Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,113
- 8,351
Bandiko lako liko sawa ila limekaa kimipasho kama maneno ya kwenye kanga... uswahili.Nothing is permanent in life. Kila kitu unachokiona kwenye maisha ni cha kupita tu. Hivyo ishi vizuri na watu.
Kuishi vizuri na watu ni kufanyaje!?
Jambo la msingi elewa kila binadamu ana mitizamo tofauti na mwingine katika jambo lolote lile.
Unaweza kufanya jambo ukafikiri unamfurahisha mtu, yeye akukuchukulia tofauti kabisa
Ishi maisha yako upendavyo bila kuvunja sheria.
Mengine uliyozungumza yote ni hali halisi ya maisha..hakuna jipya.