Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Rais Magufuli anajiamini na anapenda kutafuta ufumbuzi wa matatizo yetu ambao ni Made in Tanzania.
Mchungaji na mshauri wa kiroho wa Donald Trump anayeitwa Paula White hawaamini hata malaika wa Marekani anaamini zaidi malaika wa Africa Kuwa ndio waweza msaidia TRump kushinda ,Tanzania na Africa tutembee kifua mbele
Msikie mwenye akiomba na mwafrica mwenzetu akitoa comment.
Labda angeomba afundishwe mbinu za wizi wa kura