ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Mada nzuri na michango inatia moyo. Naomba kila mmoja wetu aeleze hapa jamvini ataifanyia nini nchi yetu mwaka huu wa 2010.
Act yangu ya kwanza ni kwenye box la kura naapa hapo simchagui kiongozi mbumbumbu, kibaka na asiye na huruma kwa watanzania maskini.