Watanzania tunajua kwamba bei ya kupata hati ya kusafiria ni Tsh 150,000

Siku hizi hakuna usumbufu kabisa mm nilipata kwa siku kumi tu bila kutoa rushwa wala chochote
 
Vitu kama pass port, leseni ya gari, na kujua kuendesha gari ni vitu ambavyo ukiwa kijana lazima uvipe kipaumbele uvitafute use navyo kama spare, mda wowote ule unamsha popo

Nikupe kisa kimoja hivi, walikujaga wazungu kujitolea katika mambo ya afya, basi wale wazungu mtoto wao akawa anaoa uko kwao ulaya kwaiyo wakaomba staff wanne waende kwenye harusi ya mtoto wao uingereza nauli kila kitu kwao wakajua kila mtu ana pass port ofisini bado wiki mbili mzungu akaja ofisini anaomba details za watu ili afutilie masuala ya viza nk, yani ofisi nzima hakuwepo hata mmoja wale wazungu walikuwa disappointed sana hawakuamini, sasa nagalia vitu kama hivyo
Kwa wenzetu kuwa na Passport ni lazima kama kuwa na kitambulisho cha kawaida, Kibongo bongo kupata passport ni ngumu sanaaa...na kama privilege fulani hivi.
 
Hivi wakuu naweza kutumia passport yangu kusafiri kwenda Nje, naona process za kupata passport mpya zitachukua muda kidogo na safari yangu mwezi ujao. Ninaenda nchi za hapa hapa Africa Kwa mara moja na kurudi.

Naombeni mwongozo.
 
Back
Top Bottom