Watanzania tunajua kwamba bei ya kupata hati ya kusafiria ni Tsh 150,000

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Feb 16, 2017
1,191
1,231
Ndugu zangu Poleni kwa majukum ambayo yamegubikwa na ukosefu wa vijisenti hivyo maisha kua magum kila kukicha

Naomba niingie kwenye Mada yangu
Bila shaka kila mmoja wetu anamfaham ya kwamba kuna maboresho ya passport, Passport hii mpya ya Tanzania inapatikana kwa hatua mbali mbali ikiwa ni pamoja na ku apply online nk.

Kwa mjibu wa maelezo inanyesha kua gharama ya kupata hii Hati ya kusafiria ni shiling 150,000.Wizara ilifanya Hivi Kama sehem ya kurahisisha huduma kwa wale wanao hitaji

Cha ajabu ni kwamba Hata km umekidhi Vigezo Haki ya Mungu huwezi kuipata kwa hyo bei, mizungusho utakayo kula hutakaa usahau. Ili ufanikiwe lazima hicho kiasi kiwe Mara mbili au tatu.

Jamani Hivi Tatizo ni nini kwetu watanganyika. Tunaomba Waziri anae husika aliangalie hili.

nb:Kama kuna anae taka kuongezea nyama kidogo karibu ili hili swala la passport liwe wazi.
 
Wazir mwenyewe hapo kwenye rushwa
Anafungu lake unategemea nn hapo
Kama co hali kuendelea kuwa hvo

Mm yangu nliipata Na laki mbili
Na nliingoja zaid ya miez mi wili

Alaf ndo naskia kuna utaratibu mpya
Wa kubadili passport hapa naona naenda
Tena kuhongana ndo wafanye huo ukarabat
Wao
 
Waziri anatolea ufafanuzk video ya gwajima, halafu sijawahi kuona mtu muongo kama wewe,katafute popote pale wakikuomba zaidi ya 150000 navua nguo.
 
Ushauri tu mda nzuri wa kutafuta hati ya kusafiria ni mda ambao huna shida nayo yani chukua weka ndani acha ipigwe uvundo siku una shida nayo unaingia ndani unachukua tu, hizi mambo za kukimbizana kimbizana mda mambo unaitaji watu wanapigwa sana
Uko Sawa kabisa,
 
Haaaaaaaaa usivue nguo mkuu Ninacho sema Nina uhakika ndivyo kilivyo, so isije ikatokea ukavua nguo pls
Waziri anatolea ufafanuzk video ya gwajima, halafu sijawahi kuona mtu muongo kama wewe,katafute popote pale wakikuomba zaidi ya 150000 navua nguo.
 
Uko Sawa kabisa,
Vitu kama pass port, leseni ya gari, na kujua kuendesha gari ni vitu ambavyo ukiwa kijana lazima uvipe kipaumbele uvitafute use navyo kama spare, mda wowote ule unamsha popo

Nikupe kisa kimoja hivi, walikujaga wazungu kujitolea katika mambo ya afya, basi wale wazungu mtoto wao akawa anaoa uko kwao ulaya kwaiyo wakaomba staff wanne waende kwenye harusi ya mtoto wao uingereza nauli kila kitu kwao wakajua kila mtu ana pass port ofisini bado wiki mbili mzungu akaja ofisini anaomba details za watu ili afutilie masuala ya viza nk, yani ofisi nzima hakuwepo hata mmoja wale wazungu walikuwa disappointed sana hawakuamini, sasa nagalia vitu kama hivyo
 
Daah, ni kweli
Vitu kama pass port, leseni ya gari, na kujua kuendesha gari ni vitu ambavyo ukiwa kijana lazima uvipe kipaumbele uvitafute use navyo kama spare, mda wowote ule unamsha popo

Nikupe kisa kimoja hivi, walikujaga wazungu kujitolea katika mambo ya afya, basi wale wazungu mtoto wao akawa anaoa uko kwao ulaya kwaiyo wakaomba staff wanne waende kwenye harusi ya mtoto wao uingereza nauli kila kitu kwao wakajua kila mtu ana pass port ofisini bado wiki mbili mzungu akaja ofisini anaomba details za watu ili afutilie masuala ya viza nk, yani ofisi nzima hakuwepo hata mmoja wale wazungu walikuwa disappointed sana hawakuamini, sasa nagalia vitu kama hivyo
 
