Watanzania ughaibuni

Watanzania ughaibuni

Mnajuwa hii ipo hivi TAZAMA HIYO PICHA CHINI

shit.jpg

Sio kila aliyekuzidi kimaisha ni FISADI, Siyo KILA anaye msomesha Mwanaye Nje ya Nchi ni Fisadi, sio kila anaye ishi nje ya nchi ni fisadi!
 
Inatokana na na ufahamu mdogo na centralized mind. Pole sana Darwin, next time think Big! Sorry for that.
 
Aaa,wasikuumize kichwa hao,wengine huko ughaibuni nanga zimeshapaa kitambo wanakosa hata nauli ya kurudi kwao,walichoambulia ni lugha za kigeni na mother fucker nyingiiiii,plus kupiga picha kwenye mali za watu.Kwakifupi wamekwama!!

Wivu wa nyoka huo mkuu...maneno ya mkosaji na hasira za majungu....huwalishi, hujawalipia nauli, huwajui, hawakujui...focus on your miserable life....
 
Nadhani hapa ni watu kushindwa kuelewana tu. Wale waliopo Tanzania wana jaribu kujusitfy hali zao duni kwa kujaribu kuonyesha kuwa wote waliopo nje ni ma loser na wale waliopo nje japo wengi wao hawaja fanikiwa wana jaribu kuonyesha kwamba kuwepo kwao ughaibuni siyo all for nothing. In short hapa masikini wana shindana nani ni masikini zaidi (na naongelea kwa generalization kama mada ilivyo wekwa).

Ukweli ni kwamba Watanzania waliopo nje ambao wameendelea sana ni wachache na hii ina tegemea pia na definition yako ya maendeleo ni nini. Kama kuwa na huduma za afya nzuri na shule bora ni kweli wanje wana faidika na hivyo vitu lakini hivyo vitu si matokeo ya maendeleo binafsi bali ni vitu una vipata by default kwa kuwa huko. Kwa hiyo tofauti kubwa ya majority ya watu wa nje na waliopo nyumbani ni hiyo kwamba wanje wana pata benefit ya hizi "default services" lakini haimaanishi wa nje ana maendeleo yoyote ya kumshinda wa nyumbani. The difference is in being average abroad and being average back home.

Kwa wale waliopo Tanzania kuna wale ambao wana kinyongo na watu waliopo nje. Tuseme ni kama they are taking their frustrations out on the diaspora. Ni kukosa kuangalia the big picture. Ukiagalia kiundani wengi (si wote) wa Watanzania waliopo nje si professionals na hata kama ni professionals una kuta mtu hafanyi kazi inayo endana na profession yake (that is una weza ukamkuta mtu kasomea udaktari lakini huko nje siyo kazi anayo fanya). Kwa maana hiyo not to sound disrespectful lakini Watanzania wengi waliopo nje they wouldn't make much difference whether they were abroad or back home. Leo hii diaspora nzima ya Tanzania irudi nyumbani ndiyo Tanzania ita tajirika?

Kwa hiyo ndugu yangu maisha ni popote pale mtu mwenyewe anapo amua. Kuna baadhi wameamua kukaa nje waache wakae nje whether wana changia nchi or not. When it comes down to it wengi wetu tunajiangalia sisi binafsi kwanza, kisha familia then categories zingine zina fuata. Kumuambia mtu arudi Tanzania kwa sababu ya kuchangia taifa haimake sense kwa mtu kwa maana mtu ana angalia kwanza nini chenye manufaa kwake.

So in short wakuu Tanzania ita jengwa na Watanzania (wawe nje au nyumbani) ambao wameamua kuchangia taifa kwa namna moja ama nyingine. Una weza ukawa nchini Tanzania na usiwe na faida yoyote kwa taifa na una weza ukawa nje na ukawa na mchango mkubwa tu. Cha msingi ni kukusanya nguvu za watu ambao wana weza kumake a differece. Mtu uta lalamikaje mwenzio ambao ana bangaiza na menial labor hachangii taifa? Ata changia nini? Aache kujiangalia yeye na wa karibu yake kwanza? Na hata ambae yupo nyumbani lazima ajiulize ana lichangia nini taifa? Una weza ukaishi Tanzania na bado ukawa liability badala ya asset kwa taifa.

