dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,410
- 15,993
Hakuna asiye juwa kasia aliyetuleteaa bashiru akishirikina na jiwe ktk kukandamiza democracia na kudidimiza utawala bora, utawala unayo fata sheria.
Bali wao na jiwe waliteka nchi nzima na kutaka kumiliki CCM na serikali yote madudu ni mengi sana wamefanya sitaki nijikite uko.
Kwa hili alilo lizungumza katika mkutano wa mviwata ni dhairi shair kuwa Dkt. Bashiru amesema ukweli mtupu na msg was sent and delivered effectively. Kudos sana bashiru usiogope tupo na wewe sisi wakulima mtu anajidai ana upiga mwingi wakt hakuna lolote alilofanya ameporomosha uchumi mliyo ujenga na jiwe kwa damu na jasho leo tumeshuka kiuchumi.
Naona umeamua kujilipua na nnakusihi katu usiombe msamaha wowote wacha wa kusute na kukusimanga ila ukweli ndio huu uliyo sema na tunakungaa mkono kbsa usije kuwa kama ndugai alivyo chemka kwenye hoja yake ya msingi kuhusu tozo.
CCM mmekisha jiandaeni kuondoka 2025 na wengi wenu rais ajae atawaburuza mahakamani shenzi kabisa wezi wakubwa.
Bali wao na jiwe waliteka nchi nzima na kutaka kumiliki CCM na serikali yote madudu ni mengi sana wamefanya sitaki nijikite uko.
Kwa hili alilo lizungumza katika mkutano wa mviwata ni dhairi shair kuwa Dkt. Bashiru amesema ukweli mtupu na msg was sent and delivered effectively. Kudos sana bashiru usiogope tupo na wewe sisi wakulima mtu anajidai ana upiga mwingi wakt hakuna lolote alilofanya ameporomosha uchumi mliyo ujenga na jiwe kwa damu na jasho leo tumeshuka kiuchumi.
Naona umeamua kujilipua na nnakusihi katu usiombe msamaha wowote wacha wa kusute na kukusimanga ila ukweli ndio huu uliyo sema na tunakungaa mkono kbsa usije kuwa kama ndugai alivyo chemka kwenye hoja yake ya msingi kuhusu tozo.
CCM mmekisha jiandaeni kuondoka 2025 na wengi wenu rais ajae atawaburuza mahakamani shenzi kabisa wezi wakubwa.