WaTanzania wengi hawajui wanachokitaka

NgomaNgumu

Senior Member
Nov 20, 2010
194
24
Kwa muda mrefu kumekua na makelele dhidi ya mafisadi na ufisadi kwa ujumla. Serikali iliyopo madarakani ikaamua hatua za makusudi za kupambana na hali hiyo kwa kuchagua viongozi wapya ambao watajaribu kupambana na hali hiyo. Cha kushangaza ni pale viongozi wachapa kazi kama vile nape wanapokatishwa tamaa kua wameingia kwa kasi na nguvu zao ni za soda. Hivi waTanzania tunajua tunachokitaka?
 
Kwa muda mrefu kumekua na makelele dhidi ya mafisadi na ufisadi kwa ujumla. Serikali iliyopo madarakani ikaamua hatua za makusudi za kupambana na hali hiyo kwa kuchagua viongozi wapya ambao watajaribu kupambana na hali hiyo. Cha kushangaza ni pale viongozi wachapa kazi kama vile nape wanapokatishwa tamaa kua wameingia kwa kasi na nguvu zao ni za soda. Hivi waTanzania tunajua tunachokitaka?

what makes you say Nape ni kiongozi mchapa kazi, ametestiwa wapi ku-proof maneno yako?
 
Wanajua na kutambua wanachokitaka.
Hawataki tu kuwa waumini wa maigizo yanayoigizwa nchini.
Mfano labda tujiulize tulipofurahi kwamba wezi wa Epa wanarudisha pesa zetu, ni kiasi gani kilirudi na kilirudishwa na nani na kiko wapi?
Tafakari!!
.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanajua na kutambua wanachokitaka.
Hawataki tu kuwa waumini wa maigizo yanayoigizwa nchini.
Mfano labda tujiulize tulipofurahi kwamba wezi wa Epa wanarudisha pesa zetu, ni kiasi gani kilirudi na kilirudishwa na nani na kiko wapi?
Tafakari!!
.

Hakuna hata senti moja iliyorudishwa Mkuu ndiyo maana walishindwa kutoa majina ya waliorudisha pesa na kiasi kilichorudishwa na pesa hizo ziliwekwa wapi. Sasa wamekuja na usanii wa kulivua gamba! USANII MTUPU! Kila kukicha.

Watanzania tunajua tunachokitaka tunataka viongozi bora wasio wasanii, waroho wa madaraka na utajiri wa haraka haraka, wenye kupindisha sheria za nchi ili kuwapendelea maswahiba wao. Wenye uwezo wa kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania bila ya kuwa na woga wa aina yoyote ile. Na pia ambao watasaini mikataba yoyote ile ya nchi ambayo ina maslahi kwa Watanzania ili kuleta maendeleo ya kweli na ya haraka na sio mikataba fake ya kuchimba madini, TRL, privatization, Richmond, Rada n.k.
 
Sifa za mtendaji mzuri hazi kwa kuongea vizuri na ahadi nyingi kwenye jukwaa. Nampa tahadhari Nape aangalie sana maneno mazuri anayoongea jukwaa yaendane na utekelezi wake. Wakishindwa kuyatekeleza yatajirudia ya akina Makamba. Watanzania wa leo si wa maigizo na maneno mazuri. Ila wanatake deliverables..2015 deliverables tutaanza kuzihesabu kama hazikufikiwa ndio mwisho wa CCM utahesabiwa rasmi.
 
Sifa za mtendaji mzuri haziangaliwi kwa kuongea vizuri na ahadi nyingi kwenye jukwaa. Nampa tahadhari Nape aangalie sana maneno mazuri anayoongea jukwaani yaendane na utekelezi wake. Wakishindwa kuyatekeleza yatajirudia ya akina Makamba. Watanzania wa leo si wa maigizo na maneno mazuri. Ila wanatake deliverables..2015 deliverables tutaanza kuzihesabu kama hazikufikiwa ndio mwisho wa CCM utahesabiwa rasmi.
 
Wanajua na kutambua wanachokitaka.
Hawataki tu kuwa waumini wa maigizo yanayoigizwa nchini.
Mfano labda tujiulize tulipofurahi kwamba wezi wa Epa wanarudisha pesa zetu, ni kiasi gani kilirudi na kilirudishwa na nani na kiko wapi?
Tafakari!!
.

Sifa za mtendaji mzuri haziangaliwi kwa kuongea vizuri na ahadi nyingi kwenye jukwaa. Nampa tahadhari Nape aangalie sana maneno mazuri anayoongea jukwaani yaendane na utekelezi wake. Wakishindwa kuyatekeleza yatajirudia ya akina Makamba. Watanzania wa leo si wa maigizo na maneno mazuri. Ila wanatake deliverables..2015 deliverables tutaanza kuzihesabu kama hazikufikiwa ndio mwisho wa CCM utahesabiwa rasmi.
 
Kwa muda mrefu kumekua na makelele dhidi ya mafisadi na ufisadi kwa ujumla. Serikali iliyopo madarakani ikaamua hatua za makusudi za kupambana na hali hiyo kwa kuchagua viongozi wapya ambao watajaribu kupambana na hali hiyo. Cha kushangaza ni pale viongozi wachapa kazi kama vile nape wanapokatishwa tamaa kua wameingia kwa kasi na nguvu zao ni za soda. Hivi waTanzania tunajua tunachokitaka?

Kaka,

Hapo kwenye RED:
1. UNA MAANA GANI KUWA KUCHAGUA VIONGOZI WAPYA NI KUPIGANA NA ufisadi?...UNAWEZA UKATOA MFANO WA KAULI HIYO?...Kuna fisadi yeyote mliyepambana naye so far?..tutajie!

2.Hapo kwenye BLUU:

Unaposema kuwa viongozi hao WATAJARIBU, huoni kuwa hiyo ni tayari kauli ya KUSHINDWA?...Kwasasa hivi hatakiwi KUJARIBU, ...ni matendo tuu...Mambo ya kuanza kusherekea viongozi walioteuliwa badala ya kusubiri matokeo watakayoleta, ni upumbafu!
 
Kwa muda mrefu kumekua na makelele dhidi ya mafisadi na ufisadi kwa ujumla. Serikali iliyopo madarakani ikaamua hatua za makusudi za kupambana na hali hiyo kwa kuchagua viongozi wapya ambao watajaribu kupambana na hali hiyo. Cha kushangaza ni pale viongozi wachapa kazi kama vile nape wanapokatishwa tamaa kua wameingia kwa kasi na nguvu zao ni za soda. Hivi waTanzania tunajua tunachokitaka?

Na hii ya kuwavunja moyo watu wenye nia safi nchi hii inachangia sana kupunguza idadi wa wazalendo katika taifa letu. Watu badala ya kumpa support ya kutosha mwenye nia safi na taifa letu na watanzania kwa ujumla, imekuwa tofauti tunawavunja moyo na kuwaambia hawa au huyu naye ataweza? atafika wapi? wenzie waliokuwa na lengo kama lake wamefika wapi.
HII INAKERA SANA,NA INACHANGIA WATU WENGI KUTOJITOKEZA ZAIDI KUWA WATENDAJI BORA,
hata sijui kwa nini tupo hivi, sijui tumekata tamaa kiasi kwamba hatuna imani na mtu yoyote au???,
TAFADHALI WATANZANIA WATU WANAPOONESHA NIA THABITI YA KUPINGANA NA MAOVU ,JAMANI HEBU TUWAPE SUPPORT BASI,TUACHE KUWAVUNJA MOYO.
 
Kaka,

Hapo kwenye RED:
1. UNA MAANA GANI KUWA KUCHAGUA VIONGOZI WAPYA NI KUPIGANA NA ufisadi?...UNAWEZA UKATOA MFANO WA KAULI HIYO?...Kuna fisadi yeyote mliyepambana naye so far?..tutajie!

2.Hapo kwenye BLUU:

Unaposema kuwa viongozi hao WATAJARIBU, huoni kuwa hiyo ni tayari kauli ya KUSHINDWA?...Kwasasa hivi hatakiwi KUJARIBU, ...ni matendo tuu...Mambo ya kuanza kusherekea viongozi walioteuliwa badala ya kusubiri matokeo watakayoleta, ni upumbafu!

Nina maana kwamba kwa kawaida kiongozi yoyte anayechaguliwa watu wantegemea kua atakua bora kuliko aliyetangulia hivyo ndio common sense inavyoeleza unless unieleze otherwise.

Ninasema kujaribu kwa kua hatuajajua watafanikiwa au hapana, until that time ndio tutaweza kuwahukumu. Ispokua mategemeo ya wengi ni kua watafanya vizuri kuliko waliotangulia.

Kilichotakiwa ni kuwasupport na sio kuwakatisha tamaa
 
Sio kweli kwamba hatujui tunachotaka,la hasha, bali tunataka vitendo na siyo maneno mengi ambayo hayajengi. Kwa mfano inapozungumzwa ufiadi ni hatua gani zimechukuliwa dhidi ya kupambana na ufisadi? je kubadilisha viongozi ni sawa na kuchukua hatua dhidi ya ufisadi? Kinachotakiwa ni hatua kuchukuliwa dhidi ya wote ambao wanafanya ufisadi kuanzia juu mpaka chini katika sector zote,hamna kusingizia kwamba sector fulani ni nyeti no, unyeti gani kama kuna ufisadi?
 
Back
Top Bottom