manshiroo
Senior Member
- Jul 2, 2012
- 150
- 138
I always wonder,hivi mhando na trupu lake la tanesco wakiamua kugoma na kuzima mitambo mtera itakuwaje? Dawasco nao wakigoma na kuzima mitambo ruvu chini itakuwaje? Na staff wa huduma za anga wakizima mitambo kisa haina quality itakuwaje? Na zima moto waki down tools kisa magari mazee je? For that matter hata wazoa taka darisalama waki down tools je?
This reminds me story ya Anus iliyogoma kupitisha choo eti inadharauliwa matokeo yake ikawa ni head ache na mwili mzima kuwa dysifunctional.
Ndugu zangu hakuna taaluma iliyo bora kuliko nyingine,hata Invisible na taaluma yake ya IT ana mchango mkubwa tu katika jamii.
Nawasilisha,
Bishanga Abashaija.
unajua Bishanga wewe umesema ukweli ambao watu wataukataa tu ila ndivyo ulivyo. Juzi nilikuwa naongea na prof mmoja hapo huo kikuu cha dar es salaam, kiukweli huyu prof alinimbia kitu kimoja kigumu sana juu ya hili sakata la madaktari alisema tatizo ni system yenyewe ya utoaji elimu ndio inayopelekea hapo.
kitendo cha kuwatenga hawa na wanafunzi wengine katika mabweni na lecture rooms ndilo tatizo mtu toka anaanza first yr anaitwa Dr so and so hivyo anafikiri he is somebody very special akasahau kwamba ni mwanafunzi wa kawaida tu. hivi huyu anayesomea udaktari 5 yrs anatofautiana vipi na anayesoma archtech miaka 5? in terms of education duration? na je hiyo miaka 5 inamuongezea ufaulu na uelewa ama bado inambakiza pale alipo kiakili? manake kama makarai wengi tu wana clear kwa makarai lakini sasa inakuja kuleta shida .
hivi wakisema wanalia na kujiona bora je wao ni bora kuliko waalim ambao wamewafundisha? je ni kwanini waifanye field yao kuwa the most expensive field ili hali ita can not survive alone? wanajitetea wao wanawasahau manesi wanaofanya nao kazi tena ambao ndio wanachapa mzigo kuliko wao? ukilazwa hosp utagundua nesi muda mwingine anakuwa ni dr lakin hilo hawalion wanataka tu mifuko yao itune. hebu wareason as prudent and not acting like money mongers.
Last edited by a moderator: