- Thread starter
- #81
Tunamshukuru Mungu kwa kutupatia dereva makini kabisa tunaamini tutafika salama na kutakuwa wenye furaha na tutamsifu na kumtaka aendelee kuwa dereva wetu siku za mbeleni.
dereva tunae mzuri, abiria ndo tunamsumbua.
Tunamshukuru Mungu kwa kutupatia dereva makini kabisa tunaamini tutafika salama na kutakuwa wenye furaha na tutamsifu na kumtaka aendelee kuwa dereva wetu siku za mbeleni.
Hakuan chochote aliaelezwa ukweli asitaje watu kama hana uhakika nao,na wengi amewataja hajakutwa na chochote.
Lakini bado Marafiki zake wote ni drug lords
umeona eehdereva tunae mzuri, abiria ndo tunamsumbua.
Avatar yako inaonyesha upo karibu kujinyea.
(Nimetohoa username yako)
Naona bashite kaja na id fekiuna ushahidi wa vyeti feki, usifate wanasiasa...
Ushafatwaga nyumban kwako na rais.Mapungufu ya serikali hii ya kidikteta yamezidi na hakuna hata dalili ya kuyarekebisha. Kwa mfano badala ya kujisahihisha katika utendaji, usimamizi na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo, wanatumia TISS kuwateka na kuwatesa wakosoaji. Huu ni upuuzi ambao watanzania hatuwezi kuuvumilia hata kidogo.
KUnauhakika na unachokisema au kwa sababu siyo wewe wala nduguyo aliyotendwa??Hivi Mwimbaji aliyemuimba Makonda amesababisha nini??Kwamba maendeleo hayakufikia malengo au??
Nashangaa kwanini watawala hawataki kukosolewa sijaona sababu baod na wala msitegemee kwa kutesa na kuua watu ndiyo unaleta amani mnajidanganya
Ngumu kumesa aloo!Chuki zinanapandikizwa na yule asiyependa mbunge wa chama A kwenda kumjulia hali mbunge wa chama B pale Kisongo gerezani,wakati wanafanya kazi pamoja na ni wa Tanzania
Ni mtazamo wako mkuu ambao mm naona haupo sahihi, res ipsa loquito. Kuna vitu vipo wazi havihitaji mjadala vyenyewe vinajieleza kwa yanayojiri nchini siwezi kukubali kisingizio cha eti kuna watu wanaichonganisha serikali na wananchi.Kkuna baadhi ya watu au vikundi kutoka pande mbalimbali wapo bize kutengeneza chuki ndani ya nchi yetu. Wanajaribu kuweka chuki kati ya wananchi na serikali.
Tunajua matatizo yapo ila sio ya kufikia kiasi hicho na kuna njia salama na bora zaidi za kuonesha mapungufu ya serikali bila kuleta sura ya chuki kwa sisi raia.
Mkuu unayemjimjibu ni bashite kaja na id feki
K
yule nae binadamu, alijitahid kuwataja. then kuna vikosa vidogo kafanya, unaweza kupimwa ukakuta huna dawa mwilini coz kuna kitu wanakunywa. wengine aliwakamata co kama ni watumiaji bali ni wawezeshaji kwa njia moja au nyingine. hakuna aliyesingiziwa pale.
Haya tueleze ulikusudia kusema nini mtoa mada?Jinia umeongea ukweli kabisa!! Mimi binafsi nimekuelewa vizuri
Safi sana boy ....Chuki hailetwi na kikundi cha watu ili wananchi waichukie serikali bali serikali yenyewe ndiyo inayo wajaza chuki wananchi wake, kama unaakili timamu kabisa kichwan mwako na hauna chembe ya unafiki wala ukichaa utakuwa unalijua hilo, watanzania ni wavumilivu walio vuka mipaka ya uvumilivu nawapongeza kwa hilo,
mtoa post haijui jinsia yake....Mkuu wachache watakuelewa na hongera sana nakubaliana na wewe 100%.Kkuna baadhi ya watu au vikundi kutoka pande mbalimbali wapo bize kutengeneza chuki ndani ya nchi yetu. Wanajaribu kuweka chuki kati ya wananchi na serikali.
Tunajua matatizo yapo ila sio ya kufikia kiasi hicho na kuna njia salama na bora zaidi za kuonesha mapungufu ya serikali bila kuleta sura ya chuki kwa sisi raia.
Magu kagusa maslah ya wengi sana kuanzia ndani mpaka nje, maadui ni wengi sana na Watz. lazma tujue hilo