Watanzania tunapowasifia Kenya kwa Demokrasia pevu, pia tutafakari na hili

Mbona walimchagua Raila lakini wakawekewa Rutto na Chebukati kwa nguvu ya Pesa?

Unapokuwa huru lakini una njaa,ni tatizo kuliko kuwa umeshiba ila hauko huru.

Demokrasia inayotafutwa ni kwa lengo la kupata uhuru wa kila mtu kuishi,kusema na kupata haki ya kusikilizwa bila kujali tabaka lake.
Na hivyo kufuragia maisha yake,huku akipata huduma zote za kijamii kwa mujibu wa katiba ya nchi.

Lakini kwa wanasiasa katiba wanayoitaka ni e itakayowarahishia njia ya kupata madaraka na kuendeleza uporaji na kujitajirisha.

Kenya kuna demokrasia ya majukwaani ndio.
Lakini yule commonnwananchi kuleashinani anaishi kwa tabu balaa!

Acha upotoshaji wa kijinga, Raila ameshindwa kihalali, na amepata nafasi ya kudhibitisha mahakamani wizi aliofanyiwa na akashindwa. Kwani huko kusiko na demokrasia, ndio hao commonmwananchi wanaishi kwa raha? Au umeishiwa na hoja nini bro.
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
Acha ubwege tunahitaji matajiri wengi si kuanza kuhoji iyo pesa imetoka wapi mambo yakizamani ndo yanatukwamisha watanzania
 
halafu pia ujue kenya ni nchi ya kibepari.wakati sisi tunahangaika na ujamaa uchwara wenzetu tayari walikuwa wanahangaika na ujasiriamali hivyo hao wameanza biashara miaka mingi.wakenya ni matajiri kweli kweli si kama tanzania na la msingi wenzetu wako wazi kutaja mali zetu lkn kwetu mawaziri hawataji mali zao hadharani na ukitaka kuzijua unaambiwa utaje sababu na utalipia ili kuona hizo mali.hayo ni mambo ya ajabu sana na bora sasa tukawa na katiba mpya itakayofanya hao mawaziri wafike mbele ya bunge ili wataje mali zao na wananchi tuwahoji walizipataje.
Nakubaliana na wewe kwamba Kenya ni,ooml
 
Acha upotoshaji wa kijinga, Raila ameshindwa kihalali, na amepata nafasi ya kudhibitisha mahakamani wizi aliofanyiwa na akashindwa. Kwani huko kusiko na demokrasia, ndio hao commonmwananchi wanaishi kwa raha? Au umeishiwa na hoja nini bro.
Martha koome anajulikana wazi alikuwa mlengo gani,na mimi ninafuatilia hizo za Kenya na nafahamu kuliko wewe unaeishia kulalia kwa kile ambacho mnakitafuta,bila kujenga influence kwa majority!
Pia unaweza toa comment yako ikaeleweka bila kulazimika kutukana wenngine.
Mnaposema "freedom of speech"na ooh... "Demokrasia"huku mkiwatukana wale wenye mawazo tofauti na nyinyi,does it make sense??

Mimi sijahusika na wewe kukaa kijiweni!
Kwa hiyo mpunguze hasira na ujuaji kwa kudhani nyinyi pekee ndio mnayo haki ya kusema na kusikilizwa kwenye hizi Social Platforms.

Humu kila mtu anajitambua na anaamini katika kile anachokiamini yeye binafsi.

"Huna ulazima wa kukaa unatukana ovyo shauri ya kuelemewa na msongo wako wa mawazo."

Ukizidiwa ni usonge taratiibu pale mirembe ili wakupe tiba ya kisaikolojia.

Demokrasia ni pamoja na kuyaheshimu maoni ya wenzako na sio kuwatukana.

Sio kila mtu ni mhuni humu!
 
Wapi takwimu za wanasiasa WA tz ili tutoe hukumu ya haki, Bora kilicho nuruni kuliko kilicho gizanj
 
Wapi takwimu za wanasiasa WA tz ili tutoe hukumu ya haki, Bora kilicho nuruni kuliko kilicho gizanj
Hapa hatushindanishi bali tunatoa angalizo.

Takwimu za hawa wa Tanzania ni ngumu kutolewa maana ni "WEZI" waliobobea na wananchi tunaishi Tanzania tukiwa mateka wa :State Capture" ya CCM.

Woote wale walioko huko tume zinazoitwa za Maadili na Miiko ya Viongozi wa Umma.

Ni walewale,huku Nyani,kule Tumbili na kwingine Kima!

Hakuna wa kufunga kengele mwenzake!
 
Acha ubwege tunahitaji matajiri wengi si kuanza kuhoji iyo pesa imetoka wapi mambo yakizamani ndo yanatukwamisha watanzania
Wewe ndie bwege ba mwizi mkubwa au kimada wa mmoja wa mafisadi nchini Tanzania.

Ebu soma hili andiko hapo chini,halafu uniambie ubwege wangu!

"Takwimu zinaonyesha kuwa ripoti za mkaguzi mkuu wa matumizi ya pesa za serikali katika miaka mitano iliyopita, Wakenya hupoteza shilingi trilioni moja kila mwaka kwa ufisadi.

Hii ina maana kuwa katika miaka mitano iliyopita, Kenya huenda imepoteza kiasi cha trilioni 5 za Kenya kupitia kwa wafisadi, taratibu mbovu za serikali zinazovuja, na wafanyikazi wa serikali walio wafisadi.

Dhahiri ni kuwa, vita dhidi ya ufisadi nchini Kenya vinapaswa kuendelea bila upendeleo wowote ikiwa Kenya inategemea kupiga hatua kimandeleo.

Hata hivyo, kwa kuwa siasa za Kenya zina misingi ya kikabila, itakuwa vigumu kuyatenganisha mawili haya maana wanasiasa ndio husukuma magurudumu ya ufisadi".

Prof Mogambi, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi
:hmogambi@yahoo.co.uk
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
bora kenya wanaiba na kujenga uchumi wao na hawaporani utajiri wao, sisi hawa mapanya wetu wanaiba wanapeleka nje alafu yakifa mali zinaozea nje, badala ya kujenga majumba na kuanzisha makampuni humu ndani, sioni hoja ulioileta, kwani wanasiasa wa tz wanakuja na kivuli kisichoonekana, wakihudumu kama wabunge na mawaziri hatuwaoni na ujeuri na madharau ya pesa.
 
Martha koome anajulikana wazi alikuwa mlengo gani,na mimi ninafuatilia hizo za Kenya na nafahamu kuliko wewe unaeishia kulalia kwa kile ambacho mnakitafuta,bila kujenga influence kwa majority!
Pia unaweza toa comment yako ikaeleweka bila kulazimika kutukana wenngine.
Mnaposema "freedom of speech"na ooh... "Demokrasia"huku mkiwatukana wale wenye mawazo tofauti na nyinyi,does it make sense??

Mimi sijahusika na wewe kukaa kijiweni!
Kwa hiyo mpunguze hasira na ujuaji kwa kudhani nyinyi pekee ndio mnayo haki ya kusema na kusikilizwa kwenye hizi Social Platforms.

Humu kila mtu anajitambua na anaamini katika kile anachokiamini yeye binafsi.

"Huna ulazima wa kukaa unatukana ovyo shauri ya kuelemewa na msongo wako wa mawazo."

Ukizidiwa ni usonge taratiibu pale mirembe ili wakupe tiba ya kisaikolojia.

Demokrasia ni pamoja na kuyaheshimu maoni ya wenzako na sio kuwatukana.

Sio kila mtu ni mhuni humu!

Wapi nimekutukana, au unataka utukanwe ili upate umaarufu? Huyo Martha Koome alitoa hukumu kwa utashi wake au kwa ushahidi uliofikishwa mahakamani? Au kwakuwa mahakama za Tanzania zinaweza kupewa maelekezo namna ya kutoa hukumu basi unadhani ni kila mahali? Au unadhani hayo maelezo yako marefu ya kupanick ndio yatabeba hoja zako?
 
Wapi nimekutukana, au unataka utukanwe ili upate umaarufu? Huyo Martha Koome alitoa hukumu kwa utashi wake au kwa ushahidi uliofikishwa mahakamani? Au kwakuwa mahakama za Tanzania zinaweza kupewa maelekezo namna ya kutoa hukumu basi unadhani ni kila mahali? Au unadhani hayo maelezo yako marefu ya kupanick ndio yatabeba hoja zako?
Umenitukana hapo mkuu......

"Acha upotoshaji wa kijinga"
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
Wewe ni zaidi ya zumbukuku kabisa, nani kakwambia kuwa kwa siasa za sasa za kibepari ukiwa kiongozi hutakiwi kufanya shuguli za kukuingizia kipato?

Twambie yale mabus ya Ester yana thamani ya tsh ngapi?
 
Bora Wakenya wanasema utajiri wa viongozi na kuweka wazi. Hawa wa Tanzania nani anajua wana ukwasi wa kiwango gani? Kwa vile wapo kimya ndiyo unadhani siyo mafisadi? Siku wakitaja utajiri wao si utazimia. Fikiria tena mara 2.
Wachana na huyo kiwavi wa lumumba.
 
Nielewe vizuri hoja yangu hapo mkuu.
Hakuna mahali nimeandika kwamba Tanzania hakuna mafisadi.
Ninajua wapo na iko siku nitaeeka topic hiyo humu.

Mimi hoja yangu kubwa ni kuonyesha jinsi watu tunaowaita "State Capture" wanavyojipanga,na hatimae kumlaghai maskini mpiga kula kwa Slogan ya Mhangaikaji "Hustler" au tuseme kabwela.

Wakati sio kweli bali anawarudishia kilekile alichowapora awali.

Nimejaribu kusema kwamba hapo hakuna Hustler bali mataikuni watupu.
Na mkenya aendelee kujiandaa kukamuliwa upya.
Maccm ndiyo wapigaji namba Moja duniani
 
Umenitukana hapo mkuu......

"Acha upotoshaji wa kijinga"

Kama hilo ni tusi kwako basi wewe utakuwa ni mchungaji lazima. Kwahiyo kukuambia uache upotoshaji wa kijinga ndio umepanick kiasi hicho, ukaandika na gazeti kabisa! Basi kazi ipo boss.
 
Nadhani wenzangu kuna point moja hamkuipata, wanachokifanya wakenya ni kuweka wazi utajiri wao kama ni challenge kwa maadui/wapinzani wao. Simple wanasema huu ni utajiri wangu wangu sasa wewe prove kama sikuupata kwa njia za halali, simple! Hakuna jipya hapo!!!!
 
Back
Top Bottom