Na kuhusu hayo makundi yako matatu uliyo yataja ukweli ni kwamba they constitute a small minority. Watanzania wangapi nje baba zao ni mabalozi? Wangapi baba zao ni mafisadi? Idadi kubwa ya Watanzania waishio nje ni watu wa kawaida ambao wali pata zali ya kwenda nje na kuamua kuchukua hiyo nafasi. Tena I guarantee you watoto wengi ambao baba zao wana nafasi Tanzania hurudi kwa sababu nyumbani wana connections nyingi zaidi na pia una kuta nyumbani wana mali nyingi zaidi. Wengi ya ambao huamua kwenda Marekani na kubaki huko ni wale ambao una kuta hawana kitu cha maana walicho kiacha Tanzania zaidi ya familia zao na ndiyo maana kwao kubaki nje ni rahisi zaidi. But I guarantee you most of the people who have something to go back home to (mali, job prospects nk) wata rudi).

Najua post yangu ina weza kuonekana harsh but ukweli ndiyo huo.
 
Mimi nashindwa kuwaelewa hawa watanzania wenzangu waishio ughaibuni.
Hawa wako kwenye mafungu.
Watoto wa waliokua mabalozi wa Tz nchi za nje
Watoto wa mafisadi.
Watoto ambao kwa njia moja au nyingine hawakufika huko kwa njia ya uhalali.

Swali lakujiuliza nikwanini hakuna tunachoona cha maana kama kuandaa chakula au kitu kama CHANGIA MAENDELEO YA TANZANIA au kuchangia maendeleo ya sehemu wanazotoka?

Unayoona nikuwa na vikao vyakusifia CCM,kuanzisha matawi ya CCM ugenini, Kampeni za CCM ugenini, hivi utatembea na fulana yako iliyoandikwa chagua CCM marekani nani atakayepiga kura huko? au kuna kupiga kura nje ya nchi, As far I know hakuna kitu kama hicho kwa Tanzania.
Najua wamarekani ndio wanaoweza kupiga kura wakiwa nje ya marekani. Jengine sherehe zisizokua na kichwa na miguu.
White party sijui nyekundu party.

Chakushangaa zaidi ni hawa watu wanaofaidika na maendeleo ya magharibi lakini wao ndio wa kwanza kushabikia CCM izidi kuwaumiza watanzania wenzao ambao hata maji masafi ya kunywa ni shida, hapo sijaongelea mlo.

Wengine eti wanasifia maendeleo ya magharibi lakini unashindwa kuwaelewa kwanini mtu azidi kusifia cha watu wakati chako kinadorora?
Utakuta mtu anasema nimejifungua kwenye first class hospital, what a heck? huu ni ushamba au ninini?

Marafiki zangu huku ughaibuni ambao wameshawahi kufika Tanzania wanasema itachukua karne watanzania kujua haki zao na majukumu yao na sio kutegemea wazungu wanaokuja Tanzania kuwafundisha namna yakujiendeleza

Jaribu kufanya utafiti wa kina kabla hujakurupuka kuandika story/habari ambazo hazina maana...kwa short thinking zako zimekutuma kuandika vitu visivyo na mantiki...watu walioenda asilimia kubwa ni kihali, na kuna wengi ambao wametoka kwenye familia za kawaida kabisa, wanaishi ,kusoma na kufanya kazi...jaribu kupunguza jazba na wivu wa nyoka...fanya utafiti kabla hujadandia maneno ya mtaani...huu ni uhuni!!

lini utaelimika kama bado katika umri huo hujakua bado?...very sad! ukumbuke hujawalipia nauli...na wanasaidia familia zao...what's ur problem? tafuta watu wa kwenu mchangie hizo shule za kwenu....na wao wanachangia familia zao...acha majungu ndugu...solve ur miserable life first...!
 
Aaa,wasikuumize kichwa hao,wengine huko ughaibuni nanga zimeshapaa kitambo wanakosa hata nauli ya kurudi kwao,walichoambulia ni lugha za kigeni na mother fucker nyingiiiii,plus kupiga picha kwenye mali za watu.Kwakifupi wamekwama!!

Iyo inaitwa utalijua jiji dont hate player hate the game, huku kama huna kazi una lipwa pesa nyingi kushinda Daktari Bongo
 
Binafsi nimetoka katika familia isiyokuwa na uhusiano na ubalozi au ufisadi au uzamiaji meli. Niliishia hapa ughaibunini katika nafasi yangu ya sasa baada ya kuwashinda wengine waliokuwa wanaitaka nafasi hiyo. Kwa nini sijawahi kuomba misaada ya kupeleka Tanzania? ni kwa sababu sikuja huku kuomba misaada. Kuhusu misaada ya dharura kama mafuriko, na matetemeko nitatumia njia zinazojulikana kimataifa na wala hutasikia jina langu kwa sababu sitafuti sifa.
 
