Watatu waandamana Washington DC

Watatu waandamana Washington DC

Ni wakati wetu Watz tuliopo nchini nasi kunyanyuka na kufanya yetu tarehe 29, tuache kubweteka tu na kukalisha makalio vibalazani, uhuru haupatikani hivyo kizembe zembe.
Acha ujinga, tafuta pesa. Usikubali kutumika kupitisha agenda za watu. Utakufa utaacha masumbuko kwa familia na wategemezi wako
 
Kile kidem poa chao kinajifanya kimezuiwa na FBI kisinde kuandamana maana atauponza........ wabongo noma sana.

Oyah, inchi hii haijawahi kufanyika maandamano ya nchi nzima na haitakaa ikatokea.
Niko paleeeee
Baki hapo hapo
 
Haijalishi ni wa Mexico au Wahindi au Warundi lakini wamebeba mabango ya Samia. Hii ndiyo siasa, unamkabili adui kwa namna alivyokuja. Tofauti ya hawa na akina Mange iko wapi ? Maana nao akina hawakai hapa Tz lakini wanataka kuipaka nchi matope wakati wako Marekani. Kila mmoja ashinde mechi zake

Unaandika kwa uchungu sana mwamba. Kwani wanamkosesha sana amani nani?
 
Back
Top Bottom