Vitu kama pass port, leseni ya gari, na kujua kuendesha gari ni vitu ambavyo ukiwa kijana lazima uvipe kipaumbele uvitafute use navyo kama spare, mda wowote ule unamsha popo

Nikupe kisa kimoja hivi, walikujaga wazungu kujitolea katika mambo ya afya, basi wale wazungu mtoto wao akawa anaoa uko kwao ulaya kwaiyo wakaomba staff wanne waende kwenye harusi ya mtoto wao uingereza nauli kila kitu kwao wakajua kila mtu ana pass port ofisini bado wiki mbili mzungu akaja ofisini anaomba details za watu ili afutilie masuala ya viza nk, yani ofisi nzima hakuwepo hata mmoja wale wazungu walikuwa disappointed sana hawakuamini, sasa nagalia vitu kama hivyo
Mkuu kwa Tanzania raia wake wanasumbuka sana kupata hiyo hati na mazingira ya kusema uwe nayo ni sahihi ila kumbuka hati mara nyingine inajaa au kama sasa imebadilishwa mziki wa kuitafuta unaanza upya yaani tumefikia mtu akipata passport ni kama amepata cheti cha course fulani chuoni maana ni furaha tuu...
 
Vitu kama pass port, leseni ya gari, na kujua kuendesha gari ni vitu ambavyo ukiwa kijana lazima uvipe kipaumbele uvitafute use navyo kama spare, mda wowote ule unamsha popo

Nikupe kisa kimoja hivi, walikujaga wazungu kujitolea katika mambo ya afya, basi wale wazungu mtoto wao akawa anaoa uko kwao ulaya kwaiyo wakaomba staff wanne waende kwenye harusi ya mtoto wao uingereza nauli kila kitu kwao wakajua kila mtu ana pass port ofisini bado wiki mbili mzungu akaja ofisini anaomba details za watu ili afutilie masuala ya viza nk, yani ofisi nzima hakuwepo hata mmoja wale wazungu walikuwa disappointed sana hawakuamini, sasa nagalia vitu kama hivyo
Hata mimi ningekosa hiyo nafasi soon nitajitahidi kwa hilo
 
mimi nilibadili yangu ya zamani na kupata mpya kwa 150,000/= tu tena ndani ya wiki 2.
vitu vya muhimu ni viambatanisho vyote viwepo tena kwa usahihi, na uvumilivu kidogo ukienda kule makao makuu ya uhamiaji kupeleka form na wao kuchukua biometric info. hua kuna foleni kubwa hivyo tenga siku nzima. ukisha maliza kule watakupa siku ya kwenda kuifuata pasi yako makao makuu ya zamani kwenye jengo la wizara ya mambo ya ndani.
kama uko nje ya dar kwakweli sijui utaratibu.
(kumbuka wakiwa na mashaka na taarifa zako ni wajibu wao kuchunguza zaidi hivyo usikasirike, kwani wanatekeleza majukumu yao kwa niaba ya nchi)
 
Mkuu kwa Tanzania raia wake wanasumbuka sana kupata hiyo hati na mazingira ya kusema uwe nayo ni sahihi ila kumbuka hati mara nyingine inajaa au kama sasa imebadilishwa mziki wa kuitafuta unaanza upya yaani tumefikia mtu akipata passport ni kama amepata cheti cha course fulani chuoni maana ni furaha tuu...
😁😁😁😁 kazi sana
 
Waziri anatolea ufafanuzk video ya gwajima, halafu sijawahi kuona mtu muongo kama wewe,katafute popote pale wakikuomba zaidi ya 150000 navua nguo.
Mbona umevua nguo mara nyingi chif..hasa wakati wa kuoga....I bet na jana umevua nguo.....kabla ya kuoga.....
 
Back
Top Bottom