Bishanga kasema zinafanyiwa service lakini zinahujumiwa baada ya muda mfupi. Kuna ukweli usiofichika kua CCM imetufundisha desturi ya kila mtu pamoja na DRs, wanasiasa nk kua wezi nchi hii - bora hizo mashine zingesimamiwa na mtu/kampuni binafsi lkn huduma kwa bei zilizopangwa na serikali plus 10% service charge apewe mwendeshaji. Huduma ikisua sua mtu anaondolewa mara moja.Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
Uongozi mzuri haupo hilo ndio tatizo kuu la nchi hii.