Na wale waliobebwa na mabinti wakizungu (beach boys) ? au wanaume wakizungu ? Darwin, mtazamo wako too shallow...
 
Hivi kuna mtu anaefahamu idadi ya watanzania waliopo ughaibuni ni ipi? Kwa mfano UK wako wangapi na US wako wangapi? Je hawa wanalipa Income Tax?
 
Hivi kuna mtu anaefahamu idadi ya watanzania waliopo ughaibuni ni ipi? Kwa mfano UK wako wangapi na US wako wangapi? Je hawa wanalipa Income Tax?

Walipe kwa nani?na mara ngapi?
 
Inafurahisha kuona wapenzi wa Chadema wakitofautiana kimawazo. :becky:
 
1.Inashangaza watu kuibadilisha thread yangu kwa watakavyo wao.
Ni kweli wakati wapost ya kwanza ilikua na makosa. niliomba msamaha nakusema labda ningeandika WENGI WAO kwani kati ya hao wachache mimi ni mmoja wao niliyekwenda kihalali.

2. Sikusema kwamba watanzania waishio ughaibuni waombe misaada kusaidia nyumbani bali niliweka mifano ya Harambee ili japo tukirudi TZ tunajua kwamba kuna hata ni shule au zahanati iliyojengwa kwa michango ya watanzania waishio ughaibuni.

Ndio unasaidia ndugu zako kuwatumia pesa je watanzania wengine ambao hawawezi kupumumua kwa matatizo unashindwa kuwasaidia?
KUTOA NI MOYO SIO UTAJIRI.

Mwisho nawawekea picha ya kampeni huku marekani


tz.JPG
 
huo ni wivu wa ajabu,sio kila aliye nje ni fisadi!wako wengine kihalali kabisa na wanapambana kuokoa maisha ya familia zao africa zilizo
kandamizwa na utawala mbovu!
Aliye fungua macho nje ya nchi si mwenzio!
Ni Tanzania pekee mtu anaiba hela ya tax payers na anaruhusiwa tena kugombea ubunge huku rais akimnadi bila aibu,na mahakama ikitoa amri ya kukamatwa mtuhumiwa lakini bado anadunda jimboni!Jana alikua na rais jukwaani we polisi uta-dare kumkamata???
walioko nje tuendeleeni kukaa kwa amani tz inachefua sanaaaaa
 
Ni muhimu kupangilia cha kuandika kabla hujakitundika hapa.Kuomba msamaha kwa overgeneralisation kuwa watanzania wote waliopo ugaibuni wanaangukia makundi hayo matatu ni tusi kwa baadhi yetu.Badala ya kuomba msamaha au kurekebisha kauli,kwanini usiende kwenye original post na kuifanyia editing?

Naelewa sana kuwa dhamira yako haikuwa mbaya ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji ujumbe kusudiwa.

Sent from my HTC Desire using Tapatalk
 

2. Sikusema kwamba watanzania waishio ughaibuni waombe misaada kusaidia nyumbani bali niliweka mifano ya Harambee ili japo tukirudi TZ tunajua kwamba kuna hata ni shule au zahanati iliyojengwa kwa michango ya watanzania waishio ughaibuni.

Ndio unasaidia ndugu zako kuwatumia pesa je watanzania wengine ambao hawawezi kupumumua kwa matatizo unashindwa kuwasaidia?
KUTOA NI MOYO SIO UTAJIRI.


Mwisho nawawekea picha ya kampeni huku marekani


View attachment 14351
Ebo! Wajenge zahanati na shule na kazi ya serikali kuu/kata itakuwa ni ipi? Haya mawazo ya kutegemea kusaidiwa kila siku ndio yanayotudumaza na kutufanya tusiendelee.

Hivi kuna mtu anaefahamu idadi ya watanzania waliopo ughaibuni ni ipi? Kwa mfano UK wako wangapi na US wako wangapi? Je hawa wanalipa Income Tax?
Hiyo income tax wailipe wapi Tanzania ama uko waliko?
 
