Hakuna cha kuupiga mwingi. Haya ni matokeo ya alichokipanda Magufuli alizuia habari na kufungia na kuwatisha waandishi sababu akifanya ushezi usisikike kwa watu. Sasa aliyoyafanya yanamfuata nyuma na ndiyo asili ya jambo lolote unalolifanya Leo kesho litakufuata nyuma liwe jema au bayaMama anaupiga mwingi sana 😂😂😂😂sasa hivi Diallo anaupiga mwingi. Uchaguzi ungekuwa unafanyika mwaka huu Diallo angeteuliwa na wapinzani uchwara kugombea kama rais.