Mimi nashindwa kuwaelewa hawa watanzania wenzangu waishio ughaibuni.
Hawa wako kwenye mafungu.
Watoto wa waliokua mabalozi wa Tz nchi za nje
Watoto wa mafisadi.
Watoto ambao kwa njia moja au nyingine hawakufika huko kwa njia ya uhalali.
Swali lakujiuliza nikwanini hakuna tunachoona cha maana kama kuandaa chakula au kitu kama CHANGIA MAENDELEO YA TANZANIA au kuchangia maendeleo ya sehemu wanazotoka?
Unayoona nikuwa na vikao vyakusifia CCM,kuanzisha matawi ya CCM ugenini, Kampeni za CCM ugenini, hivi utatembea na fulana yako iliyoandikwa chagua CCM marekani nani atakayepiga kura huko? au kuna kupiga kura nje ya nchi, As far I know hakuna kitu kama hicho kwa Tanzania.
Najua wamarekani ndio wanaoweza kupiga kura wakiwa nje ya marekani. Jengine sherehe zisizokua na kichwa na miguu.
White party sijui nyekundu party.
Chakushangaa zaidi ni hawa watu wanaofaidika na maendeleo ya magharibi lakini wao ndio wa kwanza kushabikia CCM izidi kuwaumiza watanzania wenzao ambao hata maji masafi ya kunywa ni shida, hapo sijaongelea mlo.
Wengine eti wanasifia maendeleo ya magharibi lakini unashindwa kuwaelewa kwanini mtu azidi kusifia cha watu wakati chako kinadorora?
Utakuta mtu anasema nimejifungua kwenye first class hospital, what a heck? huu ni ushamba au ninini?
Marafiki zangu huku ughaibuni ambao wameshawahi kufika Tanzania wanasema itachukua karne watanzania kujua haki zao na majukumu yao na sio kutegemea wazungu wanaokuja Tanzania kuwafundisha namna yakujiendeleza
Hawa wako kwenye mafungu.
Watoto wa waliokua mabalozi wa Tz nchi za nje
Watoto wa mafisadi.
Watoto ambao kwa njia moja au nyingine hawakufika huko kwa njia ya uhalali.
Swali lakujiuliza nikwanini hakuna tunachoona cha maana kama kuandaa chakula au kitu kama CHANGIA MAENDELEO YA TANZANIA au kuchangia maendeleo ya sehemu wanazotoka?
Unayoona nikuwa na vikao vyakusifia CCM,kuanzisha matawi ya CCM ugenini, Kampeni za CCM ugenini, hivi utatembea na fulana yako iliyoandikwa chagua CCM marekani nani atakayepiga kura huko? au kuna kupiga kura nje ya nchi, As far I know hakuna kitu kama hicho kwa Tanzania.
Najua wamarekani ndio wanaoweza kupiga kura wakiwa nje ya marekani. Jengine sherehe zisizokua na kichwa na miguu.
White party sijui nyekundu party.
Chakushangaa zaidi ni hawa watu wanaofaidika na maendeleo ya magharibi lakini wao ndio wa kwanza kushabikia CCM izidi kuwaumiza watanzania wenzao ambao hata maji masafi ya kunywa ni shida, hapo sijaongelea mlo.
Wengine eti wanasifia maendeleo ya magharibi lakini unashindwa kuwaelewa kwanini mtu azidi kusifia cha watu wakati chako kinadorora?
Utakuta mtu anasema nimejifungua kwenye first class hospital, what a heck? huu ni ushamba au ninini?
Marafiki zangu huku ughaibuni ambao wameshawahi kufika Tanzania wanasema itachukua karne watanzania kujua haki zao na majukumu yao na sio kutegemea wazungu wanaokuja Tanzania kuwafundisha namna yakujiendeleza