B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,393
😅😅😅😅Unataka ukamchome shemeji na wewe?
😅😅😅😅Unataka ukamchome shemeji na wewe?
Kwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel)
Kumbuka hayo mafuta yamepita kwenye bandari yenu na kusafirishwa mpaka Zambia na matozo kibao.
Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu.
Je, Tanzania ni failed state?
Wacha mawazo mufilisiHivi ni kiasi gani cha mafuta kinatosha kuchoma nyumba na ipi nzuri kati petrol/diesel
Mkuu utakuwa siyo mzalendoSafi sana.
Inabidi awe mzalendo kama MwiguluMkuu utakuwa siyo mzalendo
Lkn umeelewaAlikuwa hajaandika. Ame-edit
Ndio ukweli wenyewe.Kama ni kweli inabidi tujitathimini kiukweli. Mwananchi kabanwa kila Kona, kiufupi no kupumua.
Hayo mafuta ni haram maana hayajalipowa kodi nchini TanzaniaKwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel)
Kumbuka hayo mafuta yamepita kwenye bandari yenu na kusafirishwa mpaka Zambia na matozo kibao.
Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu.
Je, Tanzania ni failed state?
Siku nyingine replya kwenye uzi wake kukwepa lawama.Alikuwa hajaandika. Ame-edit
alafu naww Demi mbona kaandika pale kuwa Petrol na Diesel.Mafuta petrol/diesel au ya kupikia?
Sio mbaya muigulu kawaruhusu jana kwenye kipindi cha dakika 45 kinachurushwa na itv katoa puvu hata la sabuni ya foma gold halioniKwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel)
Kumbuka hayo mafuta yamepita kwenye bandari yenu na kusafirishwa mpaka Zambia na matozo kibao.
Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu.
Je, Tanzania ni failed state?
ZambiaZambia yote mafuta yao ni bei moja nchi nzima hazipishani ni sheria,
Petrol Kwacha 17.56 ( 1,756 T/ shs)
Diesel Kwacha 15,42 (1,542 T/ shs)
So magari yote ya binafsi including buses yaliyo karibu na border y anaingia Zambia kujaza mafuta, ila yakipungua foreigners car hawauziwi, ni Zambian cars only.
Hili jambo la kuweka bei mmoja nchi nzima mm naona ni jambo zuli sn... Ss zambia tu mafuta bei ni 1756 nchi nzima yani hata sijui tunafeli wapi mafuta hayo hayo yamepita apa mpk yamefika kwao garama kibao yani kma tungekuwa na wazalenda wa kweli apa kwetu tungekuwa tunanunua hata kwa elfu 1500, nchi nzimaZambia yote mafuta yao ni bei moja nchi nzima hazipishani ni sheria,
Petrol Kwacha 17.56 ( 1,756 T/ shs)
Diesel Kwacha 15,42 (1,542 T/ shs)
So magari yote ya binafsi including buses yaliyo karibu na border y anaingia Zambia kujaza mafuta, ila yakipungua foreigners car hawauziwi, ni Zambian cars only.
Mafuta ya Zambia yalipiwe kodi Tanzania wewe una upeo wowote kweli?Hayo mafuta ni haram maana hayajalipowa kodi nchini Tanzania
Ame-edit jamani hakuwa ameandika. Ngoja niifute comment maana nashambuliwa 😀alafu naww Demi mbona kaandika pale kuwa Petrol na Diesel.
Ooh Asante kwa ushauriSiku nyingine replya kwenye uzi wake kukwepa lawama.
Sikuwa nimeelewaLkn umeelewa