Watanzania wenzangu...

Watanzania wenzangu...

Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
Bishanga kasema zinafanyiwa service lakini zinahujumiwa baada ya muda mfupi. Kuna ukweli usiofichika kua CCM imetufundisha desturi ya kila mtu pamoja na DRs, wanasiasa nk kua wezi nchi hii - bora hizo mashine zingesimamiwa na mtu/kampuni binafsi lkn huduma kwa bei zilizopangwa na serikali plus 10% service charge apewe mwendeshaji. Huduma ikisua sua mtu anaondolewa mara moja.
Uongozi mzuri haupo hilo ndio tatizo kuu la nchi hii.
 
Bishanga kasema zinafanyiwa service lakini zinahujumiwa baada ya muda mfupi. Kuna ukweli usiofichika kua CCM imetufundisha desturi ya kila mtu pamoja na DRs, wanasiasa nk kua wezi nchi hii - bora hizo mashine zingesimamiwa na mtu/kampuni binafsi lkn huduma kwa bei zilizopangwa na serikali plus 10% service charge apewe mwendeshaji. Huduma ikisua sua mtu anaondolewa mara moja.
Uongozi mzuri haupo hilo ndio tatizo kuu la nchi hii.
Aisee umeongea bonge la point,outsourcing,mashine za serikali mwendeshaji kampuni binafsi,viwango vikishuka you are out.
Jamani kama kuna kibosile wa wizara ya afya anasoma hii thread then mark this advice.
 
Unafiki sio bure umetumwa. Vifaa unavyoongelea ni vichache haviwezi kumudu mahitaji ya wagonjwa kwa hiyo lazima viharibike mapema kwa kuzidiwa. Na kama vinasubiri watengenezaji kutoka nje ni kosa la serikali kwa sababu haijasomesha wataalamu.

Naamini hata ubora wa hivyo vifaa ni wa chini mno, vinginevyo tungeona viongozi wa CCM wakitibiwa navyo na sio kwenda nje ya nchi.

Madaktari unawaona hospitali binafsi kwa sababu wanatafuta hela ya kujikimu, au wameombwa na utawala wa hospitali husika, isitoshe bado hata huko wanayotoa ni tiba, tena kwa ubora zaidi kwani hospitali binafsi zina vifaa vya kisasa, usimamizi mzuri na mazingira yanayofaa kwa utoaji tiba. Nenda zako mmu kaongee mambo ya ngono, over!
Jf is never boring.
(Source:The Boss)
 
jamani,yule mama alieondolewa coz of ule mgomo wa kwanza(nimesahau jina lake)c inasemekana amechukua machine ya kuchekia kidney(figo)ya pale muhimbili iliyonunuliwa na serikali na kupelekwa kwny hospitali yake!serikali inajua na imekaa kimya!unategemea ma dr wafanye nn?mfumo wa uongozi ni mbaya!hata aje nani hamna kitakachobadirika,unless tuondoe hii system.
 
hawa madokta saa ingine wanakatisha tamaa ,tunaotumia mahospitali ya serikali yametukuta mengi tu ,maana huwa wanakudharau sana sana ,unaweza ukaingia ndani yeye akatoka ,kurudi kwake ni baada ya masaa.Kama hujampenyezea chochote basi utaondoshwa njiani uwapishe wenye hela ya kumpa.

Wanaofika mahospitali haya wakiwa wajawazito ndio usiseme ,mtu anazalishwa kwa nguvu na mijineno juu ,saa ingine ukifikiria unaweza kusema bora yawakute,liwalo na liwe.

Wewe ni mwana apolo bana wacha kutuhadaa!
 
jamani,yule mama alieondolewa coz of ule mgomo wa kwanza(nimesahau jina lake)c inasemekana amechukua machine ya kuchekia kidney(figo)ya pale muhimbili iliyonunuliwa na serikali na kupelekwa kwny hospitali yake!serikali inajua na imekaa kimya!unategemea ma dr wafanye nn?mfumo wa uongozi ni mbaya!hata aje nani hamna kitakachobadirika,unless tuondoe hii system.
 
I always wonder,hivi mhando na trupu lake la tanesco wakiamua kugoma na kuzima mitambo mtera itakuwaje? Dawasco nao wakigoma na kuzima mitambo ruvu chini itakuwaje? Na staff wa huduma za anga wakizima mitambo kisa haina quality itakuwaje? Na zima moto waki down tools kisa magari mazee je? For that matter hata wazoa taka darisalama waki down tools je?
This reminds me story ya Anus iliyogoma kupitisha choo eti inadharauliwa matokeo yake ikawa ni head ache na mwili mzima kuwa dysifunctional.
Ndugu zangu hakuna taaluma iliyo bora kuliko nyingine,hata Invisible na taaluma yake ya IT ana mchango mkubwa tu katika jamii.
Nawasilisha,
Bishanga Abashaija.

...Hivi noja nikuulize maswali machache,ingawa najua napoteza muda kwa kukuluiza sabu sizani kama utakuwa na majibu ya kueleweka,
1) Umeme unaongelea ni upi uliopo Tz kiasi kwamba wakigoma au kutogoma itakuwa na athari kwa wananchi ambao labda kila siku wana uhakika wa kupata umeme na hawajui maana ya kukatika kwa umeme!!!??
2) Mitambo ya anga iliyonayo Tz ya kueleweka iko wapi wakati hiyo airport yenyewe ni kama kituo cha mabasi tuu!!!??Ushaona airport??
Najua unatambua wazi kuwa watu duniani wako tofauti,umuhimu wao uko tofauti na kamwe hawatukuja kulingana,na hii itakuwa hivyo hivyo hata kwenye mishara yao pia!!!??
ILA KWAKUWA UNAONEKANA UNAPENDA SANA STRORY ZA ''ANUS ILIYOGOMA'',sina haja kujua kuwa watu huwa ''MIENENDO AU AKILI'' zao huwa zinabadilika na kuwa sawa na vile vitu wanavyovipendelea au kuvitukuza maishani mwao,nazani aliyeandika hapo si wewe bali ''HUYO AN--US''.

 
yea mai hazibendi....
Nimekuita uje kumsaidia byshenger huku wanamuonea....
Hebu shusha nondo basi....
Si unaona Bishanga amethubutu,ameweza na anasonga mbele?
Siasa na mimi wapi na wapi? Mi nataka mahela bana!!

GO9G4590.JPG
 
...Hivi noja nikuulize maswali machache,ingawa najua napoteza muda kwa kukuluiza sabu sizani kama utakuwa na majibu ya kueleweka,
1) Umeme unaongelea ni upi uliopo Tz kiasi kwamba wakigoma au kutogoma itakuwa na athari kwa wananchi ambao labda kila siku wana uhakika wa kupata umeme na hawajui maana ya kukatika kwa umeme!!!??
2) Mitambo ya anga iliyonayo Tz ya kueleweka iko wapi wakati hiyo airport yenyewe ni kama kituo cha mabasi tuu!!!??Ushaona airport??
Najua unatambua wazi kuwa watu duniani wako tofauti,umuhimu wao uko tofauti na kamwe hawatukuja kulingana,na hii itakuwa hivyo hivyo hata kwenye mishara yao pia!!!??
ILA KWAKUWA UNAONEKANA UNAPENDA SANA STRORY ZA ''ANUS ILIYOGOMA'',sina haja kujua kuwa watu huwa ''MIENENDO AU AKILI'' zao huwa zinabadilika na kuwa sawa na vile vitu wanavyovipendelea au kuvitukuza maishani mwao,nazani aliyeandika hapo si wewe bali ''HUYO AN--US''.

kaaaaaaaaazi kweli kweli.....heri yetu sisi ambao tushajizeekea,i fear for the Tanzania of tommorow,God forbid!
 
...Hivi noja nikuulize maswali machache,ingawa najua napoteza muda kwa kukuluiza sabu sizani kama utakuwa na majibu ya kueleweka,
1) Umeme unaongelea ni upi uliopo Tz kiasi kwamba wakigoma au kutogoma itakuwa na athari kwa wananchi ambao labda kila siku wana uhakika wa kupata umeme na hawajui maana ya kukatika kwa umeme!!!??
2) Mitambo ya anga iliyonayo Tz ya kueleweka iko wapi wakati hiyo airport yenyewe ni kama kituo cha mabasi tuu!!!??Ushaona airport??
Najua unatambua wazi kuwa watu duniani wako tofauti,umuhimu wao uko tofauti na kamwe hawatukuja kulingana,na hii itakuwa hivyo hivyo hata kwenye mishara yao pia!!!??
ILA KWAKUWA UNAONEKANA UNAPENDA SANA STRORY ZA ''ANUS ILIYOGOMA'',sina haja kujua kuwa watu huwa ''MIENENDO AU AKILI'' zao huwa zinabadilika na kuwa sawa na vile vitu wanavyovipendelea au kuvitukuza maishani mwao,nazani aliyeandika hapo si wewe bali ''HUYO AN--US''.


Mwambie aende jukwaa lake la mambo ya ngono mkuu, kaingia choo cha kiume.
 
Ni pesa ndoo inacontrol kila kitu siku hizi mambo ya utu hamna tena
 
Nina uhakika na kitu kimoja tu!
Tumekuwa watumwa katika nchi yetu huru.
Hatuna haki, na kunyanyaswa ndo tunaona haki yetu.
 
jamani,yule mama alieondolewa coz of ule mgomo wa kwanza(nimesahau jina lake)c inasemekana amechukua machine ya kuchekia kidney(figo)ya pale muhimbili iliyonunuliwa na serikali na kupelekwa kwny hospitali yake!serikali inajua na imekaa kimya!unategemea ma dr wafanye nn?mfumo wa uongozi ni mbaya!hata aje nani hamna kitakachobadirika,unless tuondoe hii system.
 
Back
Top Bottom