Watanzania wenzangu...

Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
1.MRI ( magetic resonance imaging):
Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo....
Bishanga kungekuwa na option ya kuongeza like, ningekugongea mara 40.....madoctor pia wanahusika sana ktk kuhujumu
 
Dah Like haigongeki kwenye simu yangu duh; nitaichora mimi ohoooo!!
Hebu wacha nipige kamruzi tu angalau...
Fyuuuu fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu................!!!!
 
Wote tuna hadhi sawa tatizo ni akili zetu za kuchaji na umeme wetu huu wa kibongo basi zinaingia na kutoka. Hawa jamaa wanaharibu gari la nyumbani ili wakaombe lift kwa jiran kisa la jiran lina perfume. Badala ya kufanya kazi kwa bidii na kuboresha vya kwao wao wanakimbilia vya jirani. Mimi nigewaelewa kama wangeanza kama wanavyomalizia
 
...Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
Tutafika kweli?
Bishanga unajua mkuu, tunashadadia bure madai ya madaktari, lakini ukweli ni kwamba baadhi yao wana-sabotage huduma za hospitali za serikali. Inasemekana hivyo vifaa wanaviharibu makusudi ili patients waende kupata huduma hiyo private hospitals ambako wanafanya kazi. Lengo ni kuingiza kipato zaidi.

Mara ngapi tumesikia tuhuma kwamba madaktari wanachua madawa hospitali za serikali na kupeleka kwenye maduka yao ya madawa au zahanati zao au kuziuza.

Tunashabikia tu madai yao lakini yanayofanyika nyuma ya pazia ni makubwa sana!
 
Wasi wasi wangu ni nini hasa kinasababisha mashine za dialysis,ct scanner na MRI kila kukicha muhimbili zimekufa , opearators kwa maana ya technicians , wasoma majibu kwa maana ya doctors ambao wanasimamia mashine hizi za muhimbili ndo more or less unawakuta hao hao regency,agha khan na hindu mandal wanapiga mzigo?
Mkuu unataka tutajane kwa majina hapa? Twajuana ati.

Mimi sijapinga hoja yako, lakini source ya haya yote ni Serikali. Kwa nini hawa watu wanafanya both serikalini na private hospitals, jibu ni dogo kuwa value yao hailingani na jinsi serikali inavyowathamini. Mfano kama Daktari wa serikali atakuwa na uhakika wa 100% wa kujitosheleza kuanzia kwenye mazingira ya kazi yaani vifaa vipo vya kutosha, malipo mazuri na kunakuwa na sera kuwa 'Tunawalipa vizuri ili mfanye kazi za seriakali hivyo mtu akitaka kufanya private aachane na Govt' hapo kutakuwa kumeondoa kabisa suala la Conflicts of interest. Ila kama madaktari hawa wanatumiwa kama vilaka katika hospitali za serikali ni dhahiri wataenda kule wanapoweza ongeza kipato chao na hata kama kwa kufanya hivyo kunawafanya technicians wasiwe careful na vifaa vichache walivyo navyo.

Utaenda utarudi mwisho wa siku the bucks stop with government. Lipa watu vizuri, watengenezee mazingira mazuri ya kuonesha taaluma yao kwa ufasaha hasa, hutakuwa na tatizo hili. Mbaya zaidi unakuta hata huko kwenye hospitali za binafsi, mawaziri na wabunge wana mikono yao, na wapo kibiashara zaidi ya kiutumishi wa umma. Sasa kama watia sahihi za kuleta Phillips kufanya matengenezo nao ni beneficiaries wa private hospitals income unataraji nini? na pia ni waroho wa 60% ya madili ya serikali, hasa akiambiwa kuwa kuna option ya kutengeza kifaa kifanye kazi mwaka mzima na ingine ya kutengeza kifanye kazi miezi mtatu kwa tofauti ya 60% unatarajia atafanya nini?. Atamwamwia option ya miezi mitatu halafu kwenye makaratasi anaandika mwaka mmoja na saving ya 60% inaingia mfukoni, unatarajia atamuita Phillips kabla ya mwaka kuisha?
 
I always wonder,hivi mhando na trupu lake la tanesco wakiamua kugoma na kuzima mitambo mtera itakuwaje? Dawasco nao wakigoma na kuzima mitambo ruvu chini itakuwaje? Na staff wa huduma za anga wakizima mitambo kisa haina quality itakuwaje? Na zima moto waki down tools kisa magari mazee je? For that matter hata wazoa taka darisalama waki down tools je?
This reminds me story ya Anus iliyogoma kupitisha choo eti inadharauliwa matokeo yake ikawa ni head ache na mwili mzima kuwa dysifunctional.
Ndugu zangu hakuna taaluma iliyo bora kuliko nyingine,hata Invisible na taaluma yake ya IT ana mchango mkubwa tu katika jamii.
Nawasilisha,
Bishanga Abashaija.

Chifu Bishanga, hakuna mahala popote duniani ambako unakuta taaluma zote ziko sawa. Kuna zile ambazo zinakuwa bora kuliko zingine, na hizo unakuta ndizo zinazolipwa pesa nyingi kuliko taaluma zingine.
Kwa mfano, katika nchi nyingi za duniani madaktari ndiyo wanaolipwa pesa nyingi kuliko taaluma nyingine. Hii inatokana na muda mwingi wanaotumia katika kusoma na kuweza kuanza kupractice.

Katika mengine unaweza ukawa na kitu, lakini katika hili la usawa katika taaluma, chifu, hilo halipo. Lazima kuna taaluma zitakuwa juu ya zingine aisee. Huwezi kumlinganisha rubani wa ndege na mfagizi wa barabara za jiji; huwezi kumlinganisha daktari bingwa wa ubongo na mzoa taka aisee!!

Well, kila taaluma ina umuhimu wake, lakini kuna nyingine zina umuhimu kuliko zingine; rubani wa ndege anaweza akafagia barabara za jiji bila shida yoyote, je mfagizi wa barabara hizo anaweza kurusha ndege?! Daktari bingwa wa ubongo anaweza kuzoa taka jijini, je mzoa taka anaweza kumfanyia mtu operesheni ya ubongo?!?

Chifu, lazima ujifunze kuappreciate taaluma za watu; hata kama madaktari wana mapungufu katika kutekeleza majukumu yao hapa Tanzania, mapungufu hayo hayawezi kupelekea mtu kuwalinganisha madaktari na mzoa taka au mfagizi katika suala la umuhimu wao katika jamii aisee!!

Prost!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo mtoa mada naona unatujulisha kuwa madocta wetu nao wako kibiashara zaidi au.Hii tz kweli inaenda pabaya.
 
Bishanga, umeongea point tupu mkuu..kama ilivyo sector nyingine..madaktari wa muhimbili na kote Tanzania huhujumu vifaa vya serikali kwa ajili ya kujifaidisha kiuchumi. Tangu serikali iruhusu hospitali binafsi na kuruhusu madrs wa serikali kufanya kazi kwenye hospitali hizo wakati wao wa ziada; madrs wamekuwa wakitumia vifaa vya hospitali ya taifa kufanya diagnosis hata kwa wagonjwa waliowahudumia kwenye private hospital

a. Diagnosis inakuwa bei mbaya (private) lakini inafanyika Muhimbili kwasababu drs wanatumia connection zao; hivyo hicho kifaa cha muhimbili hakiwezi kudumu..hata kama utanunua kila siku..

b. Madrs wanashiriki katika kuziharibu au kuchukua vifaa original na kuziuza kwa hospitali binafsi; mfano kuna kesi ya dr wa serikali mawenzi hospital aliiuzia kifaa cha diagnosis hospitali ya kanisa..na kule mawenzi akaweka vifaa feki..

Kwa hivyo vifaa katika hospitali ya taifa havitadumu kwasababu zinatumika sana, zinaibiwa na hata kubadilihwa zile origini kwenda kwenye private hospitals??

Ufisadi huu upo kila mahali siyo kwa madrs tu..ni swala la kuangalia "Maadili katika nchi hii" kwenye sekta ya afya something is seriously wrong..
 
ndo maana Kambarage wa Burito alijisemeaga..'argue don't shout',
Mazee hivi ili u drive in point lazima umdhalilishe mtoa mada?
Anyway enjoy your weekend.

@ Bishanga pole mkuu never mean to annoy you point taken.....ila we can change a lot of things positively kama tutaamua kushirikiana na ku take charge na si kuwaachia hawa waliowakamata jamaa waliomtesa Dr Ulimboka.....
 
Bishanga, umeongea point tupu mkuu..kama ilivyo sector nyingine..madaktari wa muhimbili na kote Tanzania huhujumu vifaa vya serikali kwa ajili ya kujifaidisha kiuchumi. Tangu serikali iruhusu hospitali binafsi na kuruhusu madrs wa serikali kufanya kazi kwenye hospitali hizo wakati wao wa ziada; madrs wamekuwa wakitumia vifaa vya hospitali ya taifa kufanya diagnosis hata kwa wagonjwa waliowahudumia kwenye private hospital

a. Diagnosis inakuwa bei mbaya (private) lakini inafanyika Muhimbili kwasababu drs wanatumia connection zao; hivyo hicho kifaa cha muhimbili hakiwezi kudumu..hata kama utanunua kila siku..

b. Madrs wanashiriki katika kuziharibu au kuchukua vifaa original na kuziuza kwa hospitali binafsi; mfano kuna kesi ya dr wa serikali mawenzi hospital aliiuzia kifaa cha diagnosis hospitali ya kanisa..na kule mawenzi akaweka vifaa feki..

Kwa hivyo vifaa katika hospitali ya taifa havitadumu kwasababu zinatumika sana, zinaibiwa na hata kubadilihwa zile origini kwenda kwenye private hospitals??

Ufisadi huu upo kila mahali siyo kwa madrs tu..ni swala la kuangalia "Maadili katika nchi hii" kwenye sekta ya afya something is seriously wrong..

Inaonekana kwanza huelewi utendaji kazi katika sekta ya afya unakwendaje



VIFAA VYA MAHOSPITALINI NA WANAOHUSIKA KUVITUNZA

Vya theater hutunzwa na watu wa theater -kazi ya daktaari hapa ni kwenda kufanya operesheni tu...

vya maabara hutunza na watu wa maabara pia-daktaari huagiza vipimo tu ambavyo huletewa kwenye karatasi
vya wodini hutunza na manesi

Kwa mifano hii michache nafikiri utakuwa umepata picha kidogo
Hivyo ili daktari aweze kuiba hivi vifaa lazima muhusika aibe then ampe daktari....

Hivyo kama daktari anamiliki vitu vya hospitalini ni Mwizi huyo pia atakuwa amevipata kupitia hawa wahusika.

Lakini Je kama kweli wanaiba kwa nini hawawajibishwi hawa
Serikali legelege ni moja ya jibu kwa mtazamo wangu
Hivyo naamini hata hawa madr wanapogoma wanataka uwajibikaji ili vifaa viwepo na sio maneno maneno bila vitendo

Fikiria.....
 
Mkuu sikusoma vizuri ebu fafanua.

Bishanga anataka kuwaminisha watu kwamba madaktari wanaharibu hizo mashine makusudi ili wakatibiwe katika hospitali zao, hivyo katoa bei za uongo kuonyesha bei za hospitali za serikali ni kidogo na private ni ghali hivyo ni madaktari wanawapeleka huko, ndio maana nikamwambia atoe taarifa sahihi za bei, na pia CT scan kama ni moja kwa nchi nzima kwa hospitali za serikali na haifanyii matengenezo ipasavyo itawezaje kutoharibika mara kwa mara. Ushauri serikali inunue CT scan moja kwa kila mkoa, kumbuka CT scan bei ni milion 200-300, sawa na v8 moja sasa inashindwa kweli? once utakapofiwa na ndugu ambaye kuwepo kwa CT kungeokoa maisha yake ndio ungejua ninachotaka eleza. So tusiwalaumu madaktari kwa hayo.
 
Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
1.MRI ( magetic resonance imaging):
Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
2.CT scanning:
Muhimbili tsh 80,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
3. Kidney dialysis:
Hiyo ndo usiseme.
In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
Tutafika kweli?????

Unafiki sio bure umetumwa. Vifaa unavyoongelea ni vichache haviwezi kumudu mahitaji ya wagonjwa kwa hiyo lazima viharibike mapema kwa kuzidiwa. Na kama vinasubiri watengenezaji kutoka nje ni kosa la serikali kwa sababu haijasomesha wataalamu.

Naamini hata ubora wa hivyo vifaa ni wa chini mno, vinginevyo tungeona viongozi wa CCM wakitibiwa navyo na sio kwenda nje ya nchi.

Madaktari unawaona hospitali binafsi kwa sababu wanatafuta hela ya kujikimu, au wameombwa na utawala wa hospitali husika, isitoshe bado hata huko wanayotoa ni tiba, tena kwa ubora zaidi kwani hospitali binafsi zina vifaa vya kisasa, usimamizi mzuri na mazingira yanayofaa kwa utoaji tiba. Nenda zako mmu kaongee mambo ya ngono, over!
 
Unafiki sio bure umetumwa. Vifaa unavyoongelea ni vichache haviwezi kumudu mahitaji ya wagonjwa kwa hiyo lazima viharibike mapema kwa kuzidiwa. Na kama vinasubiri watengenezaji kutoka nje ni kosa la serikali kwa sababu haijasomesha wataalamu.

Naamini hata ubora wa hivyo vifaa ni wa chini mno, vinginevyo tungeona viongozi wa CCM wakitibiwa navyo na sio kwenda nje ya nchi.

Madaktari unawaona hospitali binafsi kwa sababu wanatafuta hela ya kujikimu, au wameombwa na utawala wa hospitali husika, isitoshe bado hata huko wanayotoa ni tiba, tena kwa ubora zaidi kwani hospitali binafsi zina vifaa vya kisasa, usimamizi mzuri na mazingira yanayofaa kwa utoaji tiba. Nenda zako mmu kaongee mambo ya ngono, over!

