Watatu waandamana Washington DC

Watatu waandamana Washington DC

Mbona simuoni Mange Kimambi?
Kadai FBI wamemzuia😅😅🤣,
hicho kinyamkera FBI wana habari nacho gani,
Kuna mambo kibao FBI wanafanya ndani kwao,
sio hizi vitu vya kipumbavu sijui maandamano ya uchaguzi TZ.
Huyu malaya anaondomola sana hata yeye hajui chochote.
ICE wapo wakienda ni mtamuona kipawa hapo akiwa anashangaa tu kafikaje.
 
Acha ujinga, tafuta pesa. Usikubali kutumika kupitisha agenda za watu. Utakufa utaacha masumbuko kwa familia na wategemezi wako
Bila shaka utakuwa umezaliwa na mwanafamilia mwenye damu ya ccm, zwazwa kabisa aliye kudanganya pesa inanunua uhuru au amani ya moyo ni nani, au yanayoendelea kwa ndugu zetu kupotea kama kuku unayaona mazuri hayo?
 
Ila sio siri hawa diaspora ni wapuuzi kupitiliza nilitegemea leo wangejitokeza wengii ila sabb nilizosikia ni za kipuuzi kama wenyewe walivo wapuuz..hampigwi marungu wala mabomu ila mmekosa akili.kma hamna makaratasi si mngevaa hata masks?
Pumbavu nyie
 
Bila shaka utakuwa umezaliwa na mwanafamilia mwenye damu ya ccm, zwazwa kabisa aliye kudanganya pesa inanunua uhuru au amani ya moyo ni nani, au yanayoendelea kwa ndugu zetu kupotea kama kuku unayaona mazuri hayo?
Sasa ndugu zako wanapotea ndiyo ukaandamane Marekani? Kwani Marekani hakuna watu wanaopotea?

Wewe ni zwazwa kudhani kuwa kuna attention yeyote mtapata. Nasubiri nione kama FOX News au Reuters au CNN watarusha upuuzi wenu huo
 
Ila sio siri hawa diaspora ni wapuuzi kupitiliza nilitegemea leo wangejitokeza wengii ila sabb nilizosikia ni za kipuuzi kama wenyewe walivo wapuuz..hampigwi marungu wala mabomu ila mmekosa akili.kma hamna makaratasi si mngevaa hata masks?
Pumbavu nyie
Kwa mtu anayeishi LA au Texas (Ndo wapo watz wengi) umbali wa kutoka huko kufika DC ni sawa na safari ya Dar kwenda Lagos, Nigeria.
 
Kwa mtu anayeishi LA au Texas (Ndo wapo watz wengi) umbali wa kutoka huko kufika DC ni sawa na safari ya Dar kwenda Lagos, Nigeria.
Ni upuuzi tu. Yaani umetoka Tanzania kwenda kutafuta maisha Marekani, halafu ushwishiwe maandamano na hiki kimalaya!!

Screenshot_20250916_171641_Google.jpg
 
Ni upuuzi tu. Yaani umetoka Tanzania kwenda kutafuta maisha Marekani, halafu ushwishiwe maandamano na hiki kimalaya!!

View attachment 3490186

Unaweza kumuita malaya au majina yoyote utakayopenda lakini ukweli utabaki pale pale. Huyu mwanadada amekuwa chachu kwa watawala wa Tanzania. Sasa hivi taifa zima ikiwemo raisi wako na chama kizima wanazungumza maandamano tu. Maandamano ambayo huyu mwanadada ndo architecture. Ni mtu gani mwingine anaweza kumyima usingizi raisi Samia kwa kiwango hiki?
 
Sasa ndugu zako wanapotea ndiyo ukaandamane Marekani? Kwani Marekani hakuna watu wanaopotea?

Wewe ni zwazwa kudhani kuwa kuna attention yeyote mtapata. Nasubiri nione kama FOX News au Reuters au CNN watarusha upuuzi wenu huo
Kajifie mbali mwana ccm wewe, najua huwezi nielewa hata nitumie kipaza sauti.
 
Back
Top Bottom