Kifimbo1958
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 821
- 343
Mkulu anatengeneza chuki.Je sisi wananchi tutafanyaje.
kwa miguu kutoka mikoa yote tuliyo ahidiwa 50 millionWatanzania wenyewe wanaakili kuliko unavyotegemea ndiyo mana hakuna upuuzi utakaofanyika tuufumbie macho na mkiona watu wameanza kushambulia kwenye mitandao kuna siku tutaingia pale White Housekwa miguu kutoka mikoa yote tuliyo ahidiwa 50 million
hao wanaotekwa wakitekwa amani itapatikana trust me
Unamchukia sababu alianzisha vita ya dawa za kulevya? Km ni hivyo hongera teja! Au jamia mexco.
sio dodoki kaka, watu tunapotosha wasiojua. tunawaweka njia panda walio kijijini.
Tukubali ukweli,anachofanya Makonda hata yeye mwenyewe anajua ameenda beyond his responsibility ila hajui kwamba hana immunity yeye siyo Rais,akitoka Magufuli possibility ya kufungwa ni kubw aaache kuumiza na kuua watu.
Unauhakika na unachokisema au kwa sababu siyo wewe wala nduguyo aliyotendwa??Hivi Mwimbaji aliyemuimba Makonda amesababisha nini??Kwamba maendeleo hayakufikia malengo au??
Nashangaa kwanini watawala hawataki kukosolewa sijaona sababu baod na wala msitegemee kwa kutesa na kuua watu ndiyo unaleta amani mnajidanganya
Kila kitu tunasingizia madawa ya kulevya hebu tuache Makonda ana maovu yake mengi kuliko hayo madawa.Kwanza marafiki zake wote ni drug lords.
Makonda kaanza kuandamwa baada ya list ya madawa ya kulevya. Ndipo yakaibuka makundi ya kina nyie lakini kabla ya hapo hatukuwasikia. Au alikuwa msafi kabla?Kila kitu tunasingizia madawa ya kulevya hebu tuache Makonda ana maovu yake mengi kuliko hayo madawa.Kwanza marafiki zake wote ni drug lords.
nyimbo umeisikia kwanza.
Makonda kaanza kuandamwa baada ya list ya madawa ya kulevya. Ndipo yakaibuka makundi ya kina nyie lakini kabla ya hapo hatukuwasikia. Au alikuwa msafi kabla?
tuanze na ruge
Usirudi tena hapa na upuuzi wako kama huu tena.Kkuna baadhi ya watu au vikundi kutoka pande mbalimbali wapo bize kutengeneza chuki ndani ya nchi yetu. Wanajaribu kuweka chuki kati ya wananchi na serikali.
Tunajua matatizo yapo ila sio ya kufikia kiasi hicho na kuna njia salama na bora zaidi za kuonesha mapungufu ya serikali bila kuleta sura ya chuki kwa sisi raia.
Usirudi tena hapa na upuuzi wako kama huu tena.