Watanzania tuamke tulitetee Taifa letu

Watanzania tuamke tulitetee Taifa letu

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,524
Reaction score
4,472
Na Thadei Ole Mushi.

Leo Nchi yetu imefunga mipaka yake na Kenya kwa baadhi ya Mikoa. Habari kubwa Kenya Ni hatua hiyo ya Tanzania... Yaani huko Kenya wamechachawa haswa.

Ipo hivi Kenya walikuwa Wana deal na Corona kwa mission kubwa mbili. Moja kuua kabisa Utalii wa Tanzania kwa kusema kuwa kila Dereva ana Corona that's means kuwa Watalii watakuwa wanaogopa Sana kuja nchini. Wanajua tungefaidika na Utalii kipindi hiki ambacho wao wamejifungia.

Mission ya pili ilikuwa ni kutaka kupata fedha za IMF na kweli wamezipata tayari lakini Kitendo Cha sisi kuendelea na shughuli zetu Kama kawaida kimeonekana kina manufaa zaidi.

Tayari Kenya wameshakopa USD 739 Milioni kwa ajili ya Corona. Hatua hii Tanzania waliikataa wao wameshachukua fedha hili ni deni kwa Taifa na Ni fedha nyingi sana.

Kuna Mwandishi mmoja wa Kenya anaitwa Gordon Opiyo ameandika kuhusu hatua hii ya Tanzania kufunga mipaka ameandika kuwa:-

Tanzania is hitting back. As I have been warning, we should be very careful about this Corona thing.

In my honest opinion, our Government is overreacting.We are over dramatizing Corona. I honestly doubt the figures "50 Tanzanians sent back" how comes Kenyans coming from Tanzania are turning out to be negative, and 90% of Tanzanian drivers are turning out to be positive? Kwani Corona chooses Nationality?

I think the US and WHO are using us to stigmitize Tanzanians after Magufuli refused to play ball and roll over like a puppy.

Honestly, if things were that bad, even the Truck Drivers arriving from Tanzania would be telling us stories about seeing bodies rotting in the streets.

I honestly think that we can't mess with our biggest trading partners like this, ata kama we are getting some token aid from United States and IMF.

Do you know that Markiti will collapse if we don't get supplies from Tanzania?
Do you know that Onion prices will triple if we do not get supplies from Tanzania?
Do you know that 70%of the Oranges you eat come from Tanzania?

We will face severe shortage, because cartels killed the Agricultural Sector in Kenya.

I would honestly ask all our decision makers to stop the Corona games and start thinking about the economy.
Pesa ya IMF tushapata. Tuwache hiyo mchezo Sasa.

CHA KUSHANGAZA.
Kuna baadhi ya watanzania wanaona kuwa Kenya wanatupenda sana. Wanaona sisi kufunga mipaka ni tatizo... Hapana hili ni la kupongezwa Sana.
Logic ndogo tu.

Dereva wa Kenya akija kuchukua mzigo Tanzania anaweza kukaa Hadi wiki lakini akifika mpakani kwao anaonekana ni Negative lakini wa Tanzania ni positive. Madereva wa Kenya na raia wa Kenya wanaorudi Kenya toka Tanzania hawaonekani wakiwa na Corona kwa maana hiyo Corona inabagua Nationality.

Kuna Mambo hata mtoto wa kidato cha Pili tu anaweza akaona. Cha kushangaza Graduate aliyeshikiwa akili utasikia Tanzania haiwawezi Kenya.
Ole Mushi
0712702602

Maoni ya hii thread ni ya mwandishi na wakati muafaka kuyatafakari na kuyajadili kama kuna kaukweli kokote ama la....Mbase1970
 
Bakini na corona yenu,bakini na mahindi yenu,bakini na machungwa yetu..infact bakini na kila kitu chenu sisi uhai wa watu wetu ni bora kuliko hayo makitu yenu-alisikika mkenya mmoja pale mpakani namanga.
 
Vichwa panzi hawatakuelewa!
Bado tupo kwenye domination ya mzungu!

Ni wao ndio waliokata mipaka ya nchi huku Afrika!.. ila waafrika wamelisahau Hilo na kuwa waenda hovyo!.

Kuna mahali niliandika kuwa Mimi bado naiamini serikali yangu kwasababu nnazozijua Mimi!

Wengi hawaelewi kuwa Kuna vita za maneno tu na zinatosha kushusha hadhi ya nchi pamoja na uchumi!!

Upinzani baadhi wenyewe kila kitu kitakachofanywa na serikali huwa wanaona serikali inawaonea watu!!.

Kuna watu waliitwa Nyumbu😅
Mi nahisi watu inatakiwa wasome sana vitabu ili haya mambo wayaone ktk namna ya tofauti!..
 
Vichwa panzi hawatakuelewa!
Bado tupo kwenye domination ya mzungu!
Ni wao ndio waliokata mipaka ya nchi huku Afrika!.. ila waafrika wamelisahau Hilo na kuwa waenda hovyo!.
Kuna mahali niliandika kuwa Mimi bado naiamini serikali yangu kwasababu nnazozijua Mimi!

Wengi hawaelewi kuwa Kuna vita za maneno tu na zinatosha kushusha hadhi ya nchi pamoja na uchumi!!
Upinzani baadhi wenyewe kila kitu kitakachofanywa na serikali huwa wanaona serikali inawaonea watu!!.

Kuna watu waliitwa Nyumbu😅
Mi nahisi watu inatakiwa wasome sana vitabu ili haya mambo wayaone ktk namna ya tofauti!..
Sasa nyie mnaojua sana kuhusu kukuza uchumi mnalalamika nini? Fungeni na nyie mipaka yenu mkuze uchumi wenu furesh mkuu...mnajamba jamba nini wakati kunya mnaweza!?
 
WATANZANIA TUAMKE TULITETEE TAIFA LETU
Leo Nchi yetu imefunga mipaka yake na Kenya kwa baadhi ya Mikoa. Habari kubwa Kenya Ni hatua hiyo ya Tanzania... Yaani huko Kenya wamechachawa haswa.

Ipo hivi

Kenya walikuwa Wana deal na Corona kwa mission kubwa mbili. Moja kuua kabisa Utalii wa Tanzania kwa kusema kuwa kila Dereva ana Corona that's means kuwa Watalii watakuwa wanaogopa Sana kuja nchini. Wanajua tungefaidika na Utalii kipindi hiki ambacho wao wamejifungia.

Mission ya pili ilikuwa ni kutaka kupata fedha za IMF na kweli wamezipata tayari lakini Kitendo Cha sisi kuendelea na shughuli zetu Kama kawaida kimeonekana kina manufaa zaidi. Tayari Kenya wameshalipa USD 739 Milioni kwa ajili ya Corona. Hatua hii Tanzania waliokataa wao wameshachukua fedha hili ni deni kwa Taifa na Ni fedha nyingi sana.

Kuna Mwandishi mmoja wa Kenya anaitwa Gordon Opiyo ameandika kuhusu hatua hii ya Tanzania kufunga mipaka ameandika kuwa:-

Tanzania is hitting back. As I have been warning, we should be very careful about this Corona thing.

In my honest opinion, our Government is overreacting.We are over dramatizing Corona. I honestly doubt the figures "50 Tanzanians sent back" how comes Kenyans coming from Tanzania are turning out to be negative, and 90% of Tanzanian drivers are turning out to be positive??????????? Kwani Corona chooses Nationality?????

I think the US and WHO are using us to stigmitize Tanzanians after Magufuli refused to play ball and roll over like a puppy.

Honestly, if things were that bad, even the Truck Drivers arriving from Tanzania would be telling us stories about seeing bodies rotting in the streets...

I honestly think that we can't mess with our biggest trading partners like this, ata kama we are getting some token aid from United States and IMF.

Do you know that Markiti will collapse if we don't get supplies from Tanzania?
Do you know that Onion prices will triple if we do not get supplies from Tanzania?
Do you know that 70%of the Oranges you eat come from Tanzania????

We will face severe shortage, because cartels killed the Agricultural Sector in Kenya.

I would honestly ask all our decision makers to stop the Corona games and start thinking about the economy.
Pesa ya IMF tushapata. Tuwache hiyo mchezo Sasa.

CHA KUSHANGAZA.

Kuna baadhi ya watanzania wanaona kuwa Kenya wanatupenda sana. Wanaona sisi kufunga mipaka ni tatizo... Hapana hili ni la kupongezwa Sana.

Logic ndogo tu.

Dereva wa Kenya akija kuchukua mzigo Tanzania anaweza kukaa Hadi wiki lakini akifika mpakani kwao anaonekana ni Negative lakini wa Tanzania ni positive. Madereva wa Kenya na raia wa Kenya wanaorudi Kenya toka Tanzania hawaonekani wakiwa na Corona kwa maana hiyo Corona inabagua Nationality.

Watanzania hii ni Vita Amkeni
Kwa wanaoifahamu Kenya siyo ajabu kabisa kwao kuichafua TZ...this time wameingilia choo Cha kike...
 
Kwenye hii siasa ya Corona mipakani, naungana na Serikali. Haiingii akilini kuona Watanzania wenzetu mfano Madereva wakinyanyapaliwa kwa kisingizio cha hiyo Corona. Ni vyema haki ikatendeka! ila siyo uonevu na kuleteana hujuma za kiuchumi.

Haiwezekani kipimo cha Kenya kioneshe dereva Mtanzania ana Corona, akipimwa kwa kipimo cha Tanzania anaonekana ni Negative! "Wakenya wako na roho mbaya sana kuliko Watz" Siyo watu wa kuwaamini hata kidogo.
 
C&P

Na Thadei Ole Mushi.

Leo Nchi yetu imefunga mipaka yake na Kenya kwa baadhi ya Mikoa. Habari kubwa Kenya Ni hatua hiyo ya Tanzania... Yaani huko Kenya wamechachawa haswa.

Ipo hivi Kenya walikuwa Wana deal na Corona kwa mission kubwa mbili. Moja kuua kabisa Utalii wa Tanzania kwa kusema kuwa kila Dereva ana Corona that's means kuwa Watalii watakuwa wanaogopa Sana kuja nchini. Wanajua tungefaidika na Utalii kipindi hiki ambacho wao wamejifungia.

Mission ya pili ilikuwa ni kutaka kupata fedha za IMF na kweli wamezipata tayari lakini Kitendo Cha sisi kuendelea na shughuli zetu Kama kawaida kimeonekana kina manufaa zaidi.

Tayari Kenya wameshakopa USD 739 Milioni kwa ajili ya Corona. Hatua hii Tanzania waliikataa wao wameshachukua fedha hili ni deni kwa Taifa na Ni fedha nyingi sana.

Kuna Mwandishi mmoja wa Kenya anaitwa Gordon Opiyo ameandika kuhusu hatua hii ya Tanzania kufunga mipaka ameandika kuwa:-

Tanzania is hitting back. As I have been warning, we should be very careful about this Corona thing.

In my honest opinion, our Government is overreacting.We are over dramatizing Corona. I honestly doubt the figures "50 Tanzanians sent back" how comes Kenyans coming from Tanzania are turning out to be negative, and 90% of Tanzanian drivers are turning out to be positive??????????? Kwani Corona chooses Nationality?????

I think the US and WHO are using us to stigmitize Tanzanians after Magufuli refused to play ball and roll over like a puppy.

Honestly, if things were that bad, even the Truck Drivers arriving from Tanzania would be telling us stories about seeing bodies rotting in the streets...

I honestly think that we can't mess with our biggest trading partners like this, ata kama we are getting some token aid from United States and IMF.

Do you know that Markiti will collapse if we don't get supplies from Tanzania?
Do you know that Onion prices will triple if we do not get supplies from Tanzania?
Do you know that 70%of the Oranges you eat come from Tanzania????

We will face severe shortage, because cartels killed the Agricultural Sector in Kenya.

I would honestly ask all our decision makers to stop the Corona games and start thinking about the economy.
Pesa ya IMF tushapata. Tuwache hiyo mchezo Sasa.

CHA KUSHANGAZA.
Kuna baadhi ya watanzania wanaona kuwa Kenya wanatupenda sana. Wanaona sisi kufunga mipaka ni tatizo... Hapana hili ni la kupongezwa Sana.
Logic ndogo tu.

Dereva wa Kenya akija kuchukua mzigo Tanzania anaweza kukaa Hadi wiki lakini akifika mpakani kwao anaonekana ni Negative lakini wa Tanzania ni positive. Madereva wa Kenya na raia wa Kenya wanaorudi Kenya toka Tanzania hawaonekani wakiwa na Corona kwa maana hiyo Corona inabagua Nationality.

Kuna Mambo hata mtoto wa kidato cha Pili tu anaweza akaona. Cha kushangaza Graduate aliyeshikiwa akili utasikia Tanzania haiwawezi Kenya.
Ole Mushi
0712702602

Maoni ya hii thread ni ya mwandishi na wakati muafaka kuyatafakari na kuyajadili kama kuna kaukweli kokote ama la....Mbase1970
 
Kwani kipindi kile ummy anatangaza visa vya corona, walipokua anawataja raia wa Germany, USA na kwingineko walipata wapi mamlaka hayo?
Nauliza tu.
 
Mtoto akilia sana ujue kiboko kimemuingia Watz mnacorona nyingi sana ,,,,mkae kwenu....hata ukimwi mliusambaza nyie hapa East Africa / Tabia zenu zakutaka kuangamiza watu wasio na Hatia tunazifahamu.
 
Ingekuwa ni Kenya tu ningeona kweli ni propaganda ila ni kila mpaka wa nchi yetu na nyingine Tanzania ina shida.

Uchawi wa matatizo haya ameukalia John Pombe Magufuli kwakuwa ni mbishi mbishi tuuu asiyeelewa wala asiyekubaliana na ukweli! Siwezi kusimama kumtetea mtu wa aina hiyo ambaye hata ndani ya nchi yake tu amekuwa kiongozi anayezalisha chuki!
 
Tutee ujinga na upumbavu,wao wamefunga wakiwa na sababu,nyinyi mnafunga eti kuwakomoa si upumbavu Huo,siwezi toka nikatetea MTU aliyefanya ushetani na ameamua aue watu wake Lisa uchumi,sasa akifa na yeye sijui itakuwaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WATANZANIA TUAMKE TULITETEE TAIFA LETU
Leo Nchi yetu imefunga mipaka yake na Kenya kwa baadhi ya Mikoa. Habari kubwa Kenya Ni hatua hiyo ya Tanzania... Yaani huko Kenya wamechachawa haswa.

Ipo hivi

Kenya walikuwa Wana deal na Corona kwa mission kubwa mbili. Moja kuua kabisa Utalii wa Tanzania kwa kusema kuwa kila Dereva ana Corona that's means kuwa Watalii watakuwa wanaogopa Sana kuja nchini. Wanajua tungefaidika na Utalii kipindi hiki ambacho wao wamejifungia.

Mission ya pili ilikuwa ni kutaka kupata fedha za IMF na kweli wamezipata tayari lakini Kitendo Cha sisi kuendelea na shughuli zetu Kama kawaida kimeonekana kina manufaa zaidi. Tayari Kenya wameshalipa USD 739 Milioni kwa ajili ya Corona. Hatua hii Tanzania waliokataa wao wameshachukua fedha hili ni deni kwa Taifa na Ni fedha nyingi sana.

Kuna Mwandishi mmoja wa Kenya anaitwa Gordon Opiyo ameandika kuhusu hatua hii ya Tanzania kufunga mipaka ameandika kuwa:-

Tanzania is hitting back. As I have been warning, we should be very careful about this Corona thing.

In my honest opinion, our Government is overreacting.We are over dramatizing Corona. I honestly doubt the figures "50 Tanzanians sent back" how comes Kenyans coming from Tanzania are turning out to be negative, and 90% of Tanzanian drivers are turning out to be positive??????????? Kwani Corona chooses Nationality?????

I think the US and WHO are using us to stigmitize Tanzanians after Magufuli refused to play ball and roll over like a puppy.

Honestly, if things were that bad, even the Truck Drivers arriving from Tanzania would be telling us stories about seeing bodies rotting in the streets...

I honestly think that we can't mess with our biggest trading partners like this, ata kama we are getting some token aid from United States and IMF.

Do you know that Markiti will collapse if we don't get supplies from Tanzania?
Do you know that Onion prices will triple if we do not get supplies from Tanzania?
Do you know that 70%of the Oranges you eat come from Tanzania????

We will face severe shortage, because cartels killed the Agricultural Sector in Kenya.

I would honestly ask all our decision makers to stop the Corona games and start thinking about the economy.
Pesa ya IMF tushapata. Tuwache hiyo mchezo Sasa.

CHA KUSHANGAZA.

Kuna baadhi ya watanzania wanaona kuwa Kenya wanatupenda sana. Wanaona sisi kufunga mipaka ni tatizo... Hapana hili ni la kupongezwa Sana.

Logic ndogo tu.

Dereva wa Kenya akija kuchukua mzigo Tanzania anaweza kukaa Hadi wiki lakini akifika mpakani kwao anaonekana ni Negative lakini wa Tanzania ni positive. Madereva wa Kenya na raia wa Kenya wanaorudi Kenya toka Tanzania hawaonekani wakiwa na Corona kwa maana hiyo Corona inabagua Nationality.

Watanzania hii ni Vita Amkeni
Baadhi ya watanzania kwa sababu ya kuendekeza ujinga mpo so insecure.

Sasa wa Kenya wawafanyie sabotage ili wapate faida gani.
Matunda ya roho mbaya aliyopanda mfalme wenu yameanza kuzaa matunda
 
Jana kwenye Taarifa ya habari ITV, dereva mmoja mtanzania anasema walimpima corona huko Kenya akakutwa positive na kuja Tz akakutwa Negative.
Hivi maabala zetu zinafanya kazi ehee?
 
Ingekuwa ni Kenya tu ningeona kweli ni propaganda ila ni kila mpaka wa nchi yetu na nyingine Tanzania ina shida.

Uchawi wa matatizo haya ameukalia John Pombe Magufuli kwakuwa ni mbishi mbishi tuuu asiyeelewa wala asiyekubaliana na ukweli! Siwezi kusimama kumtetea mtu wa aina hiyo ambaye hata ndani ya nchi yake tu amekuwa kiongozi anayezalisha chuki!
Na sasa anafanikiwa kupanda mbegu ya ubishi kwa maraia wasiojielewa
 
Back
Top Bottom