Kurmodosla
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 330
- 202
Hatujui ya kesho je uchaguzi unaokuja akichukua fomu ya kugombea urais wa nchi hii na ccm ikampitisha akashinda hapo siku hiyo utasemaje?
Haahaa utasubiri Sana...imepita hyoBashiru hajachota, anarudishwa Lumumba kukiongoza chama. Wamejipanga vyema kinyume na yaliyokuwa matarajio ya adui zao.
Extremely trueUtapata wapambe wengi ukiwa na madaraka, pesa au umaarufu. Lakini vikiondoka utabaki peke yako.
Utumishi ulikoma baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha SiasaAhsante kwa ujumbe murua
ila si kweli kwamba Bashiru hakuwa mtumishi wa umma, si alikuwa mtumishi UDSM?
Well saidMy due respect mkuu. You nailed it. Akaguliwe na uraia maana kwa mateso yale kwa watanzania bila huruma huenda hana damu ya kitanzamia. You can't be such rude creature. Waliangamiza utanzania wetu wa upendo na Mshikamano. Tunaanza upya na kwa haraka Mwanga tunauona tena. Long live our President Samia Suluhu Hassan. Natabasamu.
Wamemzidi ndugu hawa jamaa Wana midomo michafu hatareee.Saivi Bashiru yupo level moja na Msukuma, Kibajaji & co
Hata akiwa Yesu atajua mwenyeweSijakuelewa unamaanisha nini kwani ulikuwa na chuki na bashiru?
Je umeuona mwisho wa bashiru na hukumu yake unayo wewe?
Kama mpango ameweza kuwa VP unadhani bashiru muda wake umeisha?
Ukitumia akili utajua huna mandeti ya kumzungumzia bashiru, bado ana muda ambao wewe siku moja ukakasirika akiwa Raisi wa nvhi hii kwa hiyo mapenzi yako ya moyo hayana tija.
Huwezi mpangia mtu mwisho wa maisha yake.
Bashiru bado anayo nafasu ya kuwa kiingozi wa nafasi ya juu sana ndani ya nchi hii
Hizo chuki zako ndo zitakutoawewe mwenyewe.
Yaani hafai hafai na hafai tena na tenaUtumishi wake ulikoma kisheria baada ya kuteuliwa na kukubali kuwa mtendaji wa chama cha siasa
Mama anaenda kuwa mwenyekiti sio miaka ya kalibuni ipite hii 9Hatujui ya kesho je uchaguzi unaokuja akichukua fomu ya kugombea urais wa nchi hii na ccm ikampitisha akashinda hapo siku hiyo utasemaje?
Bashir alipelekwa Ikulu baada ya msiba WA Kijazi na anaondoka Ikulu baada ya msiba WA Wamagufuli. Kinyota sie watabiri tunasema nyota yake ni ya ' Vifo vifo'.Jiwe amemuuza mwenzake halafu yeye kaelekea Jongomeo!
DuhBashir alipelekwa Ikulu baada ya msiba WA Kijazi na anaondoka Ikulu baada ya msiba WA Wamagufuli. Kinyota sie watabiri tunasema nyota yake ni ya ' Vifo vifo'.
Nitakushtua baada ya uteuzi.Haahaa utasubiri Sana...imepita hyo
Kwani wewe ni ndugu yake BashiruSijakuelewa unamaanisha nini kwani ulikuwa na chuki na bashiru?
Je umeuona mwisho wa bashiru na hukumu yake unayo wewe?
Kama mpango ameweza kuwa VP unadhani bashiru muda wake umeisha?
Ukitumia akili utajua huna mandeti ya kumzungumzia bashiru, bado ana muda ambao wewe siku moja ukakasirika akiwa Raisi wa nvhi hii kwa hiyo mapenzi yako ya moyo hayana tija.
Huwezi mpangia mtu mwisho wa maisha yake.
Bashiru bado anayo nafasu ya kuwa kiingozi wa nafasi ya juu sana ndani ya nchi hii
Hizo chuki zako ndo zitakutoawewe mwenyewe.
Haitakaa itokee!Hatujui ya kesho je uchaguzi unaokuja akichukua fomu ya kugombea urais wa nchi hii na ccm ikampitisha akashinda hapo siku hiyo utasemaje?
Angekuwa anarudishwa Lumumba asingepewa Ubunge. Kwa kawaida SG wa CCM hawagi na kazi nyingine ....!!Bashiru hajachota, anarudishwa Lumumba kukiongoza chama. Wamejipanga vyema kinyume na yaliyokuwa matarajio ya adui zao.
'Well said' alikuwa na tungo tata piaSoma Unaweza jifunza Kitu...
"Dr.Mpango alienda bungeni kama Waziri wa fedha. Kufumba na kufumbua akawa VP, akaondoka na ving'ora, msafara na ulinzi mkali. Maisha ndivyo yalivyo. Nothing is permanent in life. Kila kitu unachokiona kwenye maisha ni cha kupita tu. Hivyo ishi vizuri na watu.
Jana hadi saa 8 mchana Dr.Bashiru alikua boss wa watumishi wote wa umma na Katibu wa Baraza la usalama wa taifa. Yani Rais asingeweza kutangaza vita bila kushauriana kwanza na Bashiru. Alikua raia namba 4 baada ya Rais, VP na PM.
Jana ameenda Ikulu ya Chamwino akiwa na msafara, king'ora na ulinzi mkali kwa hadhi ya raia namba 4. Lakini ametoka hana ulinzi, hana king'ora, hana gari, hana dereva. Ameanza maisha mapya leo.
Kwa miaka minne amekaa Masaki kwenye nyumba ya Katibu Mkuu wa CCM, kisha akahamia jumba la kifahari la CS Ikulu. Ghafla leo anarudi kwenye nyumba yake pale Ubungo Msewe, hana ulinzi, hana msafara, hana gari.
FUNZO;
1. Rais Mwinyi (baba) aliwahi kusema madaraka ni kama koti la kuazima. Usilivae kwa mbwembwe, ipo siku mwenye nalo atalihitaji. Bashiru aliwahi kutamba kuwa CCM itatumia DOLA kubaki madarakani. Na kweli uchaguzi mkuu 2020 tuliona jinsi walivyotumia DOLA kubaki. Lakini sasa anarudi zake Ubungo Msewe hana DOLA wala paundi.
2. Maisha ni kupanda na kushuka. Ukiwa juu usidharau walio chini kwa sababu ndio watakaokudaka siku ukianguka.
3. Bashiru alipoteuliwa kuwa CS mitandao ilijaa pongezi. Vijana wa CCM wakampamba ktk profile zao, na wengine wakadai alikua mwalimu wao UDSM. Lakini leo amebaki peke yake. Wale vijana wameshaondoa "profile picture" na kufuta yale maandiko ya pongezi. Hii inatufundisha "mchuma janga hula na wa kwao" Utapata wapambe wengi ukiwa na madaraka, pesa au umaarufu. Lakini vikiondoka utabaki peke yako.
4. Bashiru aliteuliwa GS wa CCM bila hata kuwa kiongozi wa tawi. Yani kutoka Mwanachama wa kawaida hadi GS. Then akawa CS Ikulu bila kuwa mtumishi wa umma. Yani alipanda kirahisi sana. Na leo ameporomoka kirahisi pia. Wahaya husema "Easy come, easy go"
5. Ukimtegemea mwanadamu ipo siku ataondoka na utakosa pa kuegemea. Mtegemee Mungu pekee na ishi vizuri na watu wote. Vijana wa Manzese husema "heshimu watu sponsor hufariki"