MO29 tulikuwa na matumaini makubwa kuwa jeshi lipo upande wetu wananchi na tuliaminishwa hivyo, badala yake likawa linashuhudia wananchi wakipigwa risasi na polisi MBELE YA MACHO YAO bila msaada wowote. Inasikitisha.
Safari hii D9, Watanganyika wote wenye mapenzi ya dhati na nchi yetu tusiweke matumaini makubwa kwa JWTZ lilitusaliti, tutoke tukijua tupo peke yetu na Mungu wetu.
Kama wao (JW) wanaogopa kuikomboa Tanganyika kwa sababu zao wabaki kwenye makambi yao watuachie hiyo kazi sisi wananchi tuwasaidie. Sababu tunayo, Nia tunayo na Uwezo tunao.
Safari hii D9, Watanganyika wote wenye mapenzi ya dhati na nchi yetu tusiweke matumaini makubwa kwa JWTZ lilitusaliti, tutoke tukijua tupo peke yetu na Mungu wetu.
Kama wao (JW) wanaogopa kuikomboa Tanganyika kwa sababu zao wabaki kwenye makambi yao watuachie hiyo kazi sisi wananchi tuwasaidie. Sababu tunayo, Nia tunayo na Uwezo tunao.