voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Hatuwezi kuamini kwamba Mtaishia kumsema sema kwenye hizo Press release pekee.
Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.
Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!
Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!
Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!
Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.
Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.
Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!
#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!
Machawa mkae Mguu Sawa!
View attachment 2423645
Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.
Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!
Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!
Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!
Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.
Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.
Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!
#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!
Machawa mkae Mguu Sawa!
View attachment 2423645