Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Bishanga kungekuwa na option ya kuongeza like, ningekugongea mara 40.....madoctor pia wanahusika sana ktk kuhujumuSina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
1.MRI ( magetic resonance imaging):
Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo....