Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Tumaini.. tatizo lako wewe huwezi kujaliana na watu bila kuwatukana na kuonesha dharau. Hoja haiwi na nguvu kwa sababu imeambatana na matusi na kejeli. Tunaposema tunabishana na kujadiliana haina maana ni lazima tutukanaane au kuitana majina ya uduni. Umeona juzi Warepablikani huko US wakijadiliana na Rais wao tena kwa uwazi kabisa bila kumtukana au kumuita mjinga na mpumbavu. Ni hoja tu.
Nadhani turudie ule msemo wangu wa mwanzo sana ambao naona siku hizi umepotea hapa Hoja Hujibiwa kwa Hoja, siyo Vioja!
Ha ha! Hakuna mahali mimi nimewahi kutukana yaani nianze kutukana NO! mpaka iwe namjibu aliyenituka (mimi naamini jino kwa jino) huwezi kuleta dharau zako eti nikuache not me!
Kuna watu hapa JF wanapenda maswali yasiende chadema au kwa viongozi wao au hawataki kusikia habari ambazo ni kweli (painfull truth) sasa ni shauri lao maana mimi siogopi kukuudhi kama unaona hoja ya yangu haikufahi usilete dharau..ukifanya hivyo mimi nalipa (jino kwa jino) ndio heshima itapatakana maana wabongo wamezoea kupendelewa na kubebelezwa haki haibembelezwi