Watanzania tumpe zawadi gani Jesca Magufuli?

TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Mpe kalio
 
Kuna nchi hata moja duniani isiyolipa viongozi wastaafu na familia zao? Wewe ikitokea ukawa Rais utafuta utaratibu huo?
Anayelipwa ni kiongozi mstaafu na sio familia yake au wenza wake. Ni nchi inayoendeshwaa kifalme au na wabunge waki ujima kama TZ ndio inayolipa wenza na hata watoto baada ya miaka 18. Msaafu ndio atajua kujipanga kutunza familia yake.
 
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania

Kwa hiyo una amini watu wote humu ndani walimsikiliza?
Ungeandika hayo mambo yaliyo kugusa uone kama yatagusa na wengine ili waweze kukuunga mkono
 
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Hao ndio wanakula mema ya nchi sasa unataka uwape nini zaidi?
 
Alipataga four ya 30 ya form four wakati anasoma st mathews kama sikosei bado point moja au mbili azungushe zero kabisa ila sawa ana akili sana tumpe zawadi mkuu
 
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Picha yake tumwone
 
Huyo Kilaza aliesoma kwa kuungaunga kwa ushawishi wa Baba yake mpaka ikapelekea ikawa nongwa kuandika neno kilaza hapa jukwaani kisa tuu tunamkera Baba yake aliewaita watoto wa Watanzania wenzake vilaza?
Kilaza nu wewe usiyejua lolote.chuki hazijawahi kumwacha mtu salama.
 
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Teuzi ingefaa
 
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Acha kufikiria kwa kutumia hisia mkuu,shirikisha akili yako,kwenu tu Kuna masikini Kibao hata Milo mitatu hawawezi kumudu.
Unakuja na hoja dhaifu ya kumpa Zawadi mtoto wa Aliyekuwa Tanzania one,waulize Wana miradi mingapi,majumba,mahotel na mahela kiasi gani bank mpaka unakuja kumuonea huruma,think deep,shughulika na famia yako na ndugu zako
 
Acha kufikiria kwa kutumia hisia mkuu,shirikisha akili yako,kwenu tu Kuna masikini Kibao hata Milo mitatu hawawezi kumudu.
Unakuja na hoja dhaifu ya kumpa Zawadi mtoto wa Aliyekuwa Tanzania one,waulize Wana miradi mingapi,majumba,mahotel na mahela kiasi gani bank mpaka unakuja kumuonea huruma,think deep,shughulika na famia yako na ndugu zako
Matatizo ya nyumbani kwako yameisha? Kwa HIYO kwenye kundi la matajiri hakuna uongozi?
 
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Uchawa unalipa ongeza bidii
 
You don't have to be President child, to be bright, or considered to be so,
Nyerere, Salim Ahmed Salim, Kawawa,came from humble beginnings, they didn't have God Father's,
Even eron musk, Diamond, Filikunjombe were not/are not sons of President or great people.
There is nothing special about Jesca Maghufuri,she is just like any other girl, but being the president daughter, she will priotize on it for material well-being and wealth accumulations, but nothing important for the m wananchi will come out of it! It's unfortunate, that as the president daughter, with all that connections, she is still waiting to be appointed for political positions,
By this time she should have several projects going on, she can rent from Charlene Ruto, President of Kenya daughter.
Insteady of looking for sympathy, she should have done something to help the community, she should have been being seen on the ground with common mwnanchi,running projects like agriculture, helping girl child,
Andika kwa kiswahili tukuelewe... Hizi papatupapatu zinatumalizia nguvu ya macho.
 
Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.
Tumuonjeshe ubunge wa Chato
 
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!

Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.

Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?

Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.


Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Mpe mku...
 
Back
Top Bottom