white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,320
- 13,287
Alama zipi?umesikia huko kuwa lile somo la historia alilokuwa amelazimisha lianze kufundishwa madarasa yote kuanzia July, limetupiliwa mbali licha ya kuwa vitabu tayari vilishaandaliwa kabisa?kisa ni kuwa ni full propaganda za kumsifia tu yeye, hao marais wengine wamegusiwa kidogo tu!!hizo siasa za kishamba, ukatili, ndio legacy?kama ndio hivyo ki ukweli itachukua karne nyingi sana kumpata kiongozi wa aina hiyo, na bahati nzuri Dialo juzi ametupa angalizo zuri sana!!!MUNGU FUNDILegacy ya Magufuli haiwezi kufutika kwa maneno matupu ya chuki, Magufuli alikuwa mtu wa vitendo na siyo maneno matupu.
Mtu anayeweza kufuta Legacy ya Magufuli ni yule atakayetenda na kuacha alama zaidi ya zile alizoacha Magufuli.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Mambo mengine mnamuonea bure, yeye Kama Rais alitoa mwongozo kuwa somo la Historia ya nchi yetu lifundishwe kuanzia primary hadi chuo, ili watoto wetu wafahamu historia ya nchi yao.Alama zipi?umesikia huko kuwa lile somo la historia alilokuwa amelazimisha lianze kufundishwa madarasa yote kuanzia July, limetupiliwa mbali licha ya kuwa vitabu tayari vilishaandaliwa kabisa?kisa ni kuwa ni full propaganda za kumsifia tu yeye, hao marais wengine wamegusiwa kidogo tu!!hizo siasa za kishamba, ukatili, ndio legacy?kama ndio hivyo ki ukweli itachukua karne nyingi sana kumpata kiongozi wa aina hiyo, na bahati nzuri Dialo juzi ametupa angalizo zuri sana!!!MUNGU FUNDI
Nasema hivi hoja si ukweli au uongo bali ni mambo ambayo mnapenda kuyasikia, na ndio maana imekuwa issue kubwa ya kufungua nyuzi kibao humu pamoja na kusema si jambo jipya.
Awamu ya tano kuna msomi hata mmoja alikuwa anaweza kutumia elimu yake inavyotakiwa kwa kufuata taaluma yake?!!awamu ya tano ni barabara zipi alizojenga hadi kumpa sifa hiyo?ufisadi upi huo?ni kitu gani cha kipee ambacho wengine hawakukifanya ?hayo mengine kila mtu alifanya kwa kiasi chakeMambo mengine mnamuonea bure, yeye Kama Rais alitoa mwongozo kuwa somo la Historia ya nchi yetu lifundishwe kuanzia primary hadi chuo, ili watoto wetu wafahamu historia ya nchi yao...
Nishakwbia mimi nipo huru tofauti na nyie mnaochumkia au kumuabudu Magufuli, sina sababu ya kumchukia wala kumuabudu.Ww mwenyewe ndio nyuzi unazochangia, kwanini usifungue uzi wa kujadili vile viwanda vyake 8,000+, ili mliokuwa mnamsujudia mkutane huko mjadili?
Nani angethubutu kuanzisha miradi mikubwa kama SGR na Bwawa la umeme la Rufiji?Awamu ya tano kuna msomi hata mmoja alikuwa anaweza kutumia elimu yake inavyotakiwa kwa kufuata taaluma yake?!!awamu ya tano ni barabara zipi alizojenga hadi kumpa sifa hiyo?ufisadi upi huo?ni kitu gani cha kipee ambacho wengine hawakukifanya ?hayo mengine kila mtu alifanya kwa kiasi chake
Sawa hayo alithubutu!!lakini mzigo aliouachia taifa hili kwa miradi hiyo hadi wajukuu wetu, watahangaika nao!!ingekuwa ni pesa yetu sawa, lakini kwa pesa ya kukopa tena kutoka kwenye taasisi za fedha/bank binafsi kwa miradi hiyo ambayo kuanza kurudisha fedha ni miaka mingi?Nani angethubutu kuanzisha miradi mikubwa kama SGR na Bwawa la umeme la Rufiji?
JPM alithubutu kuanzisha ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge licha ya kelele nyingi za mabeberu kuhusu mazingira.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Uelewa wako wa mambo ni mdogo sana!Nani angethubutu kuanzisha miradi mikubwa kama SGR na Bwawa la umeme la Rufiji?
JPM alithubutu kuanzisha ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge licha ya kelele nyingi za mabeberu kuhusu mazingira.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Hiyo miradi ni nguzo muhimu katika uchumi, huwezi kuwa na viwanda vikubwa na huna reliable source ya umeme, Megawati 2100 zitakazozalishwa na 1500 za Sasa ni suluhisho tosha kwa changamoto ya umeme.Sawa hayo alithubutu!!lakini mzigo aliouachia taifa hili kwa miradi hiyo hadi wajukuu wetu, watahangaika nao!!ingekuwa ni pesa yetu sawa, lakini kwa pesa ya kukopa tena kutoka kwenye taasisi za fedha/bank binafsi kwa miradi hiyo ambayo kuanza kurudisha fedha ni miaka mingi?
Na ndio itakayo mtesa sana SAMIA, unadhania kwanini mambo mengi yalisimama , huwezi ukawa kiongozi ukawa na vipaumbele vyako kwanza, ili kujijtengenezea sifa, huku vipaumbele vya taifa ukaachana navyo!!stahiki za wafanyakazi ikawa ni hisani sio haki!!unadania hata huo uamuzi wa kuhamia dodoma ulikuwa ni wa busara?MUNGU FUNDI
Duh! Nadhani umesikia kuhusu SGR ya Kenya ambayo imejengwa na wachina, ni copyright na ile kikwete aliingia mkataba na wachina. Ile SGR ni ya kutumia diesel na gharama yake ni kubwa kuliko gharama ya SGR ya Magufuli. Wachina ni wajanja Sana, wanatoa mkopo kwa riba kubwa na ujenzi wanafanya wao.Uelewa wako wa mambo ni mdogo sana!
Kikwete aliondoka madarakani akiwa amekwisha kamilisha mipango yote ya ujenzi wa sgr kwa mkopo kutoka china. Kama Magufuli asingekurupuka kufuta huo mkataba leo hii sgr ingekuwa imeshafika kigoma na Mwanza.
Kuna mizigo gani iliyokwama kufika popote nchini ikisubiria SGR.Sgr haiendi mikoa yote.Hiyo miradi ni nguzo muhimu katika uchumi, huwezi kuwa na viwanda vikubwa na huna reliable source ya umeme, Megawati 2100 zitakazozalishwa na 1500 za Sasa ni suluhisho tosha kwa changamoto ya umeme.
SGR ya umeme ni kichocheo kizuri Cha ukuaji wa uchumi, mizigo mingi itasafirishwa kwa gharama ndogo toka bandarini kwenda sehemu mbali mbali za nchi hadi nchi jirani. Hii itasaidia Sana kupunguza mfumuko wa bei na kurahisha movement ya bidhaa.
Magufuli aliona mbali Sana, hata Kama tunachukua mikopo kwa miradi itakayochochea ukuaji wa uchumi siyo tatizo tuna uhakika kuwa mikopo hiyo italipika bila tatizo lolote.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
USILOLIJUA NI KWAMBA CCM WOTEEE NI WATU WA MASLAHI BINAFSI. WOTE BABA MMOJA NA MAMA MMOJA.Inawezekana kwa kuwa tuna ugomvi na chuki na Magufuli kila ambaye atakuja msema vibaya tutamwona ni shujaa. Lakini tujiulize "Dr. Diallo alikwii?"
Je Dr. Diallo kweli ana moral authority ya kumsema vibaya Magufuli? Huyu Diallo ukiangalia anacholalamika si kwamba watanzania wamefanyiwa hivi au vile. analalamika kwa kuwa kampuni zake zilitakiwa kulipa kodi ambayo zilikuwa hazilipi.
Hiyo ndiyo chuki yake. Analalamika kwa kuwa alimpigia Kampeni Magufuli lakini hakuja pewa Upendeleo. Utaona ni mbinafsi mwanzo mwisho.
Lakini alikuwa wapi? "Alikwii?" Hawa wanafiki wasiwaaimbishe mapambio mapya kipindi hiki wakitengeneza mazingira ya kukumbukwa na rais aliyepo. Ni wanafiki tu hawa.
View attachment 1850089
Ukweli hautakiwi ccmMwana CCM akisema mwana CCM mwenzake Ni mgonjwa, sisi Ni Nani tukatae?
Aise!!! Kusafirisha mizigo kwa njia ya barabara kutumia Malori ni gharama maradufu ya kutumia SGR inayotumia umeme. Kwa kutumia SGR unasafirisha mizigo mingi kwa wakati mmoja, unatumia muda mfupi na uhakika kuhusu usalama wa mizigo. Gharama za mafuta ni kubwa na zinabadikika kila wakati ukilinganisha na gharama za umeme ambazo zitashuka baada ya ujenzi wa Bwawa la Rufiji.Kuna mizigo gani iliyokwama kufika popote nchini ikisubiria SGR.Sgr haiendi mikoa yote.