Wewe unaonekana ni daktari ila huna exposure ya kutosha ya fani ya udaktari wa kisasa.
Vifaa kama CT scanner huwa vina number of images ambayo vinatakiwa kufanya bila kufanyiwa major service. Kutumiwa kwa mashine na nchi nzima hakupaswi kuwa sababu ya mashine kuhitaji service kabla ya kuhudumia idadi hiyo ya wagonjwa.
Kuhusu wataalam kutoka nje ndio unaonekana hujui kabisa unachoongea. Ndio maana kuna mtu humu JF alianzisha thread kuwa mitaala ya madaktari imekosewa. Unaponunua mashine inakuwa katika mkataba wa kufanyiwa service na kampuni iliyokuuzia kwa miaka fulani. Kama kampuni hiyo haina tawi nchini kwako basi watalaam hao watalazimika kutoka nje ya nchi, na hiyo huwa ni sehemu ya makubaliana ya awali juu ya nani atafidia gharama za usafiri etc. sasa unaposema kuwa serikali haijasomesha mafundi, unamaanisha kuwa mashine hiyo ingeweza kukarabatiwa na fundi yeyote. Jifunze kwanza mambo yanavyofanyika katika ulimwengu wa kisasa.
 
Matatizo sekta ya afya hapa tz yanasababishwa na wizi na hujuma unaofanywa na madaktari wetu
 
Wewe unaonekana ni daktari ila huna exposure ya kutosha ya fani ya udaktari wa kisasa.
Vifaa kama CT scanner huwa vina number of images ambayo vinatakiwa kufanya bila kufanyiwa major service. Kutumiwa kwa mashine na nchi nzima hakupaswi kuwa sababu ya mashine kuhitaji service kabla ya kuhudumia idadi hiyo ya wagonjwa.
Kuhusu wataalam kutoka nje ndio unaonekana hujui kabisa unachoongea. Ndio maana kuna mtu humu JF alianzisha thread kuwa mitaala ya madaktari imekosewa. Unaponunua mashine inakuwa katika mkataba wa kufanyiwa service na kampuni iliyokuuzia kwa miaka fulani. Kama kampuni hiyo haina tawi nchini kwako basi watalaam hao watalazimika kutoka nje ya nchi, na hiyo huwa ni sehemu ya makubaliana ya awali juu ya nani atafidia gharama za usafiri etc. sasa unaposema kuwa serikali haijasomesha mafundi, unamaanisha kuwa mashine hiyo ingeweza kukarabatiwa na fundi yeyote. Jifunze kwanza mambo yanavyofanyika katika ulimwengu wa kisasa.

1. Mie sio daktari, ukibisha nitakuhakikishia

2. Kama CT scanner inatakiwa kufanya idadi fulani ya images bila major service, ni ngapi? Na hiyo iliyoharibika ilifanya ngapi na zilibaki ngapi ili ifanyiwe major service?

3. Logic: kutumiwa mashine na nchi nzima haina maana kwamba itachoka haraka? Haina maana pia itaprocess images nyingi kwa muda mfupi kwa sababu ya ukubwa wa eneo la kuhudumia?

4. Kwani hapa tunaongelea CT scanner tu? Je vifaa vingine?

5. Kwa nini serikali isifanye mpango na kuzihimiza hizo kampuni husika ziwe na matawi nchini ili kuharakisha ukarabati? Mbona tunaona matawi na ofisi za kampuni zingine kibao! Au sekta ya afya sio muhimu?

6. Kwa nini serikali tangu ipate uhuru isisomeshe wataalamu wake wa kutengeneza vifaa vyetu wenyewe kama CT scanner na vingine, na sio kutegemea kununua kutoka nje? Umekariri tu lazima tununue kutoka nje? Usije na hoja dhaifu tafadhali!

7. Jibu hoja zingine za mazingira mabaya ya kazi, mishahara duni etc.,

8. Kwa nini kwa ujumla huduma za hospitali binafsi ni nzuri kuliko za serikali? Serikali inashindwa nini kuiga/kufanya kama hospitali binafsi ili itoe huduma kama zao au bora zaidi?

9. Nakusubiri ujibu ili tuendelee na mjadala
 
Bishanga unajua mkuu, tunashadadia bure madai ya madaktari, lakini ukweli ni kwamba baadhi yao wana-sabotage huduma za hospitali za serikali. Inasemekana hivyo vifaa wanaviharibu makusudi ili patients waende kupata huduma hiyo private hospitals ambako wanafanya kazi. Lengo ni kuingiza kipato zaidi.

Mara ngapi tumesikia tuhuma kwamba madaktari wanachua madawa hospitali za serikali na kupeleka kwenye maduka yao ya madawa au zahanati zao au kuziuza.

Tunashabikia tu madai yao lakini yanayofanyika nyuma ya pazia ni makubwa sana!

mkuu unachanganya madaktari na wafamasia!
 
Back
Top Bottom