Watanzania waanza kununua petroli na dizeli nchini Zambia

Safi sana.

Kwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel)

Kumbuka hayo mafuta yamepita kwenye bandari yenu na kusafirishwa mpaka Zambia na matozo kibao.

Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu.

Je, Tanzania ni failed state?
 
Kama ni kweli inabidi tujitathimini kiukweli. Mwananchi kabanwa kila Kona, kiufupi no kupumua.
Ndio ukweli wenyewe.
Yule mtangulizi wa Samia alituma kikosi kuzuia mahemezi kwa jirani.
Pia kikosi kuzuia wakulima wasiuze kahawa Malawi, bali wapeleke ghalani
 
Kwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel)

Kumbuka hayo mafuta yamepita kwenye bandari yenu na kusafirishwa mpaka Zambia na matozo kibao.

Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu.

Je, Tanzania ni failed state?
Hayo mafuta ni haram maana hayajalipowa kodi nchini Tanzania
 
Kwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel)

Kumbuka hayo mafuta yamepita kwenye bandari yenu na kusafirishwa mpaka Zambia na matozo kibao.

Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu.

Je, Tanzania ni failed state?
Sio mbaya muigulu kawaruhusu jana kwenye kipindi cha dakika 45 kinachurushwa na itv katoa puvu hata la sabuni ya foma gold halioni
 
Zambia yote mafuta yao ni bei moja nchi nzima hazipishani ni sheria,

Petrol Kwacha 17.56 ( 1,756 T/ shs)

Diesel Kwacha 15,42 (1,542 T/ shs)

So magari yote ya binafsi including buses yaliyo karibu na border y anaingia Zambia kujaza mafuta, ila yakipungua foreigners car hawauziwi, ni Zambian cars only.
Zambia
1756÷2=875
1756+875=2631
Lita 1½=2631

Kwetu;
Lita 1=2630

Dah! Uongozi ni kazi.
 
Zambia yote mafuta yao ni bei moja nchi nzima hazipishani ni sheria,

Petrol Kwacha 17.56 ( 1,756 T/ shs)

Diesel Kwacha 15,42 (1,542 T/ shs)

So magari yote ya binafsi including buses yaliyo karibu na border y anaingia Zambia kujaza mafuta, ila yakipungua foreigners car hawauziwi, ni Zambian cars only.
Hili jambo la kuweka bei mmoja nchi nzima mm naona ni jambo zuli sn... Ss zambia tu mafuta bei ni 1756 nchi nzima yani hata sijui tunafeli wapi mafuta hayo hayo yamepita apa mpk yamefika kwao garama kibao yani kma tungekuwa na wazalenda wa kweli apa kwetu tungekuwa tunanunua hata kwa elfu 1500, nchi nzima

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom