Mwamba wa siasa za Tanzania ni Dkt. Bashiru Ally

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,755
Huyu mwamba Dk Bashiru Ally Kakurwa unaweza kusema ndiyo mwamba wa siasa za Tanzania kwa sasa, licha ya matisho mengi ya kumtaka aombe radhi kutokana na kauli yake ya kuponda wanaosifia anaupiga mwingi lakini aligoma kuomba radhi na hajaomba mpaka leo na hawana cha kumfanya chochote!.

Spika aliyelazimishwa kuachia ngazi Job Ndugai baada ya kulikoroga alikaza siku mbili tu kutokana na presha kubwa ,siku ya tatu akaita waandishi wa habari na kuomba radhi kwamba nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana naomba mnisamehe lakini bado alitolewa, lakini si kwa Bashiru ambaye hakuomba radhi na hajatolewa popote.

Dkt. Bashiru ndiyo aliyeirejesha CCM kwenye msitari ,yani kutoka CCM ya kuzomewa mitaani hadi CCM ya kushangiliwa na kupokelewa kwa heshima mitaani, unapoona bunge limejaa wabunge wa CCM hiyo ni kazi ya Bashiru, unapoona mapato ya CCM yamepanda kutoka millioni 5 kwa mwaka hadi billioni 20 kwa mwaka hiyo ni kazi ya Bashiru!.

Kwa hiyo Dkt. Bashiru anawajua wabunge na viongozi wa CCM kuliko wanavyojijua ndiyo maana hawana cha kumbabaisha na hawamtishi kwa lolote.

 
Huyu mwamba Dk Bashiru Ally Kakurwa unaweza kusema ndiyo mwamba wa siasa za Tanzania kwa sasa, licha ya matisho mengi ya kumtaka aombe radhi kutokana na kauli yake ya kuponda wanaosifia anaupiga mwingi lakini aligoma kuomba radhi na hajaomba mpaka leo na hawana cha kumfanya chochote!.

Spika aliyelazimishwa kuachia ngazi Job Ndugai baada ya kulikoroga alikaza siku mbili tu kutokana na presha kubwa ,siku ya tatu akaita waandishi wa habari na kuomba radhi kwamba nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana naomba mnisamehe lakini bado alitolewa, lakini si kwa Bashiru ambaye hakuomba radhi na hajatolewa popote.


Naunga mkono hoja.
P
 
Huyu mwamba Dk Bashiru Ally Kakurwa unaweza kusema ndiyo mwamba wa siasa za Tanzania kwa sasa, licha ya matisho mengi ya kumtaka aombe radhi kutokana na kauli yake ya kuponda wanaosifia anaupiga mwingi lakini aligoma kuomba radhi na hajaomba mpaka leo na hawana cha kumfanya chochote!.

Spika aliyelazimishwa kuachia ngazi Job Ndugai baada ya kulikoroga alikaza siku mbili tu kutokana na presha kubwa ,siku ya tatu akaita waandishi wa habari na kuomba radhi kwamba nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana naomba mnisamehe lakini bado alitolewa, lakini si kwa Bashiru ambaye hakuomba radhi na hajatolewa popote.


Bashiru kawahi kugombea position gani ya kisiasa akashinda? Unaweza mwita mtu mwamba wa siasa ambaye hajawahi ingia kwenye kapu la kura akafurukuta zaidi ya kuwa kibaraka na changudoa wa power corridors?
 
Sasa position ya bashiru ukilinganisha na ya uspika ipi ni nyeti zaidi? Wamempuuza tu kwa sababu aanajua hana madhara.
Walimng'oa CAG
wakamng'oa spika
Akina kabudi na lukuvi wakawekwa benchi
Nyankoro siro?
DIWANI ATHMAN?
CDF hakuongezewa hata sekunde
Huyo kakurwa ni nani? Wamempuuza tu hana umwamba wowote
 
Sasa position ya bashiru ukilinganisha na ya uspika ipi ni nyeti zaidi? Wamempuuza tu kwa sababu aanajua hana madhara.
Walimng'oa CAG
wakamng'oa spika
Akina kabudi na lukuvi wakawekwa benchi
Nyankoro siro?
CDF hakuongezewa hata sekunde
Huyo kakurwa ni nani? Wamempuuza tu hana umwamba wowote
Khakhakhakha!!! Naombeni msimalize nyongo zote.. Hamna nyongo ya nyongeza kuendelea kula nyama.

Hahaha. Mko vzr wakuu.
 
Huyu mwamba Dk Bashiru Ally Kakurwa unaweza kusema ndiyo mwamba wa siasa za Tanzania kwa sasa, licha ya matisho mengi ya kumtaka aombe radhi kutokana na kauli yake ya kuponda wanaosifia anaupiga mwingi lakini aligoma kuomba radhi na hajaomba mpaka leo na hawana cha kumfanya chochote!.

Spika aliyelazimishwa kuachia ngazi Job Ndugai baada ya kulikoroga alikaza siku mbili tu kutokana na presha kubwa ,siku ya tatu akaita waandishi wa habari na kuomba radhi kwamba nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana naomba mnisamehe lakini bado alitolewa, lakini si kwa Bashiru ambaye hakuomba radhi na hajatolewa popote.


🤣🤣🤣🤣Mnahaha kinyama!! Ila ndo imeisha hiyoo na hairudi mazima!!!
 
Bashiru ni mtu mwenye makasiriko baada ya kupata fedheha kubwa pale alipopigwa chini kwenye nafasi ya CS,hana umwamba wowote zaidi ya kutembelea nyota ya Jiwe sasa baada ya sponsor kufa amekuwa ni mtu anayetamani hata kujinyonga.
 
Hahah bashi bwana mzee wa matalasimu..

Saa hii hata nembo ya Chama hipo tena kwenye Dp ya tweet ake. Huwez weka nembo ya chama kama mwanachama then ukaanza kukikashif hadharani.

It was awkward...
 
Sasa position ya bashiru ukilinganisha na ya uspika ipi ni nyeti zaidi? Wamempuuza tu kwa sababu aanajua hana madhara.
Walimng'oa CAG
wakamng'oa spika
Akina kabudi na lukuvi wakawekwa benchi
Nyankoro siro?
DIWANI ATHMAN?
CDF hakuongezewa hata sekunde
Huyo kakurwa ni nani? Wamempuuza tu hana umwamba wowote
Wamemupuuza kama alivyowapuuza
 
Huyu mwamba Dk Bashiru Ally Kakurwa unaweza kusema ndiyo mwamba wa siasa za Tanzania kwa sasa, licha ya matisho mengi ya kumtaka aombe radhi kutokana na kauli yake ya kuponda wanaosifia anaupiga mwingi lakini aligoma kuomba radhi na hajaomba mpaka leo na hawana cha kumfanya chochote!.

Spika aliyelazimishwa kuachia ngazi Job Ndugai baada ya kulikoroga alikaza siku mbili tu kutokana na presha kubwa ,siku ya tatu akaita waandishi wa habari na kuomba radhi kwamba nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana naomba mnisamehe lakini bado alitolewa, lakini si kwa Bashiru ambaye hakuomba radhi na hajatolewa popote.


Kumbe ni mwamba sio!!

Basi kanywe naye chai!!¡!
 
Huyu mwamba Dk Bashiru Ally Kakurwa unaweza kusema ndiyo mwamba wa siasa za Tanzania kwa sasa, licha ya matisho mengi ya kumtaka aombe radhi kutokana na kauli yake ya kuponda wanaosifia anaupiga mwingi lakini aligoma kuomba radhi na hajaomba mpaka leo na hawana cha kumfanya chochote!.

Spika aliyelazimishwa kuachia ngazi Job Ndugai baada ya kulikoroga alikaza siku mbili tu kutokana na presha kubwa ,siku ya tatu akaita waandishi wa habari na kuomba radhi kwamba nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana naomba mnisamehe lakini bado alitolewa, lakini si kwa Bashiru ambaye hakuomba radhi na hajatolewa popote.
Dk Bashiru ndiyo aliyeirejesha CCM kwenye msitari ,yani kutoka ccm ya kuzomewa mitaani hadi ccm ya kushangiliwa na kupokelewa kwa heshima mitaani, unapoona bunge limejaa wabunge wa ccm hiyo ni kazi ya Bashiru, unapoona mapato ya ccm yamepanda kutoka millioni 5 kwa mwaka hadi billioni 20 kwa mwaka hiyo ni kazi ya Bashiru!.
Kwa hiyo Dk Bashiru anawajua wabunge na viongozi wa ccm kuliko wanavyojijua ndiyo maana hawana cha kumbabaisha na hawamtishi kwa lolote.

Dk Bashiru ni mtu mwenye kusimamia anachokiamini.

Nakumbuka alimpinga Magufuli bila woga katika ule mpango wa kutaka kuitawala Tanzania milele.

Ni mchapakazi, mbunifu na mzalendo wa kweli.
 
Back
Top Bottom