Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Tanzania haina vipaumbele (priorities) tunachukulia mambo kwa pupa tunashindwa kuweka mipango ya muda mrefu tunataka tufanye kitu kionekane leo kisichukue muda mrefu ili watu wapate 10% mapema kabla hawajaacha madaraka
Angalia badala ya kuisaidia TRL isimame tunaanza kufikiria train ya upepo ambayo gharama yake ni kubwa mara mia hiyo ni akili au matope, si kwamba hao wanaopanga hivyo hawajui kuwa kwa uchumi wetu huu itatuchukua muda mrefu ila wanataka 10% yao wachukue then they dont care kama mpango huo utaendea au utakufa
Wamiliki wa vyombo mbalimbali vya habari na waandishi wa habari ni watu muhimu sana katika kuipigia kelele serikali lakini waandishi wengi wa Tanzania wamewekwa mifukoni kazi yao ni kupamba hata pasipopambika hawajui kwamba kwa kufanya hivyo wanaangamiza si kizazi hiki tu bali na vizazi vifuatavyo
Viongozi wengi wa vyama vya siasa angalia wabunge wetu hawa ndio wanaotegemewa kuongoza kelele dhidi ya serikali na si kwamba hawajui wajibu wao bali hufanya hivyo kwa maslahi yao kwanza ndiyo taifa baadae
Kada nyingine inayotakiwa isaidie kuikumbusha serikali kutekeleza wajibu wake ni wasomi wetu inakatisha tamaa kuona msomi anasahau taaluma yake na kuanza kuipamba serikali hata kama utekelezaji wake hauridhishi mfano REDET
Angalia badala ya kuisaidia TRL isimame tunaanza kufikiria train ya upepo ambayo gharama yake ni kubwa mara mia hiyo ni akili au matope, si kwamba hao wanaopanga hivyo hawajui kuwa kwa uchumi wetu huu itatuchukua muda mrefu ila wanataka 10% yao wachukue then they dont care kama mpango huo utaendea au utakufa
Wamiliki wa vyombo mbalimbali vya habari na waandishi wa habari ni watu muhimu sana katika kuipigia kelele serikali lakini waandishi wengi wa Tanzania wamewekwa mifukoni kazi yao ni kupamba hata pasipopambika hawajui kwamba kwa kufanya hivyo wanaangamiza si kizazi hiki tu bali na vizazi vifuatavyo
Viongozi wengi wa vyama vya siasa angalia wabunge wetu hawa ndio wanaotegemewa kuongoza kelele dhidi ya serikali na si kwamba hawajui wajibu wao bali hufanya hivyo kwa maslahi yao kwanza ndiyo taifa baadae
Kada nyingine inayotakiwa isaidie kuikumbusha serikali kutekeleza wajibu wake ni wasomi wetu inakatisha tamaa kuona msomi anasahau taaluma yake na kuanza kuipamba serikali hata kama utekelezaji wake hauridhishi mfano REDET