Sasa mbona mnafanya upumbavu pumbavu wa kuchangisha feza huko. hamuoni ni ujinga watz wanalia na umasikini harafu ninyi ndiyo mnajifagilia eti tumechangiwa na waziri mkuu!!!!!!!, nawashangaa sana! badala ninyi mchangie tz kwa sababu mnapata japo kipato cha kueleweka ndiyo mnageuka ombaomba! Mrudi sasa kama maisha yamewashinda! mje muone makali ya umasikini na foleni ilivyo Dar!

Mkuu! Nani kakwambia kuwa nnataka au nilishawahi kuchangia TZ!? kwanza kwa mkataba gani!?? na nani kakwambia kuwa mie ni ombaomba! it seems like you really don;t know what is happening today! a person with no ideas! you are!let me tell you dude! i will never give me penny to any Tanzanian organization, political party what so ever only because i know the fund goes to the few selfish bandits who never care about those aimed! as demonstrated by CCM, so because of that i never give anything dude! and it will take a time son! thanx for your contribution anyway! bless! Na maisha hayajanishinda as you instigated!
 
Nadhani hapa ni watu kushindwa kuelewana tu. Wale waliopo Tanzania wana jaribu kujusitfy hali zao duni kwa kujaribu kuonyesha kuwa wote waliopo nje ni ma loser na wale waliopo nje japo wengi wao hawaja fanikiwa wana jaribu kuonyesha kwamba kuwepo kwao ughaibuni siyo all for nothing. In short hapa masikini wana shindana nani ni masikini zaidi (na naongelea kwa generalization kama mada ilivyo wekwa).

Ukweli ni kwamba Watanzania waliopo nje ambao wameendelea sana ni wachache na hii ina tegemea pia na definition yako ya maendeleo ni nini. Kama kuwa na huduma za afya nzuri na shule bora ni kweli wanje wana faidika na hivyo vitu lakini hivyo vitu si matokeo ya maendeleo binafsi bali ni vitu una vipata by default kwa kuwa huko. Kwa hiyo tofauti kubwa ya majority ya watu wa nje na waliopo nyumbani ni hiyo kwamba wanje wana pata benefit ya hizi "default services" lakini haimaanishi wa nje ana maendeleo yoyote ya kumshinda wa nyumbani. The difference is in being average abroad and being average back home.

Kwa wale waliopo Tanzania kuna wale ambao wana kinyongo na watu waliopo nje. Tuseme ni kama they are taking their frustrations out on the diaspora. Ni kukosa kuangalia the big picture. Ukiagalia kiundani wengi (si wote) wa Watanzania waliopo nje si professionals na hata kama ni professionals una kuta mtu hafanyi kazi inayo endana na profession yake (that is una weza ukamkuta mtu kasomea udaktari lakini huko nje siyo kazi anayo fanya). Kwa maana hiyo not to sound disrespectful lakini Watanzania wengi waliopo nje they wouldn't make much difference whether they were abroad or back home. Leo hii diaspora nzima ya Tanzania irudi nyumbani ndiyo Tanzania ita tajirika?

Kwa hiyo ndugu yangu maisha ni popote pale mtu mwenyewe anapo amua. Kuna baadhi wameamua kukaa nje waache wakae nje whether wana changia nchi or not. When it comes down to it wengi wetu tunajiangalia sisi binafsi kwanza, kisha familia then categories zingine zina fuata. Kumuambia mtu arudi Tanzania kwa sababu ya kuchangia taifa haimake sense kwa mtu kwa maana mtu ana angalia kwanza nini chenye manufaa kwake.

So in short wakuu Tanzania ita jengwa na Watanzania (wawe nje au nyumbani) ambao wameamua kuchangia taifa kwa namna moja ama nyingine. Una weza ukawa nchini Tanzania na usiwe na faida yoyote kwa taifa na una weza ukawa nje na ukawa na mchango mkubwa tu. Cha msingi ni kukusanya nguvu za watu ambao wana weza kumake a differece. Mtu uta lalamikaje mwenzio ambao ana bangaiza na menial labor hachangii taifa? Ata changia nini? Aache kujiangalia yeye na wa karibu yake kwanza? Na hata ambae yupo nyumbani lazima ajiulize ana lichangia nini taifa? Una weza ukaishi Tanzania na bado ukawa liability badala ya asset kwa taifa.

Na kuhusu hayo makundi yako matatu uliyo yataja ukweli ni kwamba they constitute a small minority. Watanzania wangapi nje baba zao ni mabalozi? Wangapi baba zao ni mafisadi? Idadi kubwa ya Watanzania waishio nje ni watu wa kawaida ambao wali pata zali ya kwenda nje na kuamua kuchukua hiyo nafasi. Tena I guarantee you watoto wengi ambao baba zao wana nafasi Tanzania hurudi kwa sababu nyumbani wana connections nyingi zaidi na pia una kuta nyumbani wana mali nyingi zaidi. Wengi ya ambao huamua kwenda Marekani na kubaki huko ni wale ambao una kuta hawana kitu cha maana walicho kiacha Tanzania zaidi ya familia zao na ndiyo maana kwao kubaki nje ni rahisi zaidi. But I guarantee you most of the people who have something to go back home to (mali, job prospects nk) wata rudi).

Najua post yangu ina weza kuonekana harsh but ukweli ndiyo huo.


This article is Oxymoron!!
I still do not understand what exactly does the writer want or reflect on. I personally think the writer has overgeneralize about the lives of Tanzanians in diaspora.
I currently live and do business both in Dar and Los Angeles. I've lived in the US over the past 20-plus years and have visited almost all States except Idaho, and have met my fellow Tanzanians engaging in wide range of professions. Some of these Tanzanians living and working in the US have outstanding and exceptional career experience beyond western standards.
To cut the long story short; there are Tanzanians who are very successful beyond even by American standards. I've met Tanzanians who are doctors, scientists, investment bankers, IT consultants, engineers, lectures, professors,Seasoned- Business directors, top businessmen, small business owners, bankers and even some IT gurus in the Silicon Valley!
I've met Tanzanians graduated from top schools in the world like Harvard, John Hopkins, Stanford, MIT etc
Similarly I've met Tanzanians who are nothing but losers, drunkards, crack-heads, big yappers, party animals, conmen, who$res and all the crap you know in the hood!
In the United states, if you are here legally, work hard, and go to college and study those areas or majors that are of high demand in the US job market (such as Medicine, Biochemistry, Electrical Engineering, Electronics, Accounting, IT, Nuclear Physics and the like) then sky is the limit. That's why I've met some Tanzanians working even in the Silicon Valley.
For you Mwanafalsafa to say that "Ukiagalia kiundani wengi (si wote) wa Watanzania waliopo nje si professionals na hata kama ni professionals una kuta mtu hafanyi kazi inayo endana na profession yake (that is una weza ukamkuta mtu kasomea udaktari lakini huko nje siyo kazi anayo fanya). ".....you are dead wrong! May be in Europe cause I've never lived there, but in the U.S there are a lot of opportunities for the folks in the professions I've mentioned even at the time when the economy is still in the tank.
If you go to college and major in Liberal Arts, Criminal Justice, Political Science, Sociology, History etc. then that's a recipe for a disaster since you may have even a Masters/phd and still struggle to get a good profession just like most local Americans...and chances are; you will be a "box guy" or engage in those odd jobs!
It's very important for any country to have some of her citizen in diaspora. That's why you have thousands of Indians, Chinese, Nigerians, Kenyans, and even the Brightons in every corner of the US.
So people need to stop overgeneralize about the lives of Tanzanians in diaspora particularly those living i the US.
 
Ebo! Wajenge zahanati na shule na kazi ya serikali kuu/kata itakuwa ni ipi? Haya mawazo ya kutegemea kusaidiwa kila siku ndio yanayotudumaza na kutufanya tusiendelee.

Mawazo yako ndio yanayomfanya Bill Gates aje kumijengea UNI badala yakujenga wenyewe!!!




Tanzania inajengwa na watanzania wenyewe.
 
Honest nadhani muandishi wa hii mada ame undermine nguvu ya Tanzania waishio nje ya Tanzania. Ukipata muda waulize Western Union ni kiasi gani cha fedha kinatumwa na Watanzania walio nje. Last time nikiwa na Zitto tulipotazama ilikuwa sawa almost 1% of Tanzania economy. I will let you be a judge. Kuhusu kuangaika na Bakuli la kuomba omba I will let JK do that.

Nimekaa US for a decade now, Nimekutana na Watanzania ambao ni Ma VP kwenye big companies kama KBR, na wapo wajasiliamali ambao wanazungusha kiasi kikubwa cha fedha.
 
Back
Top Bottom