktk profile zao, na wengine wakadai alikua mwalimu wao UDSM. Lakini leo amebaki peke yake. Wale vijana wameshaondoa "profile picture" na kufuta yale maandiko ya pongezi. Hii inatufundisha "mchuma janga hula na wa kwao" Utapata wapambe wengi ukiwa na madaraka, pesa au umaarufu. Lakini vikiondoka utabaki peke yako.

4. Bashiru aliteuliwa GS wa CCM bila hata kuwa kiongozi wa tawi. Yani kutoka Mwanachama wa kawaida hadi GS. Then akawa CS Ikulu bila kuwa mtumishi wa umma. Yani alipanda kirahisi sana. Na leo ameporomoka kirahisi pia. Wahaya husema "Easy come, easy go"

5. Ukimtegemea mwanadamu ipo siku ataondoka na utakosa pa kuegemea. Mtegemee Mungu pekee na ishi vizuri na watu wote. Vijana wa Manzese husema "heshimu watu sponsor hufariki"
Ila HAJAONDOKA km alivyoingia.

Anaweza kuwa ni moja ya mamilionia wasiotambulika rasmi.

Pengine akisoma hili andiko,huwa anatabasamu anasema huyu hajui anenalo. Akaunti zimetuna hela,anajisemea mungu anipe nini,maisha yanataka nini km siyo mfuko ulionona.
 
Wahaya gani tena mkuu?Mbona hii ni lugha ya Malkia? 🤣
Mwandishi TAYARI inaonyesha uhaya wake.

Unaweza kumtoa mtu uhayani ukamleta mjini mfano DSM lkn huwezi kumtoa uhaya ulioko ndani yake.Jamaa wako very arrogant, proud mno wakat mwingine bila hata sababu.
 
My due respect mkuu. You nailed it. Akaguliwe na uraia maana kwa mateso yale kwa watanzania bila huruma huenda hana damu ya kitanzamia. You can't be such rude creature. Waliangamiza utanzania wetu wa upendo na Mshikamano. Tunaanza upya na kwa haraka Mwanga tunauona tena. Long live our President Samia Suluhu Hassan. Natabasamu.
Waliuangamiza utanzania wenu kivp? Kushindwa uchaguzi ndo kuangamizwa?

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom