Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,474
Mbona walimchagua Raila lakini wakawekewa Rutto na Chebukati kwa nguvu ya Pesa?
Unapokuwa huru lakini una njaa,ni tatizo kuliko kuwa umeshiba ila hauko huru.
Demokrasia inayotafutwa ni kwa lengo la kupata uhuru wa kila mtu kuishi,kusema na kupata haki ya kusikilizwa bila kujali tabaka lake.
Na hivyo kufuragia maisha yake,huku akipata huduma zote za kijamii kwa mujibu wa katiba ya nchi.
Lakini kwa wanasiasa katiba wanayoitaka ni e itakayowarahishia njia ya kupata madaraka na kuendeleza uporaji na kujitajirisha.
Kenya kuna demokrasia ya majukwaani ndio.
Lakini yule commonnwananchi kuleashinani anaishi kwa tabu balaa!
Acha upotoshaji wa kijinga, Raila ameshindwa kihalali, na amepata nafasi ya kudhibitisha mahakamani wizi aliofanyiwa na akashindwa. Kwani huko kusiko na demokrasia, ndio hao commonmwananchi wanaishi kwa raha? Au umeishiwa na hoja